Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Under influence sijui hata kama ameisikiliza hii pia..To me Chris brown is stil a better artist.
I thnk kuna umuhim wa kuangalia msanii mostly kwenye tungo zake rather than muonekano kwa sababu mambi yanabadilika and voices znabadilika pia
Breezy wa "turn up the music" alikua bado mtoto , wa sasa hv kakua zaidi.
UKitaka kuenjoy hivi vitu, download the whole album na uiskilize sio kuskiza ngoma moja tu.
Subr kwanza nkaskilize Heat ya CB na Gunna