Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Katuibia sana huyu jamaa.

Dada yake pale Kwa Madiba ndio mtunza fedha, akiiba tu anazirusha pale.

Pili; Siasa za baba yake pia zinamuharibia.

Tatu; huyu mwamba amefanya figisu nyingi sana enzi za utawala wa JPM; hujuma zake zilikuwa za kishenzi. Hafai hata kuwa kwenye ofc ya umma.

Nne; ni ntu wa dili; hafanyi jambo bila rushwa. Ofc yoyote anayoingia lazima alambe dili ndio akili ikae sawa.

Tano; Anajiona kama yeye ndio mwenye hii nchi peke yape; Pamoja na Nape wake. Hawa Wawili ni wa kuchunga sana. Hawana maana na nchi yetu
 
Katuibia sana huyu jamaa.

Dada yake pale Kwa Madiba ndio mtunza fedha, akiiba tu anazirusha pale.

Pili; Siasa za baba yake pia zinamuharibia.

Tatu; huyu mwamba amefanya figisu nyingi sana enzi za utawala wa JPM; hujuma zake zilikuwa za kishenzi. Hafai hata kuwa kwenye ofc ya umma.

Nne; ni ntu wa dili; hafanyi jambo bila rushwa. Ofc yoyote anayoingia lazima alambe dili ndio akili ikae sawa.

Tano; Anajiona kama yeye ndio mwenye hii nchi peke yape; Pamoja na Nape wake. Hawa Wawili ni wa kuchunga sana. Hawana maana na nchi yetu
Hapo kwenye "tatu" ndiyo shida imeanzia.Bado una wenge la Magufuli.
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Hakuna chuki, Watanzania wote Hawa hawawezi kumchukia makamba. Lazima kuna Shida sehemu. Why always makamba?? Jibu ni Hafai na Hafai Tena kuongoza wizara zetu
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Kwani ni lazima awe kiongozi hata kama hatakiwi?
 
Thibitisha kama anafaa + mgao wa umeme unaoendelea licha ya kutengewa bajeti kubwa ya matengenezo.
Pia ukipata nafasi tuwekee ushahidi wa hizo chuki dhidi yake na namna anavyofanya kazi Kwa matokeo chanya Kwa kila hatua zake.
Rudi nyuma tu kidogo.Mashirika ya umma kutoa gawio,baadae tumeambiwa walikuwa wanakopa bank.Maendeelo ya Bwawa la Nyerere kuwa exaggerated...........................
 
1. He engineered the rigging of 2015-20 elections alongside Nnauye, hence the famous statement of 'goli la mkono'.
2. He's been a disaster in almost every position he's been handled to lead.

Yangu ni hayo!
 
MWALIMU NYEREREANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Hayo mengine sijui ninachojua position alipo ni ya kuchota mahela,
Kazaa na Barbara former CEO wa Simba kamnunulia GXR 2023.
1000023465.jpg
 
Hivi hata kwanini mnamzungumzia mtu ambae kabebwabebwa tu hana ajabu lolote kajaa ukajanja tu na kujiona ni bora kuliko wenzie

Mtoa mada wewe tueleze ana nini cha ajabu au ambacho amewahi kulifanyia Taifa la Tanzania limpe sifa na hadhi mnayompa?
 
Back
Top Bottom