NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Pwapwaahaaha!! [emoji23][emoji23]
Inarusha ile kiree an....Hii mamsi/pisi inaniletea usorombo-huyu demu ananizingua
Eti ngaa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napenda sana waArusha wanavyoongea
Chuga kila mtu analugha yake...inaanzaga kivivyo yaani.... ila baadae inaunganaga na kuwa moja taratibu.
Naeza sema neno sijawai liongea ila ndiyo hivyo baada ya siku mbili tunalisanifisha.
oraaaaa ni gano aride[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Kikorea si kikorea Kijapan si Kijapan Ki China si ki China oooh hoooh
Sent using Jamii Forums mobile app
ChugastanYaani Chuga soon tutaunda mkoa wetu wa Chugaians
oraaaaa ni gano aride
kuja kwa fwasi ya dwasi tuzigilibuxt zigidi bwe bwax
Misemo ya wavuta bangi na wanywa viroba