Christmas holiday updates -Moshi, Kilimanjaro

Christmas holiday updates -Moshi, Kilimanjaro

Mimi naamini mnajigamba tu hapa kwa uzi wengi namba mmezisoma haswaa na mtabakia town mana mirija mingi iliyokuwa inatoa hela za kutanulia Uncle kaishikaaaa
 
Mambo vipi wadau,
Tukiwa katika msimu wa sikukuu ya xmas na mwaka mpya....popote ulipo bdani ya Kilimanjaro.....ikiwa umetoka maeneo mbalimbali ya nchi na nje ya nchi kwa ajili ya kuungana na familia na wazazi wetu. Tupeane updates ya yanayojiri maeneo mbalimbali kama vile Moshi town, Kibosho, Uru, Marangu, Kilema, Machame, Sanya juu, Hai, Kirua vunjo, Old Moshi, Kahe, Upareni, Rombo na maeneo mengine. tusisahau mialiko kwani huu ndo msimu wenyewe wa sikukuu...

Kwa mjini kama kawaida wadau washaanza ingia na burudani ni kama kawaida.
Karibu Marangu Mamba kutakuwa na mbege yakutosha.
 
Sitaki ujinga mimi...
3599404ea5a39fdef94253b1f180ecf9.jpg
 
Mimi naamini mnajigamba tu hapa kwa uzi wengi namba mmezisoma haswaa na mtabakia town mana mirija mingi iliyokuwa inatoa hela za kutanulia Uncle kaishikaaaa
kwa taarifa yako bado sihaondoka Niko dar kama unahamu ya kwenda sema nikupe kalift ukaenjoy. Namalizia process flan TRA nibinjuke na ndinga kaliiiiiii Hajatumbuliwa mtu kule na pia hatutegemei serika kama chanzo cha mapato make mkijua.
 
Mambo vipi wadau,
Tukiwa katika msimu wa sikukuu ya xmas na mwaka mpya....popote ulipo bdani ya Kilimanjaro.....ikiwa umetoka maeneo mbalimbali ya nchi na nje ya nchi kwa ajili ya kuungana na familia na wazazi wetu. Tupeane updates ya yanayojiri maeneo mbalimbali kama vile Moshi town, Kibosho, Uru, Marangu, Kilema, Machame, Sanya juu, Hai, Kirua vunjo, Old Moshi, Kahe, Upareni, Rombo na maeneo mengine. tusisahau mialiko kwani huu ndo msimu wenyewe wa sikukuu...

Kwa mjini kama kawaida wadau washaanza ingia na burudani ni kama kawaida.
aikambe, yethuuu, hiyo hela ya kupoteza mgombani si afadhali mngeenda kufufua bank yenu ya wachaga aka cr..b aisee maana inakufa atii ilikuwa inategemea mihela ya serikali atiii
 
Back
Top Bottom