Christian Ronaldo atastaafu kwa aibu sana

Christian Ronaldo atastaafu kwa aibu sana

Kwan kakwambia hata staafu.Uko aliko sasa ndo kustaafu kwenyewe.Nayeye sio wa kwanza labda useme wewe ni mtoto.wako wachezaji wengi tu walipomaliza soka lao la ushindani waluenda kucheza kwenye nchi nyingine zisizokua na mwamko wa soka ili kuhamasisha na kua mabalozi wa vitu mbali mbali.Kina drogba walienda kucheza hadi Uchina.becham marekan etoo urus.Mambo mengine tupunguze ujuaji wakibongo kwenye maisha ya watu waliotuzidi kila kitu hadi kufikiria.
 
Naweka tu tahadhali, alipaswa azisome alama za nyakati. Muda unaenda atadharaulika atajikuta siku moja anakuja sajiliwa Simba na bado anawekwa bench.

Umri unakataa; moyo unataka lakini mwili unakataa. Amekuwa mchezaji bora kwa miaka mingi. Amevuna pesa nyingi sana kutokana na uchezaji. Sasa ulikuwa wakati mzuri wa kustaafu akiwa na heshima.

Huko mbeleni atajikuta anatolewa kwa mkopo Simba. Akija Simba anacheza match moja Coach Mbrazili anamtoa. Baadaye anatolewa kwa mkopo Ihefu. Basi huko anacheza cheza matches kadhaa then wanamwacha.

Inawezekana bado anaupenda mpira but mpira umemchoka kwa sasa unataka aagane nao. Yeye analazimisha ndoa kama Dr. Mwaka.
Hata Mfalme na Mchawi wa Soka Ulimwenguni Pèle alicheza sana mechi za "ndondo" huko Marekani (tena Marekani ya kipindi hicho kwenye soka. Imagine!) baada ya kucheza kwa mafanikio sana Santos. Lakini, haikuharibu image yake na amefariki akiwa bado ni Mfalme na Mchawi wa Soka Ulimwenguni. Na Ronaldo ataendelea kuwa bora duniani licha ya kucheza Arabuni.
 
Ronaldo anatakiwa aache pesa ili chizi maarifa na wenzake wampe heshima.
 
Naweka tu tahadhali, alipaswa azisome alama za nyakati. Muda unaenda atadharaulika atajikuta siku moja anakuja sajiliwa Simba na bado anawekwa bench.

Umri unakataa; moyo unataka lakini mwili unakataa. Amekuwa mchezaji bora kwa miaka mingi. Amevuna pesa nyingi sana kutokana na uchezaji. Sasa ulikuwa wakati mzuri wa kustaafu akiwa na heshima.

Huko mbeleni atajikuta anatolewa kwa mkopo Simba. Akija Simba anacheza match moja Coach Mbrazili anamtoa. Baadaye anatolewa kwa mkopo Ihefu. Basi huko anacheza cheza matches kadhaa then wanamwacha.

Inawezekana bado anaupenda mpira but mpira umemchoka kwa sasa unataka aagane nao. Yeye analazimisha ndoa kama Dr. Mwaka.
MSICHOJUA nyie Ni biashara.

Ronaldo yuko kibiashara, anahitaji hela.

Leo akivunjiwa mkataba unadhani atalipwa hela ndogo.

Jina lake/brand yake inauzika. Anatumia fursa kutengeneza mkwanja.

Aliposajiliwa hapo Uarabuni Ile klabu ilikua na followers wa insta wasiofikia milioni moja lkn baada ya siku tatu tu walifikia milion 6.Jezi ziliuzwa.

Klabu inafanya biashara na Ronaldo anaingiza hela.

Sijui unaongelea aibu ipi! Kwamba Ronaldo angekataa hela.

Tumia fursa! Fursa! Fursa!
 
Cr7 haters mjinyonge,mwamba kafunga 4 goals zote peke ake mxieeeewwww
 
Back
Top Bottom