Choo cha Kisasa cha Kukalia na Karaha /Adha zake kwa Jamii ya Kitanzania.

hivi vyoo hapana kwakweli ukizingatia asili yetu sisi hua tunaishi watu wengi kwa pamoja nyumbani ni ngumu sana kutunza na kuhakikisha usafi.
 
Kuna nyumba ya jirani mafuriko mafuriko yaliingia kwenye lile shimo la mavitaka nje, wenye nyumba wakashangaa nyumba nzima inanuka mavi, kuja kuangalia kumbe Shimo nje lilijaa likawa linarudisha mavi ndani. Watu waliikimbia nyumba asee.
Choo bovu sana hili linatia kinyaa mno!

Ni bora kuchuchumaa porini kuliko kukalia hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using mazonge yamezidi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukileta machejo si unakunya pembeni sasa.

Sent using mazonge yamezidi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu milimvunjikia kwa kupanda na kuchuchumaa, nyama yote ya kwenye paja ilichimbwa na kutoka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bhana lile dubwasha likivunjika halafu likukate huwa linakata kweli si masikhara.

Mimi siku hizi hata nikitaka chumba gesti sharti langu kubwa sitaki choo cha kukaa basi wahudumu nikiwapigia simu tu wanacheka kwanza wanasema aaaah kumbe wewe?

Sent using mazonge yamezidi
 
Mi huwa na wasiwasi kwamba makalio yaliyonitangulia yalikuwa na vidonda? Majipu? Halafu ukifyatua mzigo maji ya chooni yanaruka juu mpaka kwenye kifyatulio. Mi huwa nasimama juu kwenye round na kuchuchumaa ili kukwepa mauzauza.
Mkuu ma-ceramic yale siyo imara sana kuyabebesha uzito mkuwa kwa style ya kulipandia juu mazima. Kuna siku litakupasukia. Ila hizo changamoto ulizoelezea ni za kweli na zinatupata wengi.
 
Niwe mkweli choo cha namna hii ni hatari mno kwa matumizi ya public. Nakumbuka nilienda wilaya ya kwimba kikazi,aisee kuna lodge moja pale sitaitaja niliambiwa nzuri mno,kweli ndani kuko flesh,kitanda safi,kasheshe ikaja usiku ule nataka kushusha mambo ebhanaee kuingia toilet choo cha kukaa afu kichafu balaa.Niliishiwa pozi,kiukweli nilichokifanya nilitoka nje kuuliza kama kuna toilet za nje nikaambiwa hakuna,nikarudi room nikapiga hesabu nilichoamua Nikupanda pale juu nikakanyaga nikafanya yangu.KWA HILI NIWAPONGEZE Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro pamoja na kuwa na toilets za kukaa lakini usafi wa pale huwa sijuti kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm kwa uelewa wangu mdogo naona kama kuna vitu tunaiga hata visivyoo faa kuigwa,jamii ya watu weupe (wazungu) vyakula vyao wanavyokula ni laini laini,hivyo hata wanapokwenda chooni hutoa choo laini,,sasa kwa jamii yetu afrika vyakula ni ugali mtama,ugali dona,ugali muhogo na wali kidigo,magimbi, mihogo,hapo ukienda kutoa mzigo ni kama tofari lililorushwa kwenye dimbwi la maji,utasikia pwaaaaa na mpaka liyayuke mpaka lichokonolewe na ndio hupelekea kuziba vyoo hivi vya kisasa,,jamani yetu mashimo mzigo ukifika chini unasikia sauti tiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…