miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Okeeey... wasalimie uraa...Machame mae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okeeey... wasalimie uraa...Machame mae
Hahaha jamaa anaushamba sana sijui anashida ganNilicheka kweli[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilicheka..mbaya zaidi alirudia tena na tena. Hivi mnajua watu wana masikhara jamani. Ni vile watu hatutaki kupost miji yetu. Nilichojifunza ni hawajafika basi tu wameamua kelele
Wewe ndo ulikuwa umejiaminisha Uongo; huenda labda unaamini Ulaya na Marekani hakuna maskiniMwaka huu niliamua kufanya tour trip huko Kilimanjaro ili kujifunza na kujionea shamrashamra za Wachaga wakisheherekea sikukuu ya Christmas.
Mpaka sasa bado nipo Uchagani.
Nimefanikiwa kufika maeneo ya Rombo, Mwika, Marangu, Old Moshi, Kibosho na Machame. Sijafanikiwa kufika maeneo ya Kirua Vunjo na Uru. Kuna mambo mazuri sana na mabaya machache niliweza kuyaona, kwa mada hii leo hapa sitayazungumzia mabaya wala mazuri (nitakuja na mada yake baadaye nikikamilisha ziara yangu), bali nitazungumzia baadhi ya mambo yaliyokuzwa kuliko uhalisia wake.
1. Sio kweli kuwa karibu kila Mchaga hurejea kwao kipindi hiki cha Kristmas. Ukweli ni kwamba idadi ya Wachaga wanaorejea makwao kipindi hiki huenda haifiki hata robo katika Miji (namaanisha Boma la Ukoo lenye muunganiko wa familia kadhaa zenye kushare wazazi) niliyoweza kuipitia, zaidi ya 80% ya wauhusika hawakurudi kwao. Kuna maboma kadhaa yalikuwa yamefungwa kabisa, hakuna aliyerejea kabisa!
2. Sio kweli kuwa kila jamii ya Kichaga kipindi hiki huweza kusheherekea Christmass kwa shamrashamra. Nimeweza kukutana na familia za Wachaga Waislamu (hasa maeneo ya Machame na Kibosho), jamii zingine maskini sana na familia nyingi zisizoeleweka nk, hao hawana muda wowote na sherehe za Krismasi. Wako busy na maisha yao mengine.
3. Misafara mingi ya magari binafsi yaliyokuwa yakielekea uchagani yalikuwa ni magari ya familia chache zenye uwezo mkubwa kifedha au maisha ya mbwembwe. Kifupi sana, magari yale huenda yanaakisi 10% tu ya familia za Kichaga. Wengi wa wachaga wamekuja kula sikukuu kwa kutumia usafiri wa umma bila kujali kama wanamiliki magari mijini au hawana kabisa magari.
4. Sehemu kubwa ya miji (maboma) zimejengwa kwa nyumba za kawaida kabisa na nyingine ziko kizamani japokuwa zinaonekana kutunzwa vyema. Zaidi ya 90% sio nyumba za gharama kubwa au kisasa. Pia niliweza kukutana na nyumba duni au mapagala yanayoonekana kutelekezwa lakini nikakuta kuna watu wanakaa!
Hebu tuombe radhi jombaa, Kahe kuna wachawi? Umesikia mtu amezaa kuku kwani? Njoo ujifunze kilimo cha kisasa cha mpunga.
Sasa ktk nyumba nayo nyumba hiyo? Siyo dharau ila anisamehe tu. There is a time napaona dar pabaya sana compared na kijijini kwetu kuanzia majengo. Yaan hii nyumba ndo ya kujibrag kweli?Hahaha jamaa anaushamba sana sijui anashida gan
Na vitunguu bwasheee.Hebu tuombe radhi jombaa, Kahe kuna wachawi? Umesikia mtu amezaa kuku kwani? Njoo ujifunze kilimo cha kisasa cha mpunga.
Dar uswahili mwingi maeneo mengi hapakosawa ilo Lipo waziSasa ktk nyumba nayo nyumba hiyo? Siyo dharau ila anisamehe tu. There is a time napaona dar pabaya sana compared na kijijini kwetu kuanzia majengo. Yaan hii nyumba ndo ya kujibrag kweli?
Ndiyo. Kweli kabisa. Tatizo pia ni aina ya nyumba jamaa aliyoleta ndo ninepata mshtuko[emoji23][emoji23][emoji23] kati ya ntumba zote? Awe serious jamaniDar uswahili mwingi maeneo mengi hapakosawa ilo Lipo wazi
Marangu pamoto zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ziko wap? Unaona ninayosema kuhusu wachaga.Huwez jua wewe
Hivi hiyo 60 % ni za uhayani .kwa biharamulo ina watu wachache Sana na ni mapori na nyumba za wavuvi.Sasa kushusha nyumba vijijin UCHAGANI kuna mpinzani? Nbs wanakuambia Kilimanjaro Ni mkoa wa kwanza makaz bora vijijin kws 90% wakati kagera ni 60% tu
Km wahayaDuh, kwahiyo ni wazee misifa?
Nani alikwambia kagera ni highway Tu ndo zina lami ?Usafir wa vijijin kagera umeathiriwa na barabara mbovu
Lakin ukija UCHAGANI hata barabara ambazo sio highway Zina lami mfano
Masama_machame,bomangombe-siha,himo-kilema,himo-holili,himo-mwika,moshi-kibosho,moshi-uru zote ni local roads lakin Zina lami
Hio hatukatai. Ila sasa ukijisifia uwe ukweli sasa sio uongo kama mnavyofanyaKuna wapenda sifa Tanzania hii kama wahaya?
Zimejengwa kwa sababu ni njia za watalii kupanda mlima na wala sio nyie ndo bahati yenuUsafir wa vijijin kagera umeathiriwa na barabara mbovu
Lakin ukija UCHAGANI hata barabara ambazo sio highway Zina lami mfano
Masama_machame,bomangombe-siha,himo-kilema,himo-holili,himo-mwika,moshi-kibosho,moshi-uru zote ni local roads lakin Zina lami
Hebu leta za vijijini kwenu.Kwahyo Apo ndio unaona kua nyumba Za maana?we nawe wakijijini sana