Unawapikia chakula kiiiingi halafu unaweka hamira waharishe Ili kuhakikisha hawaondoki na hio raw materialIli kupata mbolea nyingi unaweza kuwa na ukarimu wa kukaribisha wageni nyumbani kwa siku kadhaa.
Hahah Kuna Ile kipunje cha dawa Cha kusafisha tumbo,ukimeza,unaendesha vibaya mno,inatoa uchafu wote,sema Sasa itabidi viwe zaidi ya kimoja,maana hicho haitakiwi ukae mbali na choo,Sasa wageni wako itakua tafurani Apo,Unawapikia chakula kiiiingi halafu unaweka hamira waharishe Ili kuhakikisha hawaondoki na hio raw material
๐๐๐๐๐ itabidi ufungue kiwanda cha mbolea au u supply na kwa majirani pia. Let say unajenga vyoo vitatu.Hahah Kuna Ile kipunje cha dawa Cha kusafisha tumbo,ukimeza,unaendesha vibaya mno,inatoa uchafu wote,sema Sasa itabidi viwe zaidi ya kimoja,maana hicho haitakiwi ukae mbali na choo,Sasa wageni wako itakua tafurani Apo,
Tena mchicha unatoka wa kijani iliyonawiri.
HahahahahahaHahah Kuna Ile kipunje cha dawa Cha kusafisha tumbo,ukimeza,unaendesha vibaya mno,inatoa uchafu wote,sema Sasa itabidi viwe zaidi ya kimoja,maana hicho haitakiwi ukae mbali na choo,Sasa wageni wako itakua tafurani Apo,
Jenga stand toa hduma bure๐๐๐๐๐ itabidi ufungue kiwanda cha mbolea au u supply na kwa majirani pia. Let say unajenga vyoo vitatu.
Mwanadamu ana mbolea nzuri sana kwa sababu ula mchanganyiko wa vitu vingiMboga za nyuma ya choo/bafu hunawiri Sana, tazama matembele,mgomba au miwa hakika binadamu hutoa virutubisho sana hasa wakike๐
Kinaitwaje hicho kidonge?Hahah Kuna Ile kipunje cha dawa Cha kusafisha tumbo,ukimeza,unaendesha vibaya mno,inatoa uchafu wote,sema Sasa itabidi viwe zaidi ya kimoja,maana hicho haitakiwi ukae mbali na choo,Sasa wageni wako itakua tafurani Apo,
Hiyo inaitwa organic coffee maana yake imekuzwa bila kemikali. Ulaya bei yake iko juu kuliko kahawa nyingine.Pana foreigner analima kahawa grade one ana export kwao.
Choo chako kikijaa ananyonya bure then anapeleka kwenye matank yake makubwa sana kwake yakijaa anafungulia maji yanaenda shambani mwake kupitia drip irrigation kwa Kila mche wa kahawa.
Shamba zima limenawiri miche yote Ina afya tele anavuna balaa ana export kwao anauza Bei ghali.
Afrika njoo na akili tu pesa na mtaji utavikutia huku.
Kuna ki mbegu kipo kama karanga, unatafuna kimoja tu...vinakaa vitano vinauzwa buku Madura ya dawa za asili..narudia tena tafuna kimoja tu, ctaki kesi mie...jina lake nimelisahau kidogo...ukiwaambia tu dawa ya kusafisha tumbo ya kutafuna..utapata...hakikisha maji ya kutosha unayo toilet pia usikae mbali na kwakoKinaitwaje hicho kkidon
๐คฃ๐คฃ๐คฃAise nipo na mastress lkn.... Hiii imendaUnawapikia chakula kiiiingi halafu unaweka hamira waharishe Ili kuhakikisha hawaondoki na hio raw material
Hahaha MUNGU akuvushe salama Ndugu yangu๐คฃ๐คฃ๐คฃAise nipo na mastress lkn.... Hiii imenda