HahahaDiamond kazaliwa na kukulia Dasilamu, hiyo Kigoma katika lini?
Chini ya thumni kuna senti 20.na senti 10. Ukiwaamini kiduuuchu ndo umetoboa tundu kabisaamwanamke ni kiumbe cha hovyo ndyo maana dini zimewashusha na kuwapa rank ya watumwa..siwaamin hata thumni
Baba mchungaji ndiye aliacha au aliachwa ?Shusho toka aachane na muwe wake (pastor fulani wa ukweli) amegeuka kuwa mdangaji tu!. Inasemekana Wahuni wanapiga kavu kavu, dau lako tu.
Nakuona nakuona mdau wa mishangazi ๐๐คฃ Unyama ni mwingii sema shangaz liwe zuri sasa kama Shusho.
Acha mashaka mkuu ๐Na huo utambolisho wa urafiki umenitia mashaka hapo kwenye umaliziaji "โsana".
Una uhakika?Mondi ashakula mzigo huo
Hii Imeenda!Amefunguka da Christina...
"Tunaongea sana pamoja, yeye akiwa na shida ananipigia namshauri kama dada yake na mimi nikiwa na shida namtafuta. Tunazungumza mengi mengine ni ya siri na tumekuwa karibu kwa sababu wote tunatoka Kigoma"
"Kiukweli hakuna mtu anayeweza kunilipa nikaimbe kwenye tamasha lake, tunafanya tuu kusaidiana maana binafsi nikisema nianze kuweka dau langu hakuna wa kunilipa hiyo pesa"
Christina Shusho, 'Msanii' wa muziki wa Injili Tanzania.
#kuna uwezekano wa Mond kuokoa mwaka huu[emoji28]View attachment 2763075
Zooming yako iko vizuri hahaha!View attachment 2763091
Inapanda mdogomdogo
Wapi?Hii Imeenda!
Umeona en, Mimi nadhani anajitafutia kiki za kijinga tu.Diamond kazaliwa na kukulia Dasilamu, hiyo Kigoma katika lini?
Yaani nyie watu!Zooming yako iko vizuri hahaha!
Kabadilishwa na makeupNdio huyo?? Doh kama ni yeye hapo amebadilika sana!
Nimecheka sana! Kukagua picha Watu wapo makini sanaYaani nyie watu!
Yanii pia amekua na mwili wa tofauti au mie ndio sijamuona muda mrefu labda!!Kabadilishwa na makeup
๐Nimecheka sana! Kukagua picha Watu wapo makini sana