Choo cha kulipia Tegeta sokoni kimeniharibia siku

Kiashiria kimojawapo kikubwa kwa ustaarabu wa binadamu ni matumizi sahihi na usafi wa choo.
 
Hao unaowalipa hawafanyi usafi?
 
Fanya ukapime UTI kabisa aiseeh usijekumpelekea mwenzio nyumbani
 
Vyoo vya sokon vipo hivyo vyote mkuu labda utakuwa mgeni kwenye masoko ya nchi hii
 
Kuna watu nahisi wana ugonjwa wa kujisaidia pembeni au kujisaidia na kuacha alichotoa...sidhani kama ni akili ya kawaida
 
[emoji23][emoji23]
 
Swali la msingi ni kwa nini tuna vyoo vya kulipia kwanza? Katika jamii iliyostaarabika, sehemu za umma huduma ya vyoo haitakiwi kuwa ya kulipia maana hiyo ni huduma ya msingi ya jamii na kuna makusanyo mengi ya ushuru yanafanyika pale. Halafu unaweza kulipia ukakuta vyoo vya hovyo vilevile.

Bado tupo nyuma saaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…