Chris Mauki elimu yake ya saikolojia ni against wanaume tu?

Chris Mauki elimu yake ya saikolojia ni against wanaume tu?

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazitoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.
 
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazipoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.
Angalia wateja wa bidhaa yake utaelewa.
 
Kwa mwanamke atapata audience kubwa maana wanawake ni watu wa kutuma hisia Sana Ku judge Mambo na yeye anapita humo humo ,ili umu win mwanamke mwambie umeachika Kisa mumeo alikuwa anakuonea utampata Kwa unahisi ,hiyo mosi.pili anapata na mboga Kwa hao hao wanawake(kama Una D Moja huwezi nielewa) mwanaume anaotumia logic huwezi ingia kwenye mfumo WA Mauki! Anacho Fanya ni devide and conquer
 
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazipoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.


UKITAKA KUPATA PESA DEAL NA MAMBO YA WANAWAKE.
 
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazitoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.
Ukianzisha biashara ikapendwa na wanawake basi ujue umeshatoboa
 
Biashara baba biashara hiyo....huko ndo kwenye maokoto na Nina uhakika hata hao anaowahudumia, watashangilia akitoka nondo ukumbini lakini wakirudi nyumbani "business as usual" maana yale yalikuwa ni ya ukumbini na walifurahi kama tiba ya mioyo yao wakiwa ukumbini Kwa kuwa tu wamesemwa wanaume ambao hawapo ukumbini ila wakirudi kwa wanaume wao yote ya ukumbini yanasahaulika
 
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazitoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.
Kuna siku aliwakandya wanaume wanaoombwa pesa na wanawake lakini majibu yao huwa hivi..... KUNA ISHU NAISIKILIZIA..!! Alipondwa hadi akaomba msamaha.
 
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazitoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.

Anawaiga manabii wenzake. Maana wanapenda kuwalenga wanawake.
 
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazitoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.
Atakuwa na HORMONE IMBALANCE
 
Jamaa tangu nimfahamu YEYE NI KUWAPONDA TU WANAUME linapokuja suala la mahusiano.

Na kwa hili amefanikiwa sana kujipatia UJIKO kwa kina Mama

Anyway ninachoamini ni kwamba jamaa mada zake zote anazozitoa anazitoa kwa muamvuli wa taaluma ya psychology lakini kiuhalisia MENGI NI MAONI YAKE BASING ON HIS PERSONAL INTEREST, NOT PROFESSIONAL.
Hii inawalipa sana wanasaikolojia na watumishi wa Mungu hasa mijini....
 
Back
Top Bottom