Christina Shusho: Mimi na Diamond Platinumz ni marafiki sana

Christina Shusho: Mimi na Diamond Platinumz ni marafiki sana

Alaaa naanza kuunganisha dotii.

Moja huyu dadaa miziki yakee ikoo so additivee, Ina melody tamuu Kweli Kweli. Sasa niwaulize swali? JE, ni nani aliyekuwa anamwimbia Mungu Kule juu, wakati wa enzi kabda hawajagombana? Inatisha sana nitaongea kwa Code tuu Ili kulinda usalama wangu!

Pia, niwafumbue macho jinsi haya matukio mawili yanavyofanana, mwaka Jana Harmonizer alishtuka alipokuwa airport Mombasa alipomwona huyu mama, walioshuhudia tukio hilo wanasema harmonizer alitembea na tumbo mpaka miguuni mwake! Alafu akaibusu. Sasa Leoo tunasikia teena kwa DeeMondi!!! Hali inatisha Sanaa! Mtaona Siku ZA karibuni Mondi ataachia Ngoma yenye Melody kali,,, naogopaa Saba kwa haya nayowaeleza ndugu zanguni leo sitazima taa ya chumbani kwangu wakati nalala wasije nitumia Popobawa.

Sasa kituu cha ajabu huyu dada Ana nyimbo yake moja inayokwenda kwa jina BWANA NITETEE. Hii nyimbo mashairi yake yamejaa kuomba kisasi kwa bwana kwa maaudui zake, lakini mbona Yesu alisema tusamehee Saba mala SabiNi..
Almas + Rajab + Christina = wa moja?
 
mojawapo ya disappointment kwenye gospel music ni huyu dada. mojawapo ya disappointment kwenye ndoa pia. sio mfano wa kuigwa. Mungu amsaidie. wamekosa yaliyo ya Mungu hadi kupiga goti kwa maajenti wa misiki ya kishetani, je? ni kwasababu kwa Mungu hakuna mafunuo?au nini,
Hata Yesu alipiga story na makahaba, so sio ajabu hao wawili kuwa marafiki.
 
Anajidhalilisha tu kukaa karibu na wahuni

Pesa inamfanya akose mipaka

Mwanamke asiyekuwa na kiongozi ktk familia haya ndio matokea yake
Kaishatumiwa majini na kutekwa akili muda si mrefu ataanza kupelekewa moto kama bado!
"....kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
2 Wakorintho 6:14"
 
Amefunguka da Christina...

"Tunaongea sana pamoja, yeye akiwa na shida ananipigia namshauri kama dada yake na mimi nikiwa na shida namtafuta. Tunazungumza mengi mengine ni ya siri na tumekuwa karibu kwa sababu wote tunatoka Kigoma"

"Kiukweli hakuna mtu anayeweza kunilipa nikaimbe kwenye tamasha lake, tunafanya tuu kusaidiana maana binafsi nikisema nianze kuweka dau langu hakuna wa kunilipa hiyo pesa"

Christina Shusho, 'Msanii' wa muziki wa Injili Tanzania.

#kuna uwezekano wa Mond kuokoka mwaka huu[emoji28]View attachment 2763075
Angalia vizuri picha! Mondi akili yake hiko hapo chini ya kitovu!
 
Back
Top Bottom