Christian Ronaldo ana utoto sana. Huwa namchukia sababu ya kudhani yeye ni bora sana anafaa kuogopwa

Christian Ronaldo ana utoto sana. Huwa namchukia sababu ya kudhani yeye ni bora sana anafaa kuogopwa

Ronaldo anazingua ana mambo ya kiafrika kabisa yule sijui sababu kule Ureno kakua na wamakonde wa Ureno.

NB: Nampa heshima yake kwa jitihada zake na rekodi alizofikisha pia kwa moyo wake wa kusaidia/kurudisha kwa jamii. Na kutochora matattoo.
Msije kunipopoa mawe tu
 
Back
Top Bottom