Christina Shusho ashauri umri wa mtu mzima usianzia miaka 18

Nehi95

Member
Joined
Jun 11, 2024
Posts
61
Reaction score
128
Nimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18. Adai aliolewa akiwa mtoto na mume hana mchango kwenye mafanikio yake.

Jamani na kama maamuzi kwanini asiyafanye wkt ule Yuko Binti maana Kwa sasa sijui anautoto upi

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Nimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18...adai aliolewa akiwa mtoto na mume Hana mchango kwenye mafanikio yake
Jamani na kama maamuzi kwanini asiyafanye wkt ule Yuko Binti maana Kwa sasa sij
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…