Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Nilicheka kweli[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilicheka..mbaya zaidi alirudia tena na tena. Hivi mnajua watu wana masikhara jamani. Ni vile watu hatutaki kupost miji yetu. Nilichojifunza ni hawajafika basi tu wameamua kelele
Hahaha jamaa anaushamba sana sijui anashida gan
 
Mwaka huu niliamua kufanya tour trip huko Kilimanjaro ili kujifunza na kujionea shamrashamra za Wachaga wakisheherekea sikukuu ya Christmas.

Mpaka sasa bado nipo Uchagani.

Nimefanikiwa kufika maeneo ya Rombo, Mwika, Marangu, Old Moshi, Kibosho na Machame. Sijafanikiwa kufika maeneo ya Kirua Vunjo na Uru. Kuna mambo mazuri sana na mabaya machache niliweza kuyaona, kwa mada hii leo hapa sitayazungumzia mabaya wala mazuri (nitakuja na mada yake baadaye nikikamilisha ziara yangu), bali nitazungumzia baadhi ya mambo yaliyokuzwa kuliko uhalisia wake.

1. Sio kweli kuwa karibu kila Mchaga hurejea kwao kipindi hiki cha Kristmas. Ukweli ni kwamba idadi ya Wachaga wanaorejea makwao kipindi hiki huenda haifiki hata robo katika Miji (namaanisha Boma la Ukoo lenye muunganiko wa familia kadhaa zenye kushare wazazi) niliyoweza kuipitia, zaidi ya 80% ya wauhusika hawakurudi kwao. Kuna maboma kadhaa yalikuwa yamefungwa kabisa, hakuna aliyerejea kabisa!

2. Sio kweli kuwa kila jamii ya Kichaga kipindi hiki huweza kusheherekea Christmass kwa shamrashamra. Nimeweza kukutana na familia za Wachaga Waislamu (hasa maeneo ya Machame na Kibosho), jamii zingine maskini sana na familia nyingi zisizoeleweka nk, hao hawana muda wowote na sherehe za Krismasi. Wako busy na maisha yao mengine.

3. Misafara mingi ya magari binafsi yaliyokuwa yakielekea uchagani yalikuwa ni magari ya familia chache zenye uwezo mkubwa kifedha au maisha ya mbwembwe. Kifupi sana, magari yale huenda yanaakisi 10% tu ya familia za Kichaga. Wengi wa wachaga wamekuja kula sikukuu kwa kutumia usafiri wa umma bila kujali kama wanamiliki magari mijini au hawana kabisa magari.

4. Sehemu kubwa ya miji (maboma) zimejengwa kwa nyumba za kawaida kabisa na nyingine ziko kizamani japokuwa zinaonekana kutunzwa vyema. Zaidi ya 90% sio nyumba za gharama kubwa au kisasa. Pia niliweza kukutana na nyumba duni au mapagala yanayoonekana kutelekezwa lakini nikakuta kuna watu wanakaa!
Wewe ndo ulikuwa umejiaminisha Uongo; huenda labda unaamini Ulaya na Marekani hakuna maskini
 
Hahaha jamaa anaushamba sana sijui anashida gan
Sasa ktk nyumba nayo nyumba hiyo? Siyo dharau ila anisamehe tu. There is a time napaona dar pabaya sana compared na kijijini kwetu kuanzia majengo. Yaan hii nyumba ndo ya kujibrag kweli?
 
Kibosho uchaggani

grm4-46.jpg
4f.jpg
Kindoroko-3.jpg
New-York-Bridge.jpg
36767.jpg
2448458_IMG_20200706_141507.jpg
17.jpg
 
Sasa ktk nyumba nayo nyumba hiyo? Siyo dharau ila anisamehe tu. There is a time napaona dar pabaya sana compared na kijijini kwetu kuanzia majengo. Yaan hii nyumba ndo ya kujibrag kweli?
Dar uswahili mwingi maeneo mengi hapakosawa ilo Lipo wazi
 
Dar uswahili mwingi maeneo mengi hapakosawa ilo Lipo wazi
Ndiyo. Kweli kabisa. Tatizo pia ni aina ya nyumba jamaa aliyoleta ndo ninepata mshtuko[emoji23][emoji23][emoji23] kati ya ntumba zote? Awe serious jamani
 
Hakuna hata anayewa-rate nje ya kabila lao bali wana-brag wenyewe tu.
 
Usafir wa vijijin kagera umeathiriwa na barabara mbovu
Lakin ukija UCHAGANI hata barabara ambazo sio highway Zina lami mfano
Masama_machame,bomangombe-siha,himo-kilema,himo-holili,himo-mwika,moshi-kibosho,moshi-uru zote ni local roads lakin Zina lami
Nani alikwambia kagera ni highway Tu ndo zina lami ?


Barabara ya muhitwe nshamba kamachumu Hadi muleba ni highway?

Vip barabara ya katoma, na je kashozi vip kuhusu kanazi na ya kule rubya his ni highway sio?
Screenshot_20201227-145024.jpg
Screenshot_20201227-144933.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Usafir wa vijijin kagera umeathiriwa na barabara mbovu
Lakin ukija UCHAGANI hata barabara ambazo sio highway Zina lami mfano
Masama_machame,bomangombe-siha,himo-kilema,himo-holili,himo-mwika,moshi-kibosho,moshi-uru zote ni local roads lakin Zina lami
Zimejengwa kwa sababu ni njia za watalii kupanda mlima na wala sio nyie ndo bahati yenu

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Kwahyo Apo ndio unaona kua nyumba Za maana?we nawe wakijijini sana
Hebu leta za vijijini kwenu.

Mimi nimepost kuonyesha density. Mbona unadandia treni kwa mbele mkuu?


Eti wa kijijini Sana.unafikiri Mie nimezaliwa mamsera huko na mashati[emoji23]

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom