Under influence sijui hata kama ameisikiliza hii pia..To me Chris brown is stil a better artist.
I thnk kuna umuhim wa kuangalia msanii mostly kwenye tungo zake rather than muonekano kwa sababu mambi yanabadilika and voices znabadilika pia
Breezy wa "turn up the music" alikua bado mtoto , wa sasa hv kakua zaidi.
UKitaka kuenjoy hivi vitu, download the whole album na uiskilize sio kuskiza ngoma moja tu.
Subr kwanza nkaskilize Heat ya CB na Gunna
Ewaaa...Under influence sijui hata kama ameisikiliza hii pia..
Ipiii? Uzushi mtupuu+ scandal yake na Usher Raymond
Amemshambuliajeee??Amemshambulia mwilini Usher Raymond
Alimpunch puaniAmemshambuliajeee??
Na wewe alitakiwa kuku punch kwenye taco, maana akili zako hazipo sawa..Alimpunch puani
cocastic umeona sasa unavoniponzaNa wewe alitakiwa kuku punch kwenye taco, maana akili zako hazipo sawa..