CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

Acheni ujinga kwa nini isitafutwe sherehe kwenye mwezi wa mimba au tuhesabu miezi 9 ndio itafutwe siku badala ya kupaka asali kitu kilichooza?
Itakuwa unafikilia kugonga tu ndiyo maana unataka watu washerehekee mwezi wa mimba.
 
Acheni ujinga kwa nini isitafutwe sherehe kwenye mwezi wa mimba au tuhesabu miezi 9 ndio itafutwe siku badala ya kupaka asali kitu kilichooza?
Itakuwa unafikilia kugonga tu ndiyo maana unataka watu washerehekee mwezi wa mimba.
SIna uhakika tofauti ya Pasaka (kama kumbukumbu ya ufufuo wa Yesu) na Krismasi unapata wapi? Katika Biblia sijawahi kuona sikukuu ya Pasaka ya Kikristo (usichanganye na ile sherehe ya Pasaka ya Kiyahudi).
Zote mbili ziliundwa kwa hiari yao na waumini ili kukumbuka ukweli fulani wa imani nyao.
Acha kusumbuana na watu wasiojulikana kama wakristo, Waislam au wayahudi. Hapa wanaleta ubishi ili wote twende usabato halafu eti ndiyo Yesu atalejea kuchukua kanisa lake. Kwamba kutoshika kwetu siku ya jumamosi kunamchelewesha kurudi sijui anahofia nini. Heri tuendelee kutoishika ili tuishi miaka mingi kwenye nchi tuliyopewa na Bwana Mungu wetu
 
Mapokeo yanatesa sana watu,
Chanzo ubongo wa mwafrika upo programmed na mzungu.
Waliondoka wao ila wameacha virus vichwani mwenu
ndo wanaowatafuna mpaka sasa.
Elimu ya kuflash vichwa vya mwafrika muhimu iundwe
Ili kuinusuru jamii ya mwafrika.
Yafaa nasi kuacha code zenye kuflash virus ya mzungu kwa vizazi vijavyo.
Kwa hali ilivyo mabishano hayataisha wala muafaka hautopatikana.
 
Mapokeo yanatesa sana watu,
Chanzo ubongo wa mwafrika upo programmed na mzungu.
Waliondoka wao ila wameacha virus vichwani mwenu
ndo wanaowatafuna mpaka sasa.
Elimu ya kuflash vichwa vya mwafrika muhimu iundwe
Ili kuinusuru jamii ya mwafrika.
Yafaa nasi kuacha code zenye kuflash virus ya mzungu kwa vizazi vijavyo.
Kwa hali ilivyo mabishano hayataisha wala muafaka hautopatikana.
Aiseee
 
wasaalam, wakuu

Ninaandika haya huku , nikijua nitapingwa zaidi kuliko kuungwa mkono.

Naandika huku nikitaraji pia dhihaka na kashfa kuliko majadaliano yenye mapenzi mema

Naandika sio kwa vile naelewa athari za upagani katika dini na madhehebu yetu

Naandika kwa sababu naelewa ,maafa ya kibinaadamu ambayo wapagani na nyingi zao mila na desturi ambazo zimeacha nyuma katika madhehebu yetu na dini zetu.

Naandika kwasababu pia mimi sio wa kwanza kuandika hapa na wala si wa mwisho kuandika haya.

Naandika kwasababu nilitamani kuandika hiki na nmeandika.

Tumezoea makala za namna hii kwingi tuendako katika majira haya ,lakini kila zama zinavyozidi kujongea taswira mpya inajengeka ndivyo navyo tunazidi kukumbushana kwa hekima njema

Basi

Kama utauliza popote duniani kuhusu 'christ mass' majawabu yake yatakuwa ni sikukuu ya kuzaliwa bwana yesu....lakini moja kwa moja hilo sio jibu la kweli la swali hilo ......kama ungeli ipata na ungelirejelea vitabu vya history ya kale na biblia kwa ujumla ungelipata sababu ya kupinga na kupangua kumbukizi hii ya mazazi ya kiongozi na mwokozi yesu kristo.
View attachment 1655856
Katika injili zote haijapata kuwepo thibati, ya bwana YESU eti ya kwamba alizaliwa majira yapi?? na tarehe zipi.

Na mpaka ilipofikia mwaka 349 AD dunia haikuwahi kuwa na sikukuu ya kusherekea mazazi ya bwana yesu.

Kila ifikapo tarehe 25 Disemba watu husherekea kuzaliwa kwa bwana yesu na Wengi wetu kwa pumbao letu tulilo nalo tunaamini hiyo ni siku haswa bwana mwokozi alipoletwa duniani na mama yake, mama mwema , mtakatifu, mkarimu, mweupe wa moyo na nafsi alietakasika kabisa MARIAMU hata ALLAH (s.w) katika QUR'AN akamtaja na kuwa mwanamke pekee aliyetajwa katika maandishi hayo matukufu Sio kumtaja tu LaHashaa! ALLAH (s.w) akampa sura yake kabisa Mama wa Yesu (amani za mwenyezimungu ziendelee kuwa naye huko aliko)

Lakini ni kweli bwana YESU alizaliwa 25 disemba???
View attachment 1655857
Ninajua kwamba bwana Yesu Hakuzaliwa mwishoni mwa mwaka,, kama ni hivyo sitakuwa na mashaka nikikuambia ya kwamba ninajua pia bwana yesu alizaliwa katikati ya mwaka wa 6 kuelekea wa 5 B.C.

Thibati hiyo ya Bwana Yesu kuzaliwa Katikati ya mwaka wa 6 kwenda wa 5 BC Pia imetambulika na Biblia ijulikanayo kwa jina la
Life Application Study Bible , katika ukurasa wa A20 .

Lakini hata maelezo yameeleza kwa ufupi kuzaliwa kwa bwana yesu na yanatosha kuonyesha 25 disemba sio sikukuu ya kuzaliwa bwana


Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja bikira aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu..... LUKA 1:26-31

Mafundisho hayo yanagongea msumari , kwamba habari za kupokea taarifa za mimba kwa Mariamu kulitokea mwezi wa sita ,na kama ujuavyo mwezi huo kwa jamii za kale nyingi hata zama za sasa ni mwezi wa katikati ya mwaka.....
wasomi wa histori wengi wamejaribu kuonyesha mwezi wa saba napo ndipo Mama mariamu alichukua mimba yake na akazaa kwa utimilifu pasi na kasoro yoyote.... kwa maana mtoto hakuwa na kasoro yoyote ya muda.

ikawa katika kukaa huko siku zake za kuzaa zikatimia ,akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni. LUKA 2: 6-7

Pasi na shaka bwana yesu alizaliwa katika mda timilifu kabisa

Tutake nini tena??? tuombe tujue na tusijue


pia ukirejelea mwanzo na takwimu hizo, hata mwaka wa kwanza A.D bwana Yesu tayari alikuwa na umri wa miaka mitatu na Nusu,, Na hapo pia panakinzana na ile dhana inayosemwa na wengi kuwa Bwana Yesu alipozaliwa ndipo miaka ikaanza kuhesabiwa....(ni vyema ukaingia mtandaoni kupata taarifa kwa uyakinifu zaidi)

POPE JULIUS WA I

Hilo fundisho kuhusu Bwana Yesu kuzaliwa tarehe 25, ya mwezi wa Disemba ni POPE shupavu wa roman aitwae Julius I alitangaza rasmi kuwa tarehe 25 Disemba ndiyo itakuwa siku ya kusheherekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo.......Pia hii ilikuwa siku ambayo wapagani wa walikuwa wakisherehekea kuzaliwa kwa Mungu wao, mungu jua na mwanzo wa majira ya michepuo ya mimea basi JULIUS akaingiza siku hiyo kwa minajili ya mungu wao wapagani wa rumi ili afanyiwe matukuzo na kuwatia katika makufuru wana wa Adamu
View attachment 1655853
Katika majira hayo hayo pia kulikuwa na sikukuu ya wapagani wa Kirumi inajulikana sana kwa jina la “Roman Saturnalia” ambayo pia Waroma walikuwa wanampa heshima mungu wao SATURN, ambaye wao walikuwa wanamwabudu....Mungu huyu ni sayari ya SATANI
Waroma walikuwa wanasherekea sherehe hiyo kila tarehe 19 ya mwezi wa Disemba na ilikuwa inaadhimishwa kwa kufulululiza kwa siku saba hadi tarehe 25 ya mwezi huo wa Disemba ndipo maadhimisho ya siku kuu hiyo yalipohitimishwa.
View attachment 1655860
Pia ilipofika miaka ya elfu na miamoja (1100s )AD Warumi walitangaza kuwa sikukuu (christmass) hii ni ya kidini na wakaweka ulazima pasi na shuruti kwa mataifa yaliyo chini ya makoloni yake kuifata na kutenga fedha kwa ajili ya sikukuu hii....pasi hiari

Kuna kiongozi wa ukatoliki wakati huo mjanja mjanja mmoja bwana nicholas....alifanikiwa kuzishawishi nchi nyingi za ulaya kuipokea sikukuu hii kama ndiyo sikukuu ya kidini na kitaifa ,, umashuhuri wa christmass ukaongezeka na uliendelea kuwa mkubwa miaka ya 1500 AD.

Na hapo ndipo uliponza kujitokeza mgawanyiko mkubwa mno katika ukristo,,jambo lililopelekea kuanzishwa kwa madhehebu mengi ya kikristo ya kiprostentanti, mpaka sasa yanakadiriwa kufikia takribani 3000..

Lakini mgawanyiko huo wa madhehebu ulisaidia sana kufichua mambo mbalimbali na kutoa uhuru wa mafundisho mengi mengi na hapo wakristo wengi walipata mwanya wa kueleza namna na maana ya christmass ni UPAGANI tena ni sherehe ya kutungwa.

Haya mafundisho yalifanya UINGEREZA kuiondoa sikukuu hiyo mwaka 1600 AD, kama sikukuu yake ya kitaifa na kidini hata katika makoloni yake yote.
View attachment 1655866
Hata hivyo tamaduni ya sherehe hizi zilirudi kwa sura ya pili ya kikristo.....ambapo mtindo wa kusherekea wa sasa uliambatana na kupambwa kwa miti ya krismass katika makanisa na kutumina kadi za salam zilizosheheni maandiko ya biblia takatifu na maadhimisho yakazidi kupamba moto kila mwaka hata sasa katika zama zetu za kina SANTA CLAUS
View attachment 1655864

DA'VINCI XV
Inawezekana 25 December sio siku ya kuzaliwa Yesu hilo sipingani nalo ila hoja ya yako ya mwezi ya sita ni hoja hafifu.

Kuelewa mwezi wa sita unaozungumziwa hapo inafaa usome kuanzia luka 1:24
Luka 1:24-26
[24]Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa (akajificha) miezi mitano, akisema,
[25]Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.
[26]Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,

hapa tunaona Elizabeth kajificha kwa miezi mitano baada ya ujauzito na mwezi wa sita unaoongelewa hapa ni mwezi wa sita wa ujauzito wa Elizabeth na sio mwezi wa 6 wa mwaka
 
Inawezekana 25 December sio siku ya kuzaliwa Yesu hilo sipingani nalo ila hoja ya yako ya mwezi ya sita ni hoja hafifu.

Kuelewa mwezi wa sita unaozungumziwa hapo inafaa usome kuanzia luka 1:24
Luka 1:24-26
[24]Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa (akajificha) miezi mitano, akisema,
[25]Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.
[26]Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,

hapa tunaona Elizabeth kajificha kwa miezi mitano baada ya ujauzito na mwezi wa sita unaoongelewa hapa ni mwezi wa sita wa ujauzito wa Elizabeth na sio mwezi wa 6 wa mwaka
Acha Tuendelee Kufurahia Tu Pumzi Muda Huu Ipo
 
Inawezekana 25 December sio siku ya kuzaliwa Yesu hilo sipingani nalo ila hoja ya yako ya mwezi ya sita ni hoja hafifu.

Kuelewa mwezi wa sita unaozungumziwa hapo inafaa usome kuanzia luka 1:24
Luka 1:24-26
[24]Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa (akajificha) miezi mitano, akisema,
[25]Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.
[26]Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,

hapa tunaona Elizabeth kajificha kwa miezi mitano baada ya ujauzito na mwezi wa sita unaoongelewa hapa ni mwezi wa sita wa ujauzito wa Elizabeth na sio mwezi wa 6 wa mwaka
Sawa shukraani
Kwa mchango mkuu
 
Mwanzo nlipata ugumu ,kidogo ila nikakumbuka yawezekana utakuwa una simu janja ambayo inakuwezesha kupata taarifa mtandaoni , labda kwa kukusaidia ungeanza kumsoma kwanza julius I kwa undani,baada ya hapo malizia na costantine Augusto kama utapenda zaidi utawasoma na hao kina nicholas.

nasikitika kwanini??? sikumzungumzia POPE julius I kwa undani
Mkuu, can your write more and openly about that pope julius?
 
wasaalam, wakuu

Ninaandika haya huku , nikijua nitapingwa zaidi kuliko kuungwa mkono.

Naandika huku nikitaraji pia dhihaka na kashfa kuliko majadaliano yenye mapenzi mema

Naandika sio kwa vile naelewa athari za upagani katika dini na madhehebu yetu

Naandika kwa sababu naelewa ,maafa ya kibinaadamu ambayo wapagani na nyingi zao mila na desturi ambazo zimeacha nyuma katika madhehebu yetu na dini zetu.

Naandika kwasababu pia mimi sio wa kwanza kuandika hapa na wala si wa mwisho kuandika haya.

Naandika kwasababu nilitamani kuandika hiki na nmeandika.

Tumezoea makala za namna hii kwingi tuendako katika majira haya ,lakini kila zama zinavyozidi kujongea taswira mpya inajengeka ndivyo navyo tunazidi kukumbushana kwa hekima njema

Basi

Kama utauliza popote duniani kuhusu 'christ mass' majawabu yake yatakuwa ni sikukuu ya kuzaliwa bwana yesu....lakini moja kwa moja hilo sio jibu la kweli la swali hilo ......kama ungeli ipata na ungelirejelea vitabu vya history ya kale na biblia kwa ujumla ungelipata sababu ya kupinga na kupangua kumbukizi hii ya mazazi ya kiongozi na mwokozi yesu kristo.
View attachment 1655856
Katika injili zote haijapata kuwepo thibati, ya bwana YESU eti ya kwamba alizaliwa majira yapi?? na tarehe zipi.

Na mpaka ilipofikia mwaka 349 AD dunia haikuwahi kuwa na sikukuu ya kusherekea mazazi ya bwana yesu.

Kila ifikapo tarehe 25 Disemba watu husherekea kuzaliwa kwa bwana yesu na Wengi wetu kwa pumbao letu tulilo nalo tunaamini hiyo ni siku haswa bwana mwokozi alipoletwa duniani na mama yake, mama mwema , mtakatifu, mkarimu, mweupe wa moyo na nafsi alietakasika kabisa MARIAMU hata ALLAH (s.w) katika QUR'AN akamtaja na kuwa mwanamke pekee aliyetajwa katika maandishi hayo matukufu Sio kumtaja tu LaHashaa! ALLAH (s.w) akampa sura yake kabisa Mama wa Yesu (amani za mwenyezimungu ziendelee kuwa naye huko aliko)

Lakini ni kweli bwana YESU alizaliwa 25 disemba???
View attachment 1655857
Ninajua kwamba bwana Yesu Hakuzaliwa mwishoni mwa mwaka,, kama ni hivyo sitakuwa na mashaka nikikuambia ya kwamba ninajua pia bwana yesu alizaliwa katikati ya mwaka wa 6 kuelekea wa 5 B.C.

Thibati hiyo ya Bwana Yesu kuzaliwa Katikati ya mwaka wa 6 kwenda wa 5 BC Pia imetambulika na Biblia ijulikanayo kwa jina la
Life Application Study Bible , katika ukurasa wa A20 .

Lakini hata maelezo yameeleza kwa ufupi kuzaliwa kwa bwana yesu na yanatosha kuonyesha 25 disemba sio sikukuu ya kuzaliwa bwana


Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja bikira aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu..... LUKA 1:26-31

Mafundisho hayo yanagongea msumari , kwamba habari za kupokea taarifa za mimba kwa Mariamu kulitokea mwezi wa sita ,na kama ujuavyo mwezi huo kwa jamii za kale nyingi hata zama za sasa ni mwezi wa katikati ya mwaka.....
wasomi wa histori wengi wamejaribu kuonyesha mwezi wa saba napo ndipo Mama mariamu alichukua mimba yake na akazaa kwa utimilifu pasi na kasoro yoyote.... kwa maana mtoto hakuwa na kasoro yoyote ya muda.

ikawa katika kukaa huko siku zake za kuzaa zikatimia ,akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni. LUKA 2: 6-7

Pasi na shaka bwana yesu alizaliwa katika mda timilifu kabisa

Tutake nini tena??? tuombe tujue na tusijue


pia ukirejelea mwanzo na takwimu hizo, hata mwaka wa kwanza A.D bwana Yesu tayari alikuwa na umri wa miaka mitatu na Nusu,, Na hapo pia panakinzana na ile dhana inayosemwa na wengi kuwa Bwana Yesu alipozaliwa ndipo miaka ikaanza kuhesabiwa....(ni vyema ukaingia mtandaoni kupata taarifa kwa uyakinifu zaidi)

POPE JULIUS WA I

Hilo fundisho kuhusu Bwana Yesu kuzaliwa tarehe 25, ya mwezi wa Disemba ni POPE shupavu wa roman aitwae Julius I alitangaza rasmi kuwa tarehe 25 Disemba ndiyo itakuwa siku ya kusheherekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo.......Pia hii ilikuwa siku ambayo wapagani wa walikuwa wakisherehekea kuzaliwa kwa Mungu wao, mungu jua na mwanzo wa majira ya michepuo ya mimea basi JULIUS akaingiza siku hiyo kwa minajili ya mungu wao wapagani wa rumi ili afanyiwe matukuzo na kuwatia katika makufuru wana wa Adamu
View attachment 1655853
Katika majira hayo hayo pia kulikuwa na sikukuu ya wapagani wa Kirumi inajulikana sana kwa jina la “Roman Saturnalia” ambayo pia Waroma walikuwa wanampa heshima mungu wao SATURN, ambaye wao walikuwa wanamwabudu....Mungu huyu ni sayari ya SATANI
Waroma walikuwa wanasherekea sherehe hiyo kila tarehe 19 ya mwezi wa Disemba na ilikuwa inaadhimishwa kwa kufulululiza kwa siku saba hadi tarehe 25 ya mwezi huo wa Disemba ndipo maadhimisho ya siku kuu hiyo yalipohitimishwa.
View attachment 1655860
Pia ilipofika miaka ya elfu na miamoja (1100s )AD Warumi walitangaza kuwa sikukuu (christmass) hii ni ya kidini na wakaweka ulazima pasi na shuruti kwa mataifa yaliyo chini ya makoloni yake kuifata na kutenga fedha kwa ajili ya sikukuu hii....pasi hiari

Kuna kiongozi wa ukatoliki wakati huo mjanja mjanja mmoja bwana nicholas....alifanikiwa kuzishawishi nchi nyingi za ulaya kuipokea sikukuu hii kama ndiyo sikukuu ya kidini na kitaifa ,, umashuhuri wa christmass ukaongezeka na uliendelea kuwa mkubwa miaka ya 1500 AD.

Na hapo ndipo uliponza kujitokeza mgawanyiko mkubwa mno katika ukristo,,jambo lililopelekea kuanzishwa kwa madhehebu mengi ya kikristo ya kiprostentanti, mpaka sasa yanakadiriwa kufikia takribani 3000..

Lakini mgawanyiko huo wa madhehebu ulisaidia sana kufichua mambo mbalimbali na kutoa uhuru wa mafundisho mengi mengi na hapo wakristo wengi walipata mwanya wa kueleza namna na maana ya christmass ni UPAGANI tena ni sherehe ya kutungwa.

Haya mafundisho yalifanya UINGEREZA kuiondoa sikukuu hiyo mwaka 1600 AD, kama sikukuu yake ya kitaifa na kidini hata katika makoloni yake yote.
View attachment 1655866
Hata hivyo tamaduni ya sherehe hizi zilirudi kwa sura ya pili ya kikristo.....ambapo mtindo wa kusherekea wa sasa uliambatana na kupambwa kwa miti ya krismass katika makanisa na kutumina kadi za salam zilizosheheni maandiko ya biblia takatifu na maadhimisho yakazidi kupamba moto kila mwaka hata sasa katika zama zetu za kina SANTA CLAUS
View attachment 1655864

DA'VINCI XV
Safi, me sisherehekei Chrismas kwakua hakuna maelekezo yake kwenye Biblia.
Mungu angetaka tushwrekee angetuwekea tarehe yakuzaliwa Yesu, hata Yesu mwenyewe angefanya sherehe ya siku yake yakuzaliwa, hakufanya hivyo na wakristo wakarne ya kwanza hawakufanya hiyo kitu, hiyo inamaanisha kua haina umuhimu wowote kufanya hivyo.

Yesu alitoa maagizo ya wazi kua tuendelee kukumbuka kifo chake daima sio siku yake yakuzaliwa, (luka 22:19,20)
 
Kongole mleta mada kwa kufumbua macho watu,kwa kweli usipoitafuta kweli na kuiishi basi umechagua kuishi kwa kutegemea kweli kutoka kwa wengine ambapo huo ni utumwa.Unabii ufanyike katika kalenda ya Kiaramaic halafu unabii utafsiriwe
Kirumi,ni utimamu wa akili kweli?
 
Back
Top Bottom