Christmas haiwezi kupita bila baraka ya mvua, tayari imenyesha mjini mbeya, hapo ulipo je?

Christmas haiwezi kupita bila baraka ya mvua, tayari imenyesha mjini mbeya, hapo ulipo je?

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Mungu hajawahi kuacha tusherehekee bila baraka ya mvua kama wale wengine wanavyokaushwa.
 
Kwani huu si ndiyo msimu wa mvua mbona zonanyesha karibu kila siku?

Ilitakiwa Christmas iwe kipindi cha kiangazi halafu mvua inyeshe ndiyo tutasema imekuja na baraka.
 
Kwani huu si ndiyo msimu wa mvua mbona zonanyesha karibu kila siku?

Ilitakiwa Christmas iwe kipindi cha kiangazi halafu mvua inyeshe ndiyo tutasema imekuja na baraka.
Mvua ya siku ya Christmas huwa ni kidogo kwa ajili ya baraka tu, hainyeshi nyingi.
 
Tangu nikiwa mdg wakati wa Krismas ni lazima mvua inyeshe tena sio kubwa...kidg tu ya baraka
 
Back
Top Bottom