cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Tatizo letu watanzania ni kuhukumu kabla ya uthibitisho,katika tasinia ya uchunguzi kuna kitu 5Ws ukikijua hiki hata hao bado hawana hatia ni watuhumiwa,bila shaka mahakama ndiyo chombo pekee kinachoweza kuthibitisha tuhuma kuwa ni ya kweli au la!!
Tusiwe mashabiki wa kuhukumu tuwe watu wa subira ya uchunguzi.
ANGALIZO:- Masamaki wa TRA
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusiwe mashabiki wa kuhukumu tuwe watu wa subira ya uchunguzi.
ANGALIZO:- Masamaki wa TRA
Sent using Jamii Forums mobile app