Christina Shusho, colabo na Diamond hapo umeliwa!

Christina Shusho, colabo na Diamond hapo umeliwa!

Inaelezwa Christina ni malaya wa muda mrefu huenda hata kabla ya ndoa yake kufa, yule Pastor Shusho alimstiri mnooo huyo madam.
Christina ana mambo mengi mnoo machafu nyuma ya pazia (tunaomjua tunastiri ili kulinda utu wake, familia yake na imani aliyokuwa anahubiri), hata hii kuanza kufunguka ameifanya kimakusudi ili 'ngoma ivumee' kiasi cha kutaka kupasuka na kila kitu kilichopangwa kiwekwe wazi.

Watu wengi wasiofahamu ni kuwa, toka kitambo kidogo Gospel music ilishamtupa nje Christina Shusho (amekuwa akisurvive na trend ya nyimbo zake za zamani, zile za zaidi ya miaka kumi iliyopita), ngoma zake mpya na album zake mpya, zote zimefeli (kidogo Kenya vimehit) regardless ya gharama kubwa na promo kubwa aliyotumia kuzipa milleage.

Kwa kuwa Christina alishalewa umaarufu na kuonja utamu wa pesa, hakuna namna atataka kutoka kwenye hiyo reli unless miujiza wa Mungu imuokoe!
Bahati mbaya sana Christina haoni tena njia ya kutoboa (pesa na umaarufu) kupitia Gospel, muziki umeshamgomea na uchungaji wa mchongo umemkataa, hautamani tena, mtaji aliowekeza kwenye Church yake pale Manzese unamletea loss kila siku, hakuna waumini wa kutosha na hakuna sadaka ya kumwagika!

Mpango wake kabambe wa sasa ni kutaka kuchomokea kwenye Bongo flaviour kupitia 'mziki vuguvugu', na mlango rahisi wa kutrend ni kupitia Diamond na tena uko wazi, mipango imeshakamilika, kwa sasa ni kudondosha drama kwa kwenda mbele (ili kutrend) kisha kuja kuachia ngoma yenye hits.

Mambo ni mengi lakini muda ni mchache. Kaeni mkao wa kuona mambo mengi ya kustaajabisha na huenda yakawachafua baadhi ya watu. Yote ni maisha tu.
 
Inaelezwa Christina ni malaya wa muda mrefu huenda hata kabla ya ndoa yake kufa, yule Pastor Shusho alimstiri mnooo huyo madam.
Christina ana mambo mengi mnoo machafu nyuma ya pazia (tunaomjua tunastiri ili kulinda utu wake, familia yake na imani aliyokuwa anahubiri), hata hii kuanza kufunguka ameifanya kimakusudi ili 'ngoma ivumee' kiasi cha kutaka kupasuka na kila kitu kilichopangwa kiwekwe wazi.

Watu wengi wasiofahamu ni kuwa, toka kitambo kidogo Gospel music ilishamtupa nje Christina Shusho (amekuwa akisurvive na trend ya nyimbo zake za zamani, zile za zaidi ya miaka kumi iliyopita), ngoma zake mpya na album zake mpya, zote zimefeli (kidogo Kenya vimehit) regardless ya gharama kubwa na promo kubwa aliyotumia kuzipa milleage.

Kwa kuwa Christina alishalewa umaarufu na kuonja utamu wa pesa, hakuna namna atataka kutoka kwenye hiyo reli unless miujiza wa Mungu imuokoe!
Bahati mbaya sana Christina haoni tena njia ya kutoboa (pesa na umaarufu) kupitia Gospel, muziki umeshamgomea na uchungaji wa mchongo umemkataa, hautamani tena, mtaji aliowekeza kwenye Church yake pale Manzese unamletea loss kila siku, hakuna waumini wa kutosha na hakuna sadaka ya kumwagika!

Mpango wake kabambe wa sasa ni kutaka kuchomokea kwenye Bongo flaviour kupitia 'mziki vuguvugu', na mlango rahisi wa kutrend ni kupitia Diamond na tena uko wazi, mipango imeshakamilika, kwa sasa ni kudondosha drama kwa kwenda mbele (ili kutrend) kisha kuja kuachia ngoma yenye hits.

Mambo ni mengi lakini muda ni mchache. Kaeni mkao wa kuona mambo mengi ya kustaajabisha na huenda yakawachafua baadhi ya watu. Yote ni maisha tu.
Duh....mbombo ngafu!
 
Inaelezwa Christina ni malaya wa muda mrefu huenda hata kabla ya ndoa yake kufa, yule Pastor Shusho alimstiri mnooo huyo madam.
Christina ana mambo mengi mnoo machafu nyuma ya pazia (tunaomjua tunastiri ili kulinda utu wake, familia yake na imani aliyokuwa anahubiri), hata hii kuanza kufunguka ameifanya kimakusudi ili 'ngoma ivumee' kiasi cha kutaka kupasuka na kila kitu kilichopangwa kiwekwe wazi.

Watu wengi wasiofahamu ni kuwa, toka kitambo kidogo Gospel music ilishamtupa nje Christina Shusho (amekuwa akisurvive na trend ya nyimbo zake za zamani, zile za zaidi ya miaka kumi iliyopita), ngoma zake mpya na album zake mpya, zote zimefeli (kidogo Kenya vimehit) regardless ya gharama kubwa na promo kubwa aliyotumia kuzipa milleage.

Kwa kuwa Christina alishalewa umaarufu na kuonja utamu wa pesa, hakuna namna atataka kutoka kwenye hiyo reli unless miujiza wa Mungu imuokoe!
Bahati mbaya sana Christina haoni tena njia ya kutoboa (pesa na umaarufu) kupitia Gospel, muziki umeshamgomea na uchungaji wa mchongo umemkataa, hautamani tena, mtaji aliowekeza kwenye Church yake pale Manzese unamletea loss kila siku, hakuna waumini wa kutosha na hakuna sadaka ya kumwagika!

Mpango wake kabambe wa sasa ni kutaka kuchomokea kwenye Bongo flaviour kupitia 'mziki vuguvugu', na mlango rahisi wa kutrend ni kupitia Diamond na tena uko wazi, mipango imeshakamilika, kwa sasa ni kudondosha drama kwa kwenda mbele (ili kutrend) kisha kuja kuachia ngoma yenye hits.

Mambo ni mengi lakini muda ni mchache. Kaeni mkao wa kuona mambo mengi ya kustaajabisha na huenda yakawachafua baadhi ya watu. Yote ni maisha tu.
Dada Shusho kaingia majaribu mazito.
 
Dada Shusho kaingia majaribu mazito.
Tunaomjua Shusho hatushangai, tulishamuonya na kumshauri arudi kwenye mstari tangu kitambo, akatudharau!
Kinachoendelea sasa ni sehemu tu ya kile alichokuwa akikificha nyuma ya pazia kwa muda mrefu, anafanya haya sasa ili kutengeneza mazingira ya kule anakoelekea na amekuwa akikutamani kwa muda mrefu. Drama nyingi na kubwa zinakuja zaidi. Jipe muda utaona mengi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao nilivutiwa mnoo na nyimbo za Christina Shusho kwenye zile album zake za kitambo kabla ya kuharibikiwa na kuanza kuimba kibiashata na mpaka sasa bado zile nyombo zake nazikubali mnoo.

Sio chini ya miaka saba sasa tangu Shusho 'aharibike', binafsi (na watu wengine wengi wenye hekima) kipindi kile kile nilichogundua kuwa Christina amebadilika (kama shabiki wa muziki wake), niliwahi kumwambia (kwa kumwandikia ujumbe kwa sababu niliumia) wa kumuonya na kumshauri kurudi kwenye mstari kwa kuwa anakoelekea ni hatari mnoo, hakusikia.
 
View attachment 2976797

Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo. Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment
Kama vile namsikia mond anasema "She's a MILF and I'm a Motherfvcker"
 
Hivi mnakumbuka kipindi fulani cha nyuma sana (wakati Diamond na Ally Kiba wakipambana kwa kutoa hits songs) katika ya vita Christina aliibuka tu na kusema anamkubali Ally Kiba. Tena akiifanyia 'some endorsement' hit song ya Kiba aliyokuwa ameitoa (kama ngoma haikuwa Mwana basi ilikuwa Seduce)

Lengo mnadhani lilikuwa ni nini?
 
Nafikiri huku ni kuingilia maisha ya mtu, mtu kaacha mumw juzi, na unajua mtu asiye na mume anaitaji kuliwa, What if anampenda Diamond na anataka kuliwa, shida yako nini? Unataka kuliwa wewe?
 
Tunaomjua Shusho hatushangai, tulishamuonya na kumshauri arudi kwenye mstari tangu kitambo, akatudharau!
Kinachoendelea sasa ni sehemu tu ya kile alichokuwa akikificha nyuma ya pazia kwa muda mrefu, anafanya haya sasa ili kutengeneza mazingira ya kule anakoelekea na amekuwa akikutamani kwa muda mrefu. Drama nyingi na kubwa zinakuja zaidi. Jipe muda utaona mengi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao nilivutiwa mnoo na nyimbo za Christina Shusho kwenye zile album zake za kitambo kabla ya kuharibikiwa na kuanza kuimba kibiashata na mpaka sasa bado zile nyombo zake nazikubali mnoo.

Sio chini ya miaka saba sasa tangu Shusho 'aharibike', binafsi (na watu wengine wengi wenye hekima) kipindi kile kile nilichogundua kuwa Christina amebadilika (kama shabiki wa muziki wake), niliwahi kumwambia (kwa kumwandikia ujumbe kwa sababu niliumia) wa kumuonya na kumshauri kurudi kwenye mstari kwa kuwa anakoelekea ni hatari mnoo, hakusikia.
Mwana kulitafuta mwana kulipata!
 
Tunaomjua Shusho hatushangai, tulishamuonya na kumshauri arudi kwenye mstari tangu kitambo, akatudharau!
Kinachoendelea sasa ni sehemu tu ya kile alichokuwa akikificha nyuma ya pazia kwa muda mrefu, anafanya haya sasa ili kutengeneza mazingira ya kule anakoelekea na amekuwa akikutamani kwa muda mrefu. Drama nyingi na kubwa zinakuja zaidi. Jipe muda utaona mengi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao nilivutiwa mnoo na nyimbo za Christina Shusho kwenye zile album zake za kitambo kabla ya kuharibikiwa na kuanza kuimba kibiashata na mpaka sasa bado zile nyombo zake nazikubali mnoo.

Sio chini ya miaka saba sasa tangu Shusho 'aharibike', binafsi (na watu wengine wengi wenye hekima) kipindi kile kile nilichogundua kuwa Christina amebadilika (kama shabiki wa muziki wake), niliwahi kumwambia (kwa kumwandikia ujumbe kwa sababu niliumia) wa kumuonya na kumshauri kurudi kwenye mstari kwa kuwa anakoelekea ni hatari mnoo, hakusikia.
Shusho atubu tu, jamii imuelewe na umsamehe!
 
View attachment 2976797

Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo. Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment
ila kazeeka aisee huyu maza
 
View attachment 2976797

Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo. Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment
wadudu wamekutana wacha wapararuane
 
Huyu si mwimbaji wa nyimbo za injili.
1 Yohana 2:15
[15]Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake.

2 Wakorintho 6:14
[14]Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?


Mathayo 7:16-17
[16]Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?

[17]Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya.

Huyu sio kondoo
Alijiingiza kwa siri kqenye kundi la kondoo
Muda wake umeshafika kwasababu yeye ni nguruwe kwa kuanzia.
 
Sasa huyo Tina si ana papuchi jamani, tena kasema mwenyewe anapenda vijana
 
Huyu mtu afunguliwe uzi maalumu awe kama wenzake Tanesco na wengineo sasa ni mwezi umekatika bado anajadiliwa kwa nguvu zote

1714585016571.png
 
Sema pamoja na yooote huyu dada ana ngoma yani nazozikubali 👇
Thamani ya wokovu
Nipe macho nione
Nashusha nyavu
 
Back
Top Bottom