Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hujawahi banwa bossMimi choo nisichokizoea ni mgumu sana kujisaidia
Kipindi nipo shule nilikuwa sijisaidii vyoo vya shule nikibanwa na weit mpka mda wakulidi home na ndio mpaka leo naishi humo
Sijui dini yako, ila ktk amri 10 za msingi ni kwamba "USISEME UWONGO" we ni mwongo, vyoo vya umma wapewa kampuni binafsi haiwezekani asiweke hata maji? Jamani tuwe wa kweli, tumwogope MUNGU wetu wa mbinguni. Km unachosema ni kweli, eneo hilo lina m/kiti wa mtaa, mbunge na wengineo haiwezekani hilo kutokea. ACHA FITNA NDG!Niende moja kwa moja.
Nimeingia sokoni, nikaona siwezi kufika kwangu na mizigo, acha leo nijistri vyoo vya kulipia Tegeta loop salaleee!
Ni Muda huu nahisi Leo sitakula, nimekata tamaa kabisa. Ndani ya vyoo hivi unatoka na ugonjwa. Jamaniee sikushauri ukaangalie, panatia huruma. Nzi, kinyesi juu sijui, Jaman MTU kamaliza kupata huduma anashindwaje kusafisha.
Siku yangu imeharibika mapema Sana Kwa hali hii safari ni ndefu ndefu Sana ikiwa usafi wa choo uko vile.
Kinondoni mnapokea malipo ya huduma kwa vyoo vile, jiangalieni
Hujawahi banwa boss
Niliona kuonesha picha ningewatia kinyaa. Ila wanaume mfanya ufasi vyoo havina usimamizi wa nukta Kwa nuktaSijui dini yako, ila ktk amri 10 za msingi ni kwamba "USISEME UWONGO" we ni mwongo, vyoo vya umma wapewa kampuni binafsi haiwezekani asiweke hata maji? Jamani tuwe wa kweli, tumwogope MUNGU wetu wa mbinguni. Km unachosema ni kweli, eneo hilo lina m/kiti wa mtaa, mbunge na wengineo haiwezekani hilo kutokea. ACHA FITNA NDG!
Sio kweli nenda msavu sitendi Dodoma mbezi nk kaangalieVyoo vya umma sio vya kutumia.
Tulisha zoea kuchambia makaratasiKabisa, yani katika swala zima la ustaarabu tuna safari ndefu mno.
Mtajua wenyewe. wasomi vyoo vya nn?Vyoo vya Kule wanakopikwa wataalam (Vyuo vikuu) umeshawahi kuviona mkuu?
Per diems Kama kawaida. Hayo ya kupeana mkono hayatuhusuYaani...nimeona maana ya kuepuka kupeana mikono
Unachotaka kubisha ni nini?.Nani ambaye hajui mwafrika na uchafu ni vitu vinavyoenda sambamba.Vyoo tu vyakwenye ma bar ni changamoro sembese hivyo vya sokoni.Acha kutaka kutetea ujinga wakati bado swala la usafi kwetu ni changamoto,kwasababu tatizo halianzii kwa anayetakiwa kufanya usafi bali kwa aliyepata huduma alafu akashindwa kua msafi.Sijui dini yako, ila ktk amri 10 za msingi ni kwamba "USISEME UWONGO" we ni mwongo, vyoo vya umma wapewa kampuni binafsi haiwezekani asiweke hata maji? Jamani tuwe wa kweli, tumwogope MUNGU wetu wa mbinguni. Km unachosema ni kweli, eneo hilo lina m/kiti wa mtaa, mbunge na wengineo haiwezekani hilo kutokea. ACHA FITNA NDG!
PRESS RELEASEUsafi ni tabia na hujengwa toka utotoni katika makuzi.
nilikaa Hall 4 (sijui 5 ile) , nikibanwa na kimba nafunga safari mpaka home kwenda kunyaAisee kule ndio unabaki mdomo wazi hawa ndio wasomi eti.
Sisi ni watu ovyo waliosoma na wasiosoma.
Ni huko kwenu Darisalama. Dar kunaeleweka kwa uchafuUnachotaka kubisha ni nini?.Nani ambaye hajui mwafrika na uchafu ni vitu vinavyoenda sambamba.Vyoo tu vyakwenye ma bar ni changamoro sembese hivyo vya sokoni.Acha kutaka kutetea ujinga wakati bado swala la usafi kwetu ni changamoto,kwasababu tatizo halianzii kwa anayetakiwa kufanya usafi bali kwa aliyepata huduma alafu akashindwa kua msafi.
Kabisa nakubaliana na wewe.Sisi bado tupo ktk evolution period. Hatujafikia kuwa binadamu kamili