macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
🤣 🤣 🤣Nimekosa nini? Ukuu wa Wilaya? Kweli hii nchi tuna matatizo makubwa. Hivi ukuu wa wilaya nao ni cheo cha kulilia? Kweli mtu mwenye akili aache shughuli zake kwa cheo ambacho inabidi uishi kama panya bila kujua kesho inakuja na nini? Samahani sana.Achokwe na nani? Kukosa ww haina maana wote watamchoka na hata wakimchoka ilimradi system wanamfaidi hakuna shida wewe mwananchi endelea kuuza vocha
Mkuu ebu tueleze tatizo lake kubwa ambalo linamfanya akose sifa? Kuwa muingizaji au?Daah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika
Kwani hao tss hawajawahi kuwekwaUmeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.
Nenda katuongoze wewe, tatizo mlizoea kufokewa na kufichwa madudu mengi huku mkipewa maneno mazuri ya kuwafariji, mkiambiwa hii ni serikali ya wanyonge au hii ni serikali ya maskini hivyo bdio mlivyokuwa mnaona mna rais au siyo.Hakuna Rais hapo nchi ipo ipo tu Mungu atusaidie Watanzania.
Msomi mzuri sio kuwa na elimu kubwa.unafaham elimu ya nick
. Au umekurupuka
Ni nadharia tu unazosadifu hapa. Ushakiri katiba zote zina mapungufu. Na pia hakuna katiba ya "wananchi" ila kuna katiba ya wenye sauti "elites" yaani hapa utasema kina sarungi na f karume na ngos people/wanaharakati ndio wananchi kisa wao wana sauti kubwa na wamejitwisha jina "wananchi"Katiba ikiwa mpya na iliyotengenezwa kwa kushirikisha wananchi na kuwaweka wanasiasa pembeni ita-improove hali ya uongozi. Sisi tunasisitiza katiba bora inayotokana na wananchi. Pamoja na mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya Kenya lakini watu wanakubali kuwa hali haiko kama ilivyokuwa kabla. Na bado wana nafasi ya kufanya marekebisho pale wanapoona walikosea. FYI katiba za nchi nyingi tu zina mapungufu lakini zina afadhali kuliko hii ya kwetu.
Elimu elimu elimu. Ni janga letu Tanzania. Hukuelewa nilichoandika. Kaa pembeni.Ni nadharia tu unazosadifu hapa. Ushakiri katiba zote zina mapungufu. Na pia hakuna katiba ya "wananchi" ila kuna katiba ya wenye sauti "elites" yaani hapa utasema kina sarungi na f karume na ngos people/wanaharakati ndio wananchi kisa wao wana sauti kubwa na wamejitwisha jina "wananchi"
Kwa IQ gani ulonayo hadi usieleweke, wewe ni Einstein ama Newton? Acha kujitutumuaElimu elimu elimu. Ni janga letu Tanzania. Hukuelewa nilichoandika. Kaa pembeni.
Jerry kitengo ....usije ulakurupuka ukomaliza maneno...tuwe makini ....kwani jerry,nick,mchopa mnawajua kiundani jaman!!!
tusipende kudemka,akina nyangasa na mwaipaya hatuwafahamu zaidi ya kuwajua kama waandishi.
Mkuu nawaza kuacha philosophy nami nipite huko slop kitonga.Nisije kupasuka kichwa.Hahahah DS hata Polepole kaichukulia MA
Hata mtaani wapo wazuri, toshekeni na mishahara yenu, mmezidi ulafi.Mh.SSH usisahau yule dogo mwenye shahada mbili lakini anauza kahawa.Kuna watu wazuri mno wapo polisi, tiss, pccb wanaachwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna mtu wa TISS hapo Mkuu usijidangaye.Kifupi hatuna Rais anachukulia nchi poa
Daah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika
Aisee ni sirikali ya aina yake ...
Labda ataendeleza uigizaji huko kwenye UDC
Na hatimaye filamu zetu zitakwenda Holly Wood.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bongo movie katika ubora wake....utasikia huyo tiss alikuwa bongo movie kimkakati tu...hongera Chikota