Christopher Mariba, Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Tanga na mwenzake, watuhumiwa kuomba na kupokea rushwa, wasimamishwa kazi

Huyu Mariba sina uhakika anatokea wapi. Lkn huyu msaidizi wake NJAU atakua mnyasa huyu. Wanyasa wana sifa ya kupenda sana nyama na pombe. Bila pesa hivi vitu Nyama na pombe huvipati. Ndio maana wakunyumba NJAU alijitosa akidhani anajiongesa.
NJAU hakusikia kwamba kuanzia leo hakuna kumpelekea mahabusu chakula. Inamaana hata masingasinga na waturuki watakua wanakula kama wengine
 
TAKUKURU KWA NIA YA DHATI KABSA NAOMBA MTUSAIDIE KUUDHIBITI MPAKA WETU WA SIRARI DHIDI YA MAAFISA WA TRA WASIO WAADILIFU.
TRA WANAPOKEA RUSHWA SANA. WANA ZILE GARI ZAO WAKISHA FAHAMU KUNA DILI LA KUVUSHA MIZIGO WANAOMBA CHAO MAPEMA ALAFU WANAONDOKA ENEO LA TUKIO KWA KUMPIMIA MWENYE MCHONGO MUDA WA KUVUSHA.

WANA MTINDO WA KUFICHA GARI VICHOCHORONI NA KUWAITA WENYE MIZIGO ILI KUMALIZANA NAO.

TRA MPAKANI SIRARI WAMEISHIA KUWAKATA BODABODA WABEBA SIMENTI NA SUKARI HUKU WAKIRUHUSU WENYE MIZIGO KUIVUSHA KUTOKA KENYA.

TAKUKURU MULIKENI HAWA TRA MPAKA WA SIRARI,TARIME.
 
KUNA CLIP ZIPO YOUTUBE KUPITIA TANZANITE TV ZINAONGELEA MADUDU YA TRA,,, UKISIKILIZA UTATAMANI TRA YOTE IBOMOLEWE KUANZIA MKUU WA TRA HADI MFAGIAJI.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana,tunatumia mbinu za kinyerere
Huwezi kudaka watu wazito kama hao,bila ya kutumia mtego wa kwa wao kufuatiliana
Kama kawaida NJAU yumo,dah!
 
Mbona hicho kiasi walichoomba na kupokea kama rushwa hakijatajwa kama ilivyo ada?
 
Tuliowapa dhamana ya kupambana na kuzuia rushwa ndo wala rushwa...so sad
Yaani Tanga pale pameoza kwa rushwa Masikini wanaonewa sana na watu wenye vijicent ,hata wakienda kushitaki kwenye mamlaka husika bado watazungushwa sana maana unakuta tajiri kesha toa rushwa alafu wwe unapigwa danadana,Mungu kwa kweli inabidi aingilie kati masikini wapate haki zao bila kuzungushwa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…