Chris Mauki elimu yake ya saikolojia ni against wanaume tu?

Chris Mauki elimu yake ya saikolojia ni against wanaume tu?

Ila jamaa pia anaonyesha kwenye makuzi yake company yake kubwa ilikuwa jinsia ya kike. Ana viashiria vyote
 
Samahani keakutoka nje ya mada yako

Ila
NI KWANINI KILA UZI UKIANZISHWA NA UKIPITIA COMMENT ZA WATU UTAKUTA WENGI HUISHIA KUTUKANA,
Kwa mfano wewe umeleta mada ila kuna mtu ata comment WATANZANIA WENGI NI MABUMUNDA KWELI, sasa kwani hatuwezi kuwa positive, kwani ni lazima mtu acomment , yaani kuna watu wanakera humu kwakujifanya wao wana akili nyingi , daah
 
Wanawake ni wateja wazuri sana, ndio maana hata manabii feki, waganga na hao watu wa mitandaoni wanawalenga sana wanawake.
Ukiwafurahisha kidogo tu wanatoa pesa na kukuamini haraka sana.
 
Back
Top Bottom