I wont......its voluntary so why should I.....................
Damn Hommie!
Damn Wifey!
Damn Hommie & Wifey😀😀😀
:ranger::ranger::ranger::violin::A S 33:
Hommie bana! Umenikumbusha enzi za huyu mtu? Hivi Chrispin alifia wapi jamani?
dah kwan iyo syo picha yako?ni nilikupenda saaaaaaaaaaaana cz nilipenda mwonekano wako nina aleg na mahand sam sasa km si picha yako tena ahhhhhhh nghairi bas skupend tena!!!!!!!Sijui niweke picha yangu hapa ili nipate mke humu JF nitafurahi, nitafanya kima wewe krispini
Chrispin na Charity lao moja...wako honeymoon ya mwaka mmoja...
Hahahaha! Nisome katikati ya mistari au hivyo hivyo?
Mpwa bwana na hapo infidelity haijulikani ukiwa unajishugulisha hivyo nyumbani saa ngapi mkeo atahisi una du ze nid ful kwingine
Hahahaha! Nisome katikati ya mistari au hivyo hivyo?
Salama mweka hazina?? Wapi pope?
Salama mweka hazina?? Wapi pope?
Pope bana naona anaungamisha masista. Kuna baadhi ya masista wanahitaji maungamo ya pope peke yake!
haya jamani,.,,,,,maungamo yameisha sasa....
Na zaka umechukua? Nna risiti hapa.
"masista' wanalipaga zaka? inaonyesha wewe mafundisho ya kipaimara uliyachakachua
Kwa Pope, Katekisimu inabadilishika!
Kumbuka lazima iwe na Imprimatur......LOL