Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #61
Siku hizi umekuwa mrembo zaidiYanii pia amekua na mwili wa tofauti au mie ndio sijamuona muda mrefu labda!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi umekuwa mrembo zaidiYanii pia amekua na mwili wa tofauti au mie ndio sijamuona muda mrefu labda!!
Mweeeh!Na nguo wamematch aweeeeeeeh!
Ndio ninemshangaa eti ..au mambo ya uturuki!! Basi sikuhizi amenougaa sana!Siku hizi umekuwa mrembo zaidi
Sasa je!! Naangalia ukaribu kwa umakini sana!Mweeeh!
Bado tu umekodolea picha ya mtu na dada akee?
Hivi kanisa lake lipo wapi niende jpili hii kusali huko?Ndio ninemshangaa eti ..au mambo ya uturuki!! Basi sikuhizi amenougaa sana!
Anajidhalilisha tu kukaa karibu na wahuni
Pesa inamfanya akose mipaka
Mwanamke asiyekuwa na kiongozi ktk familia haya ndio matokea yake
Sijui wanaimba chorus gani hapo, hebu kisia nikupe tano.Sasa je!! Naangalia ukaribu kwa umakini sana!
Kakamtu anacheza kwa hisiaa Mwenyewe!
Mi hata najua sasa kwani anakaa wapi huko mujini kwenu Daslamu ama???🤠Hivi kanisa lake lipo wapi niende jpili hii kusali huko?
Ukute anaimba ule wimbo wake "napenda"Sijui wanaimba chorus gani hapo, hebu kisia nikupe tano.
Nimeizoom!! nime conclude dogo keshafanya yake kwa hilo lishangazi.Umesha izoom picha?
Chukua tano!Ukute anaimba ule wimbo wake "napenda"
Yupo Dar pande za Tabata kwa mishangazi, ila kanisa lake ndo sijui lilipoMi hata najua sasa kwani anakaa wapi huko mujini kwenu Daslamu ama???🤠
Yethuu na Marie!Nimeizoom!! nime conclude dogo keshafanya yake kwa hilo lishangazi.
Hapo sijui, lakini wengi wanahisi Shusho kwa sababu ya tamaa zake za kutaka kuishi kwa uhuru aliamua kumkimbia Pastor, upande wa pili wapo wanaosema kwa sababu za ufuska wa Shusho basi Pastor akaona akae pembeni kimya kimya.Baba mchungaji ndiye aliacha au aliachwa ?
Hahahahah hio midude haina mambo mengi. Kazi ni moja tu kupeana burudaniNakuona nakuona mdau wa mishangazi 😂
Kanisa lake la mchongo lipo Manzese karibu na Tip top.Yupo Dar pande za Tabata kwa mishangazi, ila kanisa lake ndo sijui lilipo
Huo mshangazi nishauona unapush V8 mbichi sana akiwa kampakia mzee mmoja mwenye body la kifisadiYupo Dar pande za Tabata kwa mishangazi, ila kanisa lake ndo sijui lilipo