Chris Brown naona kama amekuwa mwanamuziki wa ovyo siku hizi

Under influence sijui hata kama ameisikiliza hii pia..
 
Under influence sijui hata kama ameisikiliza hii pia..
Ewaaa...
Kijana hajaskiliza album, anaskiza kitrack kimoja kimoja af anakuja na nonsense.
Anheskiliza hata album 3 tu zote akiwa ametulia tuli asingesema haya maneno ya kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…