Choo kikiwa hivi kinaashiria nini kwa binadamu?

Choo kikiwa hivi kinaashiria nini kwa binadamu?

Choo cha mwanadamu kinaeleza au kina uhusiano wa moja kwa moja na utendaji kazi wa mwili wa mwanadamu.....ndio maana wataalamu wanagundua maradhi mengi kupitia choo chako.....na hata mkojo wako......

Unapogundua kuwa kuna hali isiyo ya kawaida kwenye choo chako ni ishara kuwa mwili wako unatenda kazi isivyo kawaida....kwa hiyo ni jukumu lako kwenda kuwaona wataalamu wa afya.......

Ni vyema kuchunguza choo chako kila baada ya siku tatu kwani choo kinaweza kukuonyesha dalili za mwanzo kabisa za magonjwa mbali mbali katika miili yetu.......

NB;
Hata rangi haja ndogo pia zina viashiria vya maradhi......



Tunza afya yako kabla ya maradhi.....

Utumie ujana wako kwa manufaa kabla ya uzee.....

Utumie muda wako vyema kabla haujapotea......
Ni kweli mkuu kwa harufu ya mkojo unaweza kitambua kisukari pia kwa karatasi maalum unaweza kutambua maambukuzi ya bacteria kwenye mkojo
 
Ni kweli mkuu kwa harufu ya mkojo unaweza kitambua kisukari pia kwa karatasi maalum unaweza kutambua maambukuzi ya bacteria kwenye mkojo

Bado jamii ina ufahamu duni sana juu ya masuala ya afya....hasa mambo kama hayo yanahusisha miili yao........

Unapoyaongelea mambo madogo kama haya watu wengine hustaajabu kana kwamba si sehemu ya miili yao.......
16384aeccd65e68d0b91a7ea475e2064.jpg
 
Choo cha mwanadamu kinaeleza au kina uhusiano wa moja kwa moja na utendaji kazi wa mwili wa mwanadamu.....ndio maana wataalamu wanagundua maradhi mengi kupitia choo chako.....na hata mkojo wako......

Unapogundua kuwa kuna hali isiyo ya kawaida kwenye choo chako ni ishara kuwa mwili wako unatenda kazi isivyo kawaida....kwa hiyo ni jukumu lako kwenda kuwaona wataalamu wa afya.......

Ni vyema kuchunguza choo chako kila baada ya siku tatu kwani choo kinaweza kukuonyesha dalili za mwanzo kabisa za magonjwa mbali mbali katika miili yetu.......

NB;
Hata rangi haja ndogo pia zina viashiria vya maradhi......



Tunza afya yako kabla ya maradhi.....

Utumie ujana wako kwa manufaa kabla ya uzee.....

Utumie muda wako vyema kabla haujapotea......
Barikiwa kwa maelezo kuntu
 
Inaweza ikawa ni upungufu wa madini ya chuma, utumbo mdogo unavuja damu au matatizo ya INI. Kwa maelezo zaidi muone daktar
 
Barikiwa kwa maelezo kuntu
Hivi siyo ini limefanya kazi kupitiliza kweli? Dawa, pombe hasa kali, madawa ya malaria, antibiotics huchosha ini na huanza kutoa choo chenye damu. Mimi siyo daktari ila nasoma sana majarida ya madawa. Nashauri kunywa maji kwa wingi, epuka vitu vinavyochosha ini na meditate.
 
Back
Top Bottom