Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Mimi naijua Kilimanjaro kuliko hata wewe. Tunaponyamaza mnadhani hatujafika kumbe sivyo. Kote huko kwa wapare sijui, Gonja maole, kivukoni mpaka ndungu nimefika. Wilaya ya Siha yote kuelekea kule kwenye Magadi kama unaelekea Longido nimefika. Sasa sijui unataka kuniambia nini. Ok. Ngoja niwaachie ligi yenu ya wachagga na wahaya. Bye.
Kama umepita UCHAGANI huko nadhani uliona tofauti, nbs wanatuambia Kilimanjaro ndio mkoa pekee tz wenye makax Bora vijijin kwa 90% kule kama américa l'ami hadi uchochoron Hakuna nyumba za nyasi kama kwenu
 
Kwa raha zetu tunaongoza nchi, hahahaaa
Mbona sasa bado mpo kwenye umaskini ?
tapatalk_1609090029340.jpeg
 
Kilimanjaro ni makaburini pa kwenda kuzika wafu, si sehemu ya kuishi na ndio maana wenyewe mmepakimbia na kwenda mikoa ya kueleweka.
Tungekuwa tumepakimbia hii ripoti isingekuwa hivi sis lazma tujenge MAHEKALU hatujazoea kuishi vijumba vya nyasi Kama nyie
tapatalk_1609090029340.jpeg
 
Hata kabila kuu wako kila mahali na kwingine tumebadilisha mikoa kuwa kabila kuu kama Katavi, Kigoma, nusu ya mkoa wa Morogoro, Singida, Mara na Rukwa huku Kagera ikipoteza Wilaya ya Biharamulo. Chezea Ngosha weye.
Hakuna kitu kinaitwa kabila kuu. Hapo juu nime explain why wachaga wamesambaa.. ww unaelezea wako mikoa waliyopo? Yeah wapo wakifanya nn? Do they have fighting spirit ya wachaga? create fursa pasipo na fursa..?
Hiyo mikoa uliyotaja ni kidogo sana sana sana. Ni sehem ndogo sana.
 
Mimi naijua Kilimanjaro kuliko hata wewe. Tunaponyamaza mnadhani hatujafika kumbe sivyo. Kote huko kwa wapare sijui, Gonja maole, kivukoni mpaka ndungu nimefika. Wilaya ya Siha yote kuelekea kule kwenye Magadi kama unaelekea Longido nimefika. Sasa sijui unataka kuniambia nini. Ok. Ngoja niwaachie ligi yenu ya wachagga na wahaya. Bye.
Aiseee hizo sehem ulizotembea ndio unaita unaijua kilimanjaro? Sorry but you know nothing man. Umetembea 5% ya kilimanjaro.
 
Mchaga hawz ajiriwa n'a msukuma,msukuma ndio mfanyakax wa mchaga hata mwanza wachaga wamejenga maghorofa ila Moshi Arusha Hakuna hata banda lá msukm hamna exposure
Thubutu nani anakudanganya ? Tai five ya mchagga tayari imeshanunuliwa kwa mnada na msukuma. Mirija imekatwa sasa hivi wachagga ni maskini wa kutupwa
 
Mimi naijua Kilimanjaro kuliko hata wewe. Tunaponyamaza mnadhani hatujafika kumbe sivyo. Kote huko kwa wapare sijui, Gonja maole, kivukoni mpaka ndungu nimefika. Wilaya ya Siha yote kuelekea kule kwenye Magadi kama unaelekea Longido nimefika. Sasa sijui unataka kuniambia nini. Ok. Ngoja niwaachie ligi yenu ya wachagga na wahaya. Bye.
we pita tu hujui lolote mkuu
 
Kama umepita UCHAGANI huko nadhani uliona tofauti, nbs wanatuambia Kilimanjaro ndio mkoa pekee tz wenye makax Bora vijijin kwa 90% kule kama américa l'ami hadi uchochoron Hakuna nyumba za nyasi kama kwenu
Sasa ndugu yangu msingewekewa lami kwenda huko milimani mngepanda kweli ? Maana udongo wenyewe wa mfinyanzi wakati wa mvua gari zisingepanda. Sasa hivi barabara za lami zinajengwa nchi nzima. Kwa hiyo siyo issue tena ya kujivunia
 
Thubutu nani anakudanganya ? Tai five ya mchagga tayari imeshanunuliwa kwa mnada na msukuma. Mirija imekatwa sasa hivi wachagga ni maskini wa kutupwa
Kwahyo mwanza nzima unajua Tai five tu? Zipo hôtels na biashara kubwa hasa za spea za magari maduka makubwa ya wachaga,ukija sengerema pale biashara nyingi zao hasa za maduka makubwa ya pembejeo za kilimo kina masashua, tesha nk kila mahali tz wachaga wamewekeza nyie endeleeni kucheza na chatu tuu[emoji1][emoji1]
 
Sasa ndugu yangu msingewekewa lami kwenda huko milimani mngepanda kweli ? Maana udongo wenyewe wa mfinyanzi wakati wa mvua gari zisingepanda. Sasa hivi barabara za lami zinajengwa nchi nzima. Kwa hiyo siyo issue tena ya kujivunia
Barabar za lami ninazozisema Ni zile local roads sio highway
UCHAGANI karibu maeneo yote local roads Ni lami
 
Hakuna kitu kinaitwa kabila kuu. Hapo juu nime explain why wachaga wamesambaa.. ww unaelezea wako mikoa waliyopo? Yeah wapo wakifanya nn? Do they have fighting spirit ya wachaga? create fursa pasipo na fursa..?
Hiyo mikoa uliyotaja ni kidogo sana sana sana. Ni sehem ndogo sana.
Wachagga siyo kweli eti mko kila sehemu huo ni uongo mbona maeneo hampo ? Acha kudanganya. Sasa hivi kama ni biashara kila mtu anafanya.
 
Sasa ndugu yangu msingewekewa lami kwenda huko milimani mngepanda kweli ? Maana udongo wenyewe wa mfinyanzi wakati wa mvua gari zisingepanda. Sasa hivi barabara za lami zinajengwa nchi nzima. Kwa hiyo siyo issue tena ya kujivunia
Unajiaibisha sana wewe bwana mdogo, aliyeanzisha huu UZI kaingia mitini, wewe unapiga porojo wanakusanifu tu wenzio
 
Back
Top Bottom