Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Weweeee Mimi wilaya zote isipokuwa ngara na kyerwa nimefika
Ukitoa muleba _bukoba Centers ni kagoma,izigo,kaboya,kagondo tena vi Center vidogo vidog ukiangalia huku na huku ni miti na vichaka tu
Eti miti na vichaka?

Kwamba watu wanajenga barabarani au vip au hujui kwamba ni barabara kuu?


Hebu jaribu uende kanyigoz mugana kishanda huko vijijini huwa viko hivi.

Na kama hujui kagera kuna mpaka uhaba wa ardhi

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni distance basi mbeya musoma kigoma rukwa mtwara route ingeongezwa Hadi mara tatu kama bukoba.


Hebu tzm bukoba vijijini palivyoView attachment 1660224

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hivi kweli hio ndo picha ya kubrag?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji119][emoji119] kweli jamani? Ujue nilijua umekosea labda.
 
Pambavu wewe huna analysis ya kisayansi data zako ni za uongo mtupu, wewe xmass tarehe 25 leo 27 umetembea uchagani kote unatumia ungo au mwanga wewe
 
Unachekesha wewe kwa hyo wahaya hawajatembea, yaani kila uendako lazima Mhaya utamkuta anasaka life
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…