Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Niende moja kwa moja.
Nimeingia sokoni, nikaona siwezi kufika kwangu na mizigo, acha leo nijisitiri vyoo vya kulipia Tegeta looh salaleee!
Ni Muda huu nahisi leo sitakula, nimekata tamaa kabisa. Ndani ya vyoo hivi unatoka na ugonjwa. Jamaniee sikushauri ukaangalie, panatia huruma. Nzi, kinyesi juu sijui, Jaman MTU kamaliza kupata huduma anashindwaje kusafisha.
Siku yangu imeharibika mapema Sana Kwa hali hii safari ni ndefu ndefu Sana ikiwa usafi wa choo uko vile.
Kinondoni mnapokea malipo ya huduma kwa vyoo vile, jiangalieni
Nimeingia sokoni, nikaona siwezi kufika kwangu na mizigo, acha leo nijisitiri vyoo vya kulipia Tegeta looh salaleee!
Ni Muda huu nahisi leo sitakula, nimekata tamaa kabisa. Ndani ya vyoo hivi unatoka na ugonjwa. Jamaniee sikushauri ukaangalie, panatia huruma. Nzi, kinyesi juu sijui, Jaman MTU kamaliza kupata huduma anashindwaje kusafisha.
Siku yangu imeharibika mapema Sana Kwa hali hii safari ni ndefu ndefu Sana ikiwa usafi wa choo uko vile.
Kinondoni mnapokea malipo ya huduma kwa vyoo vile, jiangalieni