Christiano Ronaldo kabanwa mbavu

Najitahidi kuuona na kuufuatilia ubora wa huyo Christiano Ronaldo kama wengi wenu mnavyomsifia ila mpaka leo sijauona na sana sana namwona hana tofauti na Elius Maguri wa Stand United.
Mzee wa kuonea timu vidogo vya la liga a.k.a mzee wa tizi mpira. Akikutana na wanaume hasa anafyata, anakua tiatia huruma tu.
 
Huyo mzee wa kuonea vitimu vidogo vya la liga a.k.a mchezaji wa mazoezi magumu. Akikutana na wanaume hasa anafyata.
Ha ha ha kweli mkuu. Mm huwa namuita mzee wa Physical (nguvu nyingi sn).
 
Ha ha ha kweli mkuu. Mm huwa namuita mzee wa Physical (nguvu nyingi sn).
Hahaha mkuu huogopi?
Ngoja wakusikie wenyewe. Talents hazitumii nguvu mingi ktk kufanya wonders. Genious Garrincha enzi anacheza alikua anaweza kuzama dimbani akiwa bwiii lakini shughuli yake ni HISTORIA mpaka leo. Nimesahau ni mkongwe gani alitamka hivi: "Huwa naona aibu kumwambia CR kuwa anatumia nguvu nyingi kupita kiasi kuyasaka mafanikio, sababu nampenda."
 
Kwa faida ya wengi gaynaldo alishajifia siku nyingi na msimu ujao hatafikisha hata goli 30 in all competitions
Ha ha ha ha ha!! Kuna majamaa humu hawataamini!!
 
Ha ha ha ha umenichekesha sn mkuu.
 
Comment ya kichuki chuki
 
Nimeamini kuwa Cr7 ni mchezaji anayeongelewa sana duniani.
Mtakufa na kihoro.
 
Nimeamini kuwa Cr7 ni mchezaji anayeongelewa sana duniani.
Mtakufa na kihoro.
Ndio umezaliwa leo au? Kuna akina Gaucho, Messi, Pele, Ronalo Dilima (Original Ronaldo), Maradona itakuwa mchoyo huyu Ronaldo feki (Mourinho)?
 
Ndio umezaliwa leo au? Kuna akina Gaucho, Messi, Pele, Ronalo Dilima (Original Ronaldo), Maradona itakuwa mchoyo huyu Ronaldo feki (Mourinho)?
Nonsense... Mko bize kumjadili mwanasoka bora si mbaya lakini.

Sent from my TECNO S5 using JamiiForums mobile app
 
Nonsense... Mko bize kumjadili mwanasoka bora si mbaya lakini.

Sent from my TECNO S5 using JamiiForums mobile app
Pole utapasuka bure na huyo PHYSICAL wako!!
 
Chuki binafc tu, kwan kudro ndio ureno ya kwanza?, acheni zenu, kushinda timu ya taifa ni tofauti Na kushinda uki Na club, tmu ya taifa anashinda pale tu kizazi kilichopo wengi ni wazr vinginevyo mchezaji mmoja hawez leta mabadiliko, mess mzur lkn lini ameiletea makombe Argentina?, jibu mnalo mnao mdhalau cr7, lkn kwenye club unatumbua pesa kupata wachezaji wazur tofauti ba Na national Tim.
 
Messi anapafomu siku zote!! Nadhani last yr Argentina walitolewa Fainali, hadi sasa japo Kcha huwa anamuweka mzee wa kazi benchi ili aendeleze vijana, na mzee wa kazi huingia mwisho, lakni ana Magoli 3.
Leo Portugal wanacheza na Austria saa 4:00 usiku. Ngoja tuusubiri.
 
Kifka fainal sawa lkn Ana kombe hta moja tangu aibuke kuwa hero wa dunia, Na bado Argentina Ina kikosi kipana kuliko ureno, tusimlaum sana cr7 kwa Tim yake kutoshinda muangalie Na mchezaji mmoja mmoja, MF. mwingine ni mfungaji Bora wa ulaya Suarez lkn Tim yke imetolewa mapema, mafanikio ya national team ni kizazi Na kizazi kufanikiwa, Leo hii Brazil ya neymar ni tofauti Na ya akina delima
 
Suarez ni juhudi za Messi kumpaisha baada ya yy kuumia na kuwa nje ya dimba kwa muda, hivyo mfukuzano ukamuacha kidogo; japo tofauti walio muacha nayo siyo kubwa sn.
Neymar ni mzr ila si mzr sana, huwezi kumtegemea kubeba team.

Ila Ronaldo aliwahi kujinasibu kuwa yy ni bora; iwapo wachezaji wenzie wa RealMadrid wangekuwa kama yy Ubingwa wangebeba. Hapa anatoa picha kuwa yy ni bora.

Unapokuwa bora hata kama mmefungwa mf, Zaltan, au Bale (Wales) onesha kuwa ww kweli ni bora. Sijakataa kuwa Ronaldo si bora, la asha!! Nimeuliza tu kiwango chake kimeshuka?
 
Kadr umri unavyo enda Na kiwango kinashuka, Ronald wa real Madrid ni mfungaji lkn wa man u alikuwa mtengenezaji Na mfungaj pia,
 
Never liked this guy....binafsi naona anauwezo wa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…