Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Suala la mtu kwenda kwao ni suala la kujivunia sasa mwandishi Kama kabila haliendi kwao wewe unawashwawashwa Nini na kabila la wenzako???eti ulienda kufanya uchunguzi umelipwa nini au Nani kakulipa.naona watz kwasasa hatuna kazi zd ya umbea
 
Suala la mtu kwenda kwao ni suala la kujivunia sasa mwandishi Kama kabila haliendi kwao wewe unawashwawashwa Nini na kabila la wenzako???eti ulienda kufanya uchunguzi umelipwa nini au Nani kakulipa.naona watz kwasasa hatuna kazi zd ya umbea
Mimi nimekuja kujifunza huku Kilimanjaro. Zaidi nimeshare ripoti ya kile nilichokiona.
 
Ndugu nimesome upya.
Kipi nimesema uongo?
Kipi unakipinga?
 
Nimekuja uchagani kujifunza, sikuja kufanya research. Nilichoandika ni kile nilichokiona (observation), na mwanaJF yoyote anaweza naye kuja huku uchagani akatupa observation yake.

Kote huko nilikokutaja nilifika kwa barabara kuu, nikaingia ndani ya vijiji kadhaa na kukutana na watu mbalimbali katika maboma yao. Sijafika kila mahali na sikuwa na mpango wa kufika kila mahali.
 
Mkuu unazidi kuongopa. Hukusema umepitia kwenye maboma. Ulikua wapita tu. Na kusema sijui unepitia vijijjni ndo uongo zaidi. Mwenyeji wako tu mitaa mingine alikua anachanganya sembuse vijijini kwa wengine? Na kama mwenyeji wako ni mmachame unategemea ndo akutembeze kibosho vyema, rombo ama uru etc?

Wewe bwana hapa umeamua tu kutuingopea. Na sikukuu kama si yako hiyo hype utaipataje? Ni kama mimi niiongelee idd halaf niende na mwenyeji huko Masama wakati sijui mtu na napita barabarani. Ama labda utuambie wewe ulitaka Sikukuu iweje? Ulitaka ile hype ya Idd ndo uisikie kwenye Christmas na si Imani yako na ulikoenda si kwako? Halaf unajua weakness za observation method?
 
Na siyo kweli kwamba tangu tarehe 18 magar ya kwenda uchagani yamejaa, usafiri upo kama kawaida[emoji19]
Upo dunia ya ngapi? Magari yapo full Hadi wametoa vibali vya dharura kwa mabasi mengine kwenda UCHAGANI
Hapana chezea mangis wewe
 
Na siyo kweli kwamba tangu tarehe 18 magar ya kwenda uchagani yamejaa, usafiri upo kama kawaida[emoji19]
Upo dunia ya ngapi? Magari yapo full Hadi wametoa vibali vya dharura kwa mabasi mengine kwenda UCHAGANI
Hapana chezea mangis wewe
 
Pamoja na ukweli huo, huwezi fananisha standard ya makazi na ukanda wa kusini Lindi na mtwara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…