Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Kibosho ulikuwa maeneo gan chief
 
Kibosho ulikuwa maeneo gan chief
Maeneo kadhaa, mwenyeji wangu ameniambia yanaitwa Kindi, Umbwe, Kibosho secondary, shirikani (eneo la Kanisa Katoliki lenye hospitali, kanisa la kihistoria na chuo cha uuguzi) nk.
 
Hapo point namba 2. Wachaga waislamu. Na jamii nyingine. Hiv ww wachaga waislam washerekee christmass inawahusu?


Pili umetembea sehem ndogo ya moshi ambayo si sehem ya shambea shambra
.
mkuu mwakani uende hapo ndipo kuna wachaga hasa
 
mkuu mwakani uende hapo ndipo kuna wachaga hasa
Niende marangap? Haal machame ina mchanganyiko sana na makabila mengine. Wachaga og wako rombo, wako marangu, wako mwika,wako oldmoshi vijijini. Wako kibosho. Huko bado wana practise mila za kichaga
 
Maeneo kadhaa, mwenyeji wangu ameniambia yanaitwa Kindi, Umbwe, Kibosho secondary, shirikani (eneo la Kanisa Katoliki lenye hospitali, kanisa la kihistoria na chuo cha uuguzi) nk.
Huijui kibosho chief. We umepitishwa njian kumbe.
 
Niende marangap? Haal machame ina mchanganyiko sana na makabila mengine. Wachaga og wako rombo, wako marangu, wako mwika,wako oldmoshi vijijini. Wako kibosho. Huko bado wana practise mila za kichaga
Sasa wanataka tuache mila na tamaduni zetu? Ngoja nikaulizie kwanza mbuzi zangu nachinjiwa lini[emoji23][emoji23]
 
Huijui kibosho chief. We umepitishwa njian kumbe.
Kote kapitishwa road ndugu yangu. Nimempa offer nimtembeze kwetu na mbuzi tutamchinjia kabisa kama kumkaribisha mgeni. Halafu niambie mtu utaenjoy vipi sikukuu ambayo si Imani yako? Huyu mpemba sijui mngazija atafurahia vipi sikukuu ambayo si yake maana naamini ni muislamu?

Pili... kule watu wote wanajuana ndo maana wanaijua na kuifuragia hiyo sikukuu... yeye anapita barabarani huko hakuna anayejuana nae atasemaje sikukuu ikonove rated?

And actually mwaka huu majority hatujaenda. Hawajui kama sisi ni kabila la 2 kwa ukubwa Tz? Hatuwezi enda wote. Hatujaenda kwa kukosa nauli bali mambo yamekua mengi. Nafasi kwa ufinyu wake
 
Acha upuuzi mtu aje na utafiti wa kijinga unatusaidia nini huku jf,
Wewe na husda za kipuuzi unataka kuwaambukiza wengine huo upuuzi wako
 
Niende marangap? Haal machame ina mchanganyiko sana na makabila mengine. Wachaga og wako rombo, wako marangu, wako mwika,wako oldmoshi vijijini. Wako kibosho. Huko bado wana practise mila za kichaga
Kwa hiyo huo mchanganyiko Una kasoro gani? Ok nikfahamishe,; kulikuwa na mashamba makubwa ya kahawa na katani. Kibo Estate, kikafu, kitifu, boloti, Kware, mbosho, Lbo, weruweru na nkwansira. Manamna Waliokuwa wanahudumia hayo mashamba walitoka Kigoma, tabora, Singida, usukumani na Warangi. Wakaja na Dini ya Kiislaam, wakajenga misikiti na kuoa Wachaga Wakristo wakasilimu. Wachaga waliachwa kuhudumia Vihamba vyao na si kuwa Manamna ya Wazungu.
 
Mbee.. ngikundi ngikuoliye wari. Watana mbe[emoji23][emoji23] dhekana na isembo loo.
 
Na siyo kweli kwamba tangu tarehe 18 magar ya kwenda uchagani yamejaa, usafiri upo kama kawaida[emoji19]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…