Choo cha kulipia Tegeta sokoni kimeniharibia siku

Choo cha kulipia Tegeta sokoni kimeniharibia siku

Mimi choo nisichokizoea ni mgumu sana kujisaidia

Kipindi nipo shule nilikuwa sijisaidii vyoo vya shule nikibanwa na weit mpka mda wakulidi home na ndio mpaka leo naishi humo
 
Niende moja kwa moja.

Nimeingia sokoni, nikaona siwezi kufika kwangu na mizigo, acha leo nijistri vyoo vya kulipia Tegeta loop salaleee!

Ni Muda huu nahisi Leo sitakula, nimekata tamaa kabisa. Ndani ya vyoo hivi unatoka na ugonjwa. Jamaniee sikushauri ukaangalie, panatia huruma. Nzi, kinyesi juu sijui, Jaman MTU kamaliza kupata huduma anashindwaje kusafisha.

Siku yangu imeharibika mapema Sana Kwa hali hii safari ni ndefu ndefu Sana ikiwa usafi wa choo uko vile.

Kinondoni mnapokea malipo ya huduma kwa vyoo vile, jiangalieni
Sijui dini yako, ila ktk amri 10 za msingi ni kwamba "USISEME UWONGO" we ni mwongo, vyoo vya umma wapewa kampuni binafsi haiwezekani asiweke hata maji? Jamani tuwe wa kweli, tumwogope MUNGU wetu wa mbinguni. Km unachosema ni kweli, eneo hilo lina m/kiti wa mtaa, mbunge na wengineo haiwezekani hilo kutokea. ACHA FITNA NDG!
 
Hujawahi banwa boss

Nisha banwa sna nakumbuka siku hiyo nafika home nakimbilia choon kumbe mzee kaenda mzee wet alikuwa akiingia choon mna msahau ase nilijikojolea dada angu akaniona akaenda mwambia kaka bro akaja nishushia kipigo baba akasikia akatoka nae kaniongezea uku ananiuliza shuleni amna vyoo?

Nilipigika sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui dini yako, ila ktk amri 10 za msingi ni kwamba "USISEME UWONGO" we ni mwongo, vyoo vya umma wapewa kampuni binafsi haiwezekani asiweke hata maji? Jamani tuwe wa kweli, tumwogope MUNGU wetu wa mbinguni. Km unachosema ni kweli, eneo hilo lina m/kiti wa mtaa, mbunge na wengineo haiwezekani hilo kutokea. ACHA FITNA NDG!
Niliona kuonesha picha ningewatia kinyaa. Ila wanaume mfanya ufasi vyoo havina usimamizi wa nukta Kwa nukta
 
Sijui dini yako, ila ktk amri 10 za msingi ni kwamba "USISEME UWONGO" we ni mwongo, vyoo vya umma wapewa kampuni binafsi haiwezekani asiweke hata maji? Jamani tuwe wa kweli, tumwogope MUNGU wetu wa mbinguni. Km unachosema ni kweli, eneo hilo lina m/kiti wa mtaa, mbunge na wengineo haiwezekani hilo kutokea. ACHA FITNA NDG!
Unachotaka kubisha ni nini?.Nani ambaye hajui mwafrika na uchafu ni vitu vinavyoenda sambamba.Vyoo tu vyakwenye ma bar ni changamoro sembese hivyo vya sokoni.Acha kutaka kutetea ujinga wakati bado swala la usafi kwetu ni changamoto,kwasababu tatizo halianzii kwa anayetakiwa kufanya usafi bali kwa aliyepata huduma alafu akashindwa kua msafi.
 
Unachotaka kubisha ni nini?.Nani ambaye hajui mwafrika na uchafu ni vitu vinavyoenda sambamba.Vyoo tu vyakwenye ma bar ni changamoro sembese hivyo vya sokoni.Acha kutaka kutetea ujinga wakati bado swala la usafi kwetu ni changamoto,kwasababu tatizo halianzii kwa anayetakiwa kufanya usafi bali kwa aliyepata huduma alafu akashindwa kua msafi.
Ni huko kwenu Darisalama. Dar kunaeleweka kwa uchafu
 
Wabongo suala la usafi tumeshindwa. Nafikiri usafi unapaswa sasa kuingizwa kwenye zile vita zetu tunavyovipigana dhidi ya Rushwa, elimu, umasikini.
 
Back
Top Bottom