Christiano Ronaldo: Star wa dunia

Christiano Ronaldo: Star wa dunia

Mashabiki wa Ronaldo mnachrkesha sana.

Yani mnaamisha magoli tu ili kuonyesha Ronaldo ni bora kuliko Messi.

Kama wewe hapa umehamia kwenye kula na kunywa kama kigezo cha kuonyesha ubora wa Ronaldo dhidi ya messi!

Soon mtaamia kwenye kigezo cha uwezo wa kutongoza na ku date na wanawake wazuri kama kigezo.
We ndo hujaelewa kitu nilichoandika umekurupuka.
Messi hafanyi anachofanya Cristiano ila anafanya mambo makubwa ndo maana nikasema Messi hana NIDHAMU ya vyakula ila Ronaldo anayo NIDHAMU ya vyakula.
Ndo maana hata Peter Druly anasema Ronaldo anacheza kama mchezaji wa kiwango cha juu ila Messi anacheza kama "mungu" (like a god).
 
Ila mashabiki wa Huyo anayependa kulia lia mna shida kichwani..

Huyo mtu kila anapoenda lazima anyee kambi hao waarabu soon atawanyea.
 
Cristiano Ronaldo a boy from Madeira ureno Hadi kuwa superstar wa DUNIA kwenye mtandao unaotumiwa na watu wengi duniani Instagram, kuhama kwake ulaya kwenda uarabuni kumeleta mabadiliko kadhaa kama wachezaji wengi maarufu wa ulaya kuhamia uarabuni it was marketing strategies najamaa kweli wame win kumuweka CRISTIANO KAMA AMBASSADOR ku-inspire saudi iwe host wa World Cup after his retirement from football.

CRISTIANO NA MESSI WOTE WANA VIPAJI SIO KAMA WAINGEREZA ILA CRISTIANO HE IS MORE FOCUSED (ANA JUHUDI) KWA SABABU ANAJUA NINI ANACHOTAKA KWENYE MAISHA MJADALA UISHIE HAPA NASINDIKIZA NA PICHA

View attachment 2666385

Hii picha uliyoweka hapa ndo mastaa? Hawa ndo ma staa wa mpira duniani sasa hivi ? [emoji848][emoji848][emoji848].

Hakuna staa aliye kwenye peak anaweza enda saudi, hakuna
 
Messi ana uwezo ila Cristiano ana uwezo zaidi ni basi tu media za ulaya ILA MIMI KWANGU RONALDO NI BEST NDIO MAANA FOOTSTEPS WAKE MBAPPE ALIMUONYA MESSI AKAMWAMBIA MIMI NDIO CRISTIANO MPYA STYLING OF PLAY NAMAANISHA
Yaani wewe ni huelewi Christiano umesema footsteps wake yupo ambaye ni Mbappe , huyu Messi dunia inahangaika kupata Footsteps wake hajapatikana huoni kama upatikanaji umezingatia kanuni ya from simple to complex.
 
Cristiano Ronaldo a boy from Madeira ureno Hadi kuwa superstar wa DUNIA kwenye mtandao unaotumiwa na watu wengi duniani Instagram, kuhama kwake ulaya kwenda uarabuni kumeleta mabadiliko kadhaa kama wachezaji wengi maarufu wa ulaya kuhamia uarabuni it was marketing strategies najamaa kweli wame win kumuweka CRISTIANO KAMA AMBASSADOR ku-inspire saudi iwe host wa World Cup after his retirement from football.

CRISTIANO NA MESSI WOTE WANA VIPAJI SIO KAMA WAINGEREZA ILA CRISTIANO HE IS MORE FOCUSED (ANA JUHUDI) KWA SABABU ANAJUA NINI ANACHOTAKA KWENYE MAISHA MJADALA UISHIE HAPA NASINDIKIZA NA PICHA

View attachment 2666385
Una uhakika kwamba haujui kuandika habari yote uliyoikusudia kwa kiswahili kilichonyooka?Ni vema ukaandika kama unaandika.Siyo kama unaongea kijiweni.Tofautisha hilo.
 
Katika wachezaji wa mpira wa Miguu wanaoishi mpaka sasa hivi hakuna mwenye mafanikio ya mpira kuliko Messi na itachukua muda wa miaka kadhaa kumpata wa kumfikia Messi.Angalia vikombe na awards alizoshinda linganisha na mchezaji yoyote duniani kwa sasa.

Halland yupo kwenye mission, jamaa anaelekewa kuwaumbua hawa kina Messi.
 
Back
Top Bottom