Ulikuwa hujui hilo?Nimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18...adai aliolewa akiwa mtoto na mume Hana mchango kwenye mafanikio yake
Jamani na kama maamuzi kwanini asiyafanye wkt ule Yuko Binti maana Kwa sasa sij
Kwani hizo pisi Kali hazitaki kuolewa?ila uyo mama ni mzuri sana asee, mzee asingeweza himili vishindo
wanaume tuoe pisi za kawaida, hzo kali huwa za mapambo tu
Sio kweli ni hulka ya mtuila uyo mama ni mzuri sana asee, mzee asingeweza himili vishindo
wanaume tuoe pisi za kawaida, hzo kali huwa za mapambo tu
Akili butu kwani mke ndo kashika akili yakoMke ndio adui namba moja duniani, ukishindwa kufanya chochote mlaumu mke, ukishindwa kijishughulisha mlaumu mke, ukijikwaa mlaumu mke......
Mwisho kataa ndoa.
Amelidhalilisha kanisa, swali fikirishi hivi umalaya ukojeNimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18. Adai aliolewa akiwa mtoto na mume hana mchango kwenye mafanikio yake.
Jamani na kama maamuzi kwanini asiyafanye wkt ule Yuko Binti maana Kwa sasa sijui anautoto upi
View attachment 3021699
View attachment 3021701View attachment 3021702
Mke ni adui....mke hana jema, mke ni shetaniAkili butu kwani mke ndo kashika akili yako
Hata weweMke ni adui....mke hana jema, mke ni shetani
Mie ndo kausha damu kabisa, zombie mla damu....Hata wewe
Mbegu ya Kirundi hiyo hawanaga shukuraniSijui mwamba gani anakula tumbua ya huyu bidada?...
Kausha damu chupi mkononiMie ndo kausha damu kabisa, zombie mla damu....