Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Wewe Ni Kiazi Endelea Kubishana Tu Humu Lakini Huwezi Kupindua Ukweli. Utawadanganya Ambao Hawajafika Kwenu Huko
Najua una njaa njoo UCHAGANI ule nyama
FB_IMG_16090389156339765.jpeg
 
Weweeee Mimi wilaya zote isipokuwa ngara na kyerwa nimefika
Ukitoa muleba _bukoba Centers ni kagoma,izigo,kaboya,kagondo tena vi Center vidogo vidog ukiangalia huku na huku ni miti na vichaka tu
Eti miti na vichaka?

Kwamba watu wanajenga barabarani au vip au hujui kwamba ni barabara kuu?


Hebu jaribu uende kanyigoz mugana kishanda huko vijijini huwa viko hivi.

Na kama hujui kagera kuna mpaka uhaba wa ardhi
FB_IMG_16037235476935609.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni distance basi mbeya musoma kigoma rukwa mtwara route ingeongezwa Hadi mara tatu kama bukoba.


Hebu tzm bukoba vijijini palivyoView attachment 1660224

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hivi kweli hio ndo picha ya kubrag?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji119][emoji119] kweli jamani? Ujue nilijua umekosea labda.
 
Pambavu wewe huna analysis ya kisayansi data zako ni za uongo mtupu, wewe xmass tarehe 25 leo 27 umetembea uchagani kote unatumia ungo au mwanga wewe
Mwaka huu niliamua kufanya tour trip huko Kilimanjaro ili kujifunza na kujionea shamrashamra za Wachaga wakisheherekea sikukuu ya Christmas.

Mpaka sasa bado nipo Uchagani.

Nimefanikiwa kufika maeneo ya Rombo, Mwika, Marangu, Old Moshi, Kibosho na Machame. Sijafanikiwa kufika maeneo ya Kirua Vunjo na Uru. Kuna mambo mazuri sana na mabaya machache niliweza kuyaona, kwa mada hii leo hapa sitayazungumzia mabaya wala mazuri (nitakuja na mada yake baadaye nikikamilisha ziara yangu), bali nitazungumzia baadhi ya mambo yaliyokuzwa kuliko uhalisia wake.

1. Sio kweli kuwa karibu kila Mchaga hurejea kwao kipindi hiki cha Kristmas. Ukweli ni kwamba idadi ya Wachaga wanaorejea makwao kipindi hiki huenda haifiki hata robo katika Miji (namaanisha Boma la Ukoo lenye muunganiko wa familia kadhaa zenye kushare wazazi) niliyoweza kuipitia, zaidi ya 80% ya wauhusika hawakurudi kwao. Kuna maboma kadhaa yalikuwa yamefungwa kabisa, hakuna aliyerejea kabisa!

2. Sio kweli kuwa kila jamii ya Kichaga kipindi hiki huweza kusheherekea Christmass kwa shamrashamra. Nimeweza kukutana na familia za Wachaga Waislamu (hasa maeneo ya Machame na Kibosho), jamii zingine maskini sana na familia nyingi zisizoeleweka nk, hao hawana muda wowote na sherehe za Krismasi. Wako busy na maisha yao mengine.

3. Misafara mingi ya magari binafsi yaliyokuwa yakielekea uchagani yalikuwa ni magari ya familia chache zenye uwezo mkubwa kifedha au maisha ya mbwembwe. Kifupi sana, magari yale huenda yanaakisi 10% tu ya familia za Kichaga. Wengi wa wachaga wamekuja kula sikukuu kwa kutumia usafiri wa umma bila kujali kama wanamiliki magari mijini au hawana kabisa magari.

4. Sehemu kubwa ya miji (maboma) zimejengwa kwa nyumba za kawaida kabisa na nyingine ziko kizamani japokuwa zinaonekana kutunzwa vyema. Zaidi ya 90% sio nyumba za gharama kubwa au kisasa. Pia niliweza kukutana na nyumba duni au mapagala yanayoonekana kutelekezwa lakini nikakuta kuna watu wanakaa!
 
Kuwa na population density kubwa ndo sababu kusiwepo na mapori? Watu munaishi kwenye vibanda vidogo watu 20 unategemea nn? Hiyo population yenu imeweza changiaje pato la kila kaya huko kwenu?

Halafu sisi hatutegemei kupata riziki sehemu moja. We vaccate we mboriko.
Hakuna tajiri anayeridhika. Tunakuja hadi huko vijijini kwenu hukohuko. Nyie kukaa sehemu moja hiyo hiyo ndo mmeona fahari ndo maana bongolala. Tembeeni mpate exposure. Nimegundua nyie mbaobisha hamjawahi fika hata hiyo same.
Unachekesha wewe kwa hyo wahaya hawajatembea, yaani kila uendako lazima Mhaya utamkuta anasaka life
 
Back
Top Bottom