Umenena vema mkuu👏Jamani hii nchi ni ya kwetu sote. Ulaji ni lazima ugawanywe kwenye makundi tofauti tofauti. Kuna watu wasomi wazuri tu, wenye busara na maono mtaani. Wengine wanafanya umama au ubaba ntilie wapo.
Kwa hiyo msihukumu mtu eti kwa sababu anafanya kitu fulani hafai.
Mama amefanya jambo zuri. Kagawa ulaji kwa makundi tofauti tofauti. Acheni wakafanye kazi....wakishindwa ku deliver ndo mjeseme hapa.
Unajuaje kama halo sio TISSUmeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.
Naamini umekosea wa kumjibu post. Vinginevyo kichwa yako inahitaji madawa ya kulevya unaweza kuwa mraibu uko na arostoAcha uchonganishi tumia akili na elimu fanya jambo lolote ambalo utakuwa umesaidia jamii kutokana na elimu yako au ujuzi wako pia uwe mzalendo kwa nchi yako watu watakuona tu lakini hayo majungu hayatakusaidia, kwa kifupi vijana tunamshukuru Mh.Raisi kwa kutuamini kuwa tunaweza na ninachowaomba vijana wenzetu mlioteuliwe mkawe alama tosha ya kusema vijana wanaweza kutatua shida za wananchi na kulifikisha taifa kwenye uchumi imara zaidi.
Kuna watu wazuri mno wapo polisi, tiss, pccb wanaachwa!
Mtajiuliza sana kwa vile hakuwa kipenzi chenu.Daah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika
Bongo movie katika ubora wake....utasikia huyo tiss alikuwa bongo movie kimkakati tu...hongera Chikota
Hao ni wafanyakazi wa Serikali!? Waachwe huko kwenye ajira zaoKuna watu wazuri mno wapo polisi, tiss, pccb wanaachwa!
kwani jerry,nick,mchopa mnawajua kiundani jaman!!!Umeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna mtu wa TISS hapo Mkuu usijidangaye.Kifupi hatuna Rais anachukulia nchi poaHao wote walioteuliwa wanatokea kwenye hizo taasisi!
Hasa hiyo tiaises, vificho wengine vipenyo!
Huwezi kuwa m/kiti kamati ya ulinzi wilaya/mkoa kama hujui ABc's
Unafiki huo mkuu, hakuna hiyo kitu unasema, yaani kuwa mwepesi ndiyo upigwe panga, NOTHING!.Nampa pole kwani kapelekwa sehemu ngumu Kwake ambayo nilidhani huko angepelekwa 'Mjeda' tu. Kama nawaona vile Wakurya.
Hakuna Cha maana hapo nimeamini hatuna RaisJana nimekula bia nikijua Jay Mo ndo kateuliwa kuamka asubuhi kumbe msanii wa kawaida?
Acha ninywe maziwa mengi niue hang over kabisaaa
Hizi teuzi za hovyo tangu nchi hii ipate uhuru,huyu mama ni mwepesi sana,ni populist tu,Fatma Nyangasa unampa U DC,kwa kigezo kipi?uanamke tu?Albert Msando,huyu alishawahi kuwa na kashfa ya ufuska,unampsje U DC?Mwigizaji Chopa mchopanga kwa jila halisi Jumaa Issa Chikoka amekula shavuView attachment 1823987
Sidhani kama hilo ni kweli mkuu , sidhani kama limezingatiwaHao wote walioteuliwa wanatokea kwenye hizo taasisi!
Hasa hiyo tiaises, vificho wengine vipenyo!
Huwezi kuwa m/kiti kamati ya ulinzi wilaya/mkoa kama hujui ABc's
Kweli Mkuu nimedhalau mpaka hapa hatuna Rais.Hizi teuzi za hovyo tangu nchi hii ipate uhuru,huyu mama ni mwepesi sana,ni populist tu,Fatma Nyangasa unampa U DC,kwa kigezo kipi?uanamke tu?Albert Msando,huyu alishawahi kuwa na kashfa ya ufuska,unampsje U DC?
Wapo watu wazuri tu kama Mtaka RC wa Dom,ila hawa aliowateua Mama amechemka,Nafasi ya Nyangasa bora angepewa Lady Jay D,
Huyu mama kama anaamini kuteua vijana wawili watatu ndio ufumbuzi wa changamoto za vijana,basi tuna safari ndefu
PHD Ya DS au?tukifanya mambo kwa majaribio tutakosa wa kumlaumu.unafaham elimu ya nick
. Au umekurupuka
Hahahah DS hata Polepole kaichukulia MAPHD Ya DS au?tukifanya mambo kwa majaribio tutakosa wa kumlaumu.
Katiba ikiwa mpya na iliyotengenezwa kwa kushirikisha wananchi na kuwaweka wanasiasa pembeni ita-improove hali ya uongozi. Sisi tunasisitiza katiba bora inayotokana na wananchi. Pamoja na mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya Kenya lakini watu wanakubali kuwa hali haiko kama ilivyokuwa kabla. Na bado wana nafasi ya kufanya marekebisho pale wanapoona walikosea. FYI katiba za nchi nyingi tu zina mapungufu lakini zina afadhali kuliko hii ya kwetu.Mna infatuation ya ajabu na katiba mpya..Kenya katiba mpya iliwapa watu kama kina Sonko (reputation yake questionable) ukuu wa mikoa/wilaya (ugavana). Sasa huku Tz katiba mpya italeta maajabu gani?
Uvccm huyuDaah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika