Choo cha Shima kinachohitaji maji kidogo tu

Choo cha Shima kinachohitaji maji kidogo tu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1694755681544.png

Hiji ni choo cha shimo, nje unachimba shimo na unaweka bomba la kusafirishia uchafu. Uchafu unausukuma kwa ndoo ya maji.

Ni rahisi kusafisha na uchafu unaoukusanya unaweza kuutupa shambani baada ya muda. Unaweza kuweka utararatibu wa kutapisha shimo kila baada ya miezi mitatu na kumwaga mbolea shambani.

Ili kupata mbolea nyingi unaweza kuwa na ukarimu wa kukaribisha wageni nyumbani kwa siku kadhaa.
 
Unawapikia chakula kiiiingi halafu unaweka hamira waharishe Ili kuhakikisha hawaondoki na hio raw material
Hahah Kuna Ile kipunje cha dawa Cha kusafisha tumbo,ukimeza,unaendesha vibaya mno,inatoa uchafu wote,sema Sasa itabidi viwe zaidi ya kimoja,maana hicho haitakiwi ukae mbali na choo,Sasa wageni wako itakua tafurani Apo,
 
Hahah Kuna Ile kipunje cha dawa Cha kusafisha tumbo,ukimeza,unaendesha vibaya mno,inatoa uchafu wote,sema Sasa itabidi viwe zaidi ya kimoja,maana hicho haitakiwi ukae mbali na choo,Sasa wageni wako itakua tafurani Apo,
😂😂😂😂😂 itabidi ufungue kiwanda cha mbolea au u supply na kwa majirani pia. Let say unajenga vyoo vitatu.
 
Pana foreigner analima kahawa grade one ana export kwao.
Choo chako kikijaa ananyonya bure then anapeleka kwenye matank yake makubwa sana kwake yakijaa anafungulia maji yanaenda shambani mwake kupitia drip irrigation kwa Kila mche wa kahawa.
Shamba zima limenawiri miche yote Ina afya tele anavuna balaa ana export kwao anauza Bei ghali sana hio organic coffee.
Afrika njoo na akili tu pesa na mtaji utavikutia huku.
 
Hahah Kuna Ile kipunje cha dawa Cha kusafisha tumbo,ukimeza,unaendesha vibaya mno,inatoa uchafu wote,sema Sasa itabidi viwe zaidi ya kimoja,maana hicho haitakiwi ukae mbali na choo,Sasa wageni wako itakua tafurani Apo,
Kinaitwaje hicho kidonge?
 
Pana foreigner analima kahawa grade one ana export kwao.
Choo chako kikijaa ananyonya bure then anapeleka kwenye matank yake makubwa sana kwake yakijaa anafungulia maji yanaenda shambani mwake kupitia drip irrigation kwa Kila mche wa kahawa.
Shamba zima limenawiri miche yote Ina afya tele anavuna balaa ana export kwao anauza Bei ghali.
Afrika njoo na akili tu pesa na mtaji utavikutia huku.
Hiyo inaitwa organic coffee maana yake imekuzwa bila kemikali. Ulaya bei yake iko juu kuliko kahawa nyingine.
 
Kinaitwaje hicho kkidon
Kuna ki mbegu kipo kama karanga, unatafuna kimoja tu...vinakaa vitano vinauzwa buku Madura ya dawa za asili..narudia tena tafuna kimoja tu, ctaki kesi mie...jina lake nimelisahau kidogo...ukiwaambia tu dawa ya kusafisha tumbo ya kutafuna..utapata...hakikisha maji ya kutosha unayo toilet pia usikae mbali na kwako
 
Back
Top Bottom