Choo cha Kisasa cha Kukalia na Karaha /Adha zake kwa Jamii ya Kitanzania.

Choo cha Kisasa cha Kukalia na Karaha /Adha zake kwa Jamii ya Kitanzania.

Huko ni kujitesa sasa nafuu ninye vichakani au kwenye magofu mabovu ..nyumba za watu ambazo hazijakamilika kuliko kunya nimejipinda pinda
Hii mada imenichekesha sana ila kiukweli hivi vyoo vya kukaa vinaboa sana tu,

Mm huwaga naweka tissues ndo nikae tena kukaa yenyewe ndo ile style ya kucheza rede upande upande, ukiachia unaruka usipokua na machejo maji yanakurukia hatar



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka uone kero ya vyoo hivi tembelea Kenya au Zambia , ndo utachoka!
Hakuna maji ya uhakika, yet wamevifanya ndo standard kwenye public toilets, yaan ukiingia hata hamu yenyewe inakata

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu.niliwai panga nyumba INA choo cha hivyo kenya.wajaluo washakinyea mpaka basi kimejaa mpaka juu.yani nilikaa mwezi mmoja tu.asubui na mchana nashusha mzigo vyoo vya chuoni usiku nikiwa geto divi likinibana nilikua naviringisha ka mfuko naachia mzigo naurusha dirishani.hivyo vyoo Hamna labda kiwe chako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio Yale maji yanavyotoka kwenye kale kabomba umesema yanakutekenyaga eti??
Wewe hujui raha ya choo cha kukaa. Me nikiingiaga chooni natamani nisitoke hasa pale wakati wa kunawa yale maji yanayotoka kwa kile kibomba cha kujisafisha yanakuwa kama yanatekenya mpk raha unatamani usitoke [emoji23] mimi ndio maana nikiingia chooni sitoki haraka. Hata kama nikiwa Sina choo nakaa tu halafu nafungulia maji [emoji23]View attachment 1303602

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Solution ya maji kuruka niku weka tissue kwa wingi ndani ya choo ku cover yale maji kabla huja anza zoezi. tissue ita act kama kipa, inadaka gogo.
Hii mada imenichekesha sana ila kiukweli hivi vyoo vya kukaa vinaboa sana tu,

Mm huwaga naweka tissues ndo nikae tena kukaa yenyewe ndo ile style ya kucheza rede upande upande, ukiachia unaruka usipokua na machejo maji yanakurukia hatar



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa na wasiwasi kwamba makalio yaliyonitangulia yalikuwa na vidonda? Majipu? Halafu ukifyatua mzigo maji ya chooni yanaruka juu mpaka kwenye kifyatulio. Mi huwa nasimama juu kwenye round na kuchuchumaa ili kukwepa mauzauza.
Hhahahah ila tuwe makin mkuu, sink ikipasuka ukiwa pale juu ni balaa... inakata paja au msamba kama chainsaw. Mwenyewe ndo style yangu hyo
 
Tatizo ni moja' mzigo unaoshushwa kutokana na kula vitu vizito na kutokunywa maji huwa hauendi, unaishia juu pale kwenye mduara. Choo hakina shida yoyote kama watu ni wasafi, Ila public hakifai.
 
Habari za msimu wa siku kuu.

Choo cha kisasa cha kukalia ni dizaini ya choo chenye sink ya kukalia na kwa asilimia kubwa kilichotengenezwa kwa ajili ya watu wenye ulemavu au wenye matatizo ya miguu na kiafya kwa ujumla ikiwemo na wazee tofauti na kile cha kawaida cha kuchuchumaa.

Kwa hali isiyo ya kawaida,choo hiki kimekuwa kimekiwa kikipendelewa sana kuwekwa majumbani tena majumba ya kifahari, na nyumba za kawaida, kwenye mahoteli, na sehemu nyingi za public na private nyeti kwa matumizi ya wote.

Sehemu nyingine huwa kunakuwa na vyoo viwili yaani milango miwili ya choo. Kimoja cha kuchuchumaa kwa maana kwa watu wasio na ulemavu , wazee, ama wenye matatizo ya kiafya na chumba kingine cha choo chenye hiyo choo/sink ya kukalia kwa ajili ya watu wa category tajwa hapo mwanzo.

Kwa hali isiyo ya kawaida, kumekuwa na wimbi kubwa la watu kupendelea kutengeneza choo cha kulalia kuliko kile cha kuchuchumaa.

Hapa chini nimekuwekea Karaha zake kwa indinkibwa la watu hasa watanzania. Na kuichukulia kuwa si mazoea yetu na hatujazoea kujisaidia tukiwa tumekaa!

Kiukweli kuna taabu tena taabu sana kutumia choo cha dizaini hii. Yaani muundo huu wa Choo unatushinda wstu tulio wengi tena sana kutumia. Mara uingiapo chooni na kukuta huu muundo wa choo amani hukosekana.

Ni kweli kuna raha au starehe yake wakati wa kupush gogo kwa maana ya mkao mzuri wa starehe, ila taabu na Karaha huja wakati wa Kujichamba aka kujitawaza, Aiseee!! Nishidaaaa!!

Japo kuwa kuna huo mpira wa kujisafishia, watu hatujaweza kuutumia maana huishia kujilowanisha nguo hasa suruali au skirt kwa upande wa makalioni na mbele kwa mapaja.

Yaani ukijaribu Kujichamba kwa kuupitisha kwa nyuma au mbele taabu tubu. Lazima ujilowanishe nguo hata kama suruali ama nguo umeishusha na kupunguza presha ya maji ya mpira kadri niwezavyo.

Mara nyingi watu huepuka aibu ya mlowano wa nguo kwa kupendelea kutumia TISHU ambazo huwa pale , ILA SASA SI VYOO VYOTE UTAINGIA NA KUKUTA KUNA TISHU! Utakuta zimeisha au hakuna kabisa na mtu umebanwa!

Wadau, Mwenye utaalamu wa matumizi ya hii sampuli ya choo bila Karaha hizo tajwa hapo juu atujuze.

Merry Xmas and Happy New Year 2020
Wewe uko chooni peke yako kinachokufanya usivue nguo zote ni nini mkuu!hivi vitu ili viende vizuri inahitaji kujinafasi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hujui raha ya choo cha kukaa. Me nikiingiaga chooni natamani nisitoke hasa pale wakati wa kunawa yale maji yanayotoka kwa kile kibomba cha kujisafisha yanakuwa kama yanatekenya mpk raha unatamani usitoke 😂 mimi ndio maana nikiingia chooni sitoki haraka. Hata kama nikiwa Sina choo nakaa tu halafu nafungulia maji 😂View attachment 1303602
Jinsia yako tafafhali
 
Mi huwa na wasiwasi kwamba makalio yaliyonitangulia yalikuwa na vidonda? Majipu? Halafu ukifyatua mzigo maji ya chooni yanaruka juu mpaka kwenye kifyatulio. Mi huwa nasimama juu kwenye round na kuchuchumaa ili kukwepa mauzauza.
Kuna mtu milimvunjikia kwa kupanda na kuchuchumaa, nyama yote ya kwenye paja ilichimbwa na kutoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za msimu wa siku kuu.

Choo cha kisasa cha kukalia ni dizaini ya choo chenye sink ya kukalia na kwa asilimia kubwa kilichotengenezwa kwa ajili ya watu wenye ulemavu au wenye matatizo ya miguu na kiafya kwa ujumla ikiwemo na wazee tofauti na kile cha kawaida cha kuchuchumaa.

Kwa hali isiyo ya kawaida,choo hiki kimekuwa kimekiwa kikipendelewa sana kuwekwa majumbani tena majumba ya kifahari, na nyumba za kawaida, kwenye mahoteli, na sehemu nyingi za public na private nyeti kwa matumizi ya wote.

Sehemu nyingine huwa kunakuwa na vyoo viwili yaani milango miwili ya choo. Kimoja cha kuchuchumaa kwa maana kwa watu wasio na ulemavu , wazee, ama wenye matatizo ya kiafya na chumba kingine cha choo chenye hiyo choo/sink ya kukalia kwa ajili ya watu wa category tajwa hapo mwanzo.

Kwa hali isiyo ya kawaida, kumekuwa na wimbi kubwa la watu kupendelea kutengeneza choo cha kulalia kuliko kile cha kuchuchumaa.

Hapa chini nimekuwekea Karaha zake kwa indinkibwa la watu hasa watanzania. Na kuichukulia kuwa si mazoea yetu na hatujazoea kujisaidia tukiwa tumekaa!

Kiukweli kuna taabu tena taabu sana kutumia choo cha dizaini hii. Yaani muundo huu wa Choo unatushinda wstu tulio wengi tena sana kutumia. Mara uingiapo chooni na kukuta huu muundo wa choo amani hukosekana.

Ni kweli kuna raha au starehe yake wakati wa kupush gogo kwa maana ya mkao mzuri wa starehe, ila taabu na Karaha huja wakati wa Kujichamba aka kujitawaza, Aiseee!! Nishidaaaa!!

Japo kuwa kuna huo mpira wa kujisafishia, watu hatujaweza kuutumia maana huishia kujilowanisha nguo hasa suruali au skirt kwa upande wa makalioni na mbele kwa mapaja.

Yaani ukijaribu Kujichamba kwa kuupitisha kwa nyuma au mbele taabu tubu. Lazima ujilowanishe nguo hata kama suruali ama nguo umeishusha na kupunguza presha ya maji ya mpira kadri niwezavyo.

Mara nyingi watu huepuka aibu ya mlowano wa nguo kwa kupendelea kutumia TISHU ambazo huwa pale , ILA SASA SI VYOO VYOTE UTAINGIA NA KUKUTA KUNA TISHU! Utakuta zimeisha au hakuna kabisa na mtu umebanwa!

Wadau, Mwenye utaalamu wa matumizi ya hii sampuli ya choo bila Karaha hizo tajwa hapo juu atujuze.

Merry Xmas and Happy New Year 2020
Kwanza kwa asili yangu siwezi kunya nimekaa kama mgonjwa wa siku nyingi!
Mie huwa nikikuta choo cha hivyo napandaga juu nachuchumaa nakunya kwa raha!
Kwanza nilishawahi kuchambia shuka la lodge kwa sababu hakukuwa na toilet papers nikasema ngoja tuone nani mjanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa na wasiwasi kwamba makalio yaliyonitangulia yalikuwa na vidonda? Majipu? Halafu ukifyatua mzigo maji ya chooni yanaruka juu mpaka kwenye kifyatulio. Mi huwa nasimama juu kwenye round na kuchuchumaa ili kukwepa mauzauza.
We jamaa una akili kama zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hujui raha ya choo cha kukaa. Me nikiingiaga chooni natamani nisitoke hasa pale wakati wa kunawa yale maji yanayotoka kwa kile kibomba cha kujisafisha yanakuwa kama yanatekenya mpk raha unatamani usitoke [emoji23] mimi ndio maana nikiingia chooni sitoki haraka. Hata kama nikiwa Sina choo nakaa tu halafu nafungulia maji [emoji23]View attachment 1303602
Unapenda kutekenywa?![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu.niliwai panga nyumba INA choo cha hivyo kenya.wajaluo washakinyea mpaka basi kimejaa mpaka juu.yani nilikaa mwezi mmoja tu.asubui na mchana nashusha mzigo vyoo vya chuoni usiku nikiwa geto divi likinibana nilikua naviringisha ka mfuko naachia mzigo naurusha dirishani.hivyo vyoo Hamna labda kiwe chako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa hatari..! Yaani unakunya kwenye mfuko unatupa dirishani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3516]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom