Chuki inakudhuru wewe mwenyewe

πŸ˜‚πŸ˜‚ tumepata maoni yako chief
 
Nelson mandela anasema hivi

"Chuki ni sawa na kunywa sumu huku ukitegemea itamuua MTU mwingine"

Kuhusu kuwa na chuki na kuchakaa mwili hii ni fact

Ila kuhusu kuwa na chuki na kuwa mwembamba hii ni opinion.

Chuki hutokana zaidi na kuwa na migogoro ya nafsi inner conflicts.
Ambayo haipo solved.

Interpretation- kutafsiri mambo
Fixed mindset
Scarcity mindset

Hayo mambo juu yanaweza kukufanya uchukie serikali, MTU ,watu n.k

Resentment = CHUKI ni mental illness
 
Amen amen amen amen amen amen amen
 
Wako na wilaya mbili. Same na Mwanga. Hapo Same ndio uchawi unlala hapo! Kama hujipendi hebu kamlipue MTU anayelima ule mmea ambao Ni halali Kenya lkn huku Ni madawa ya kulevya.
Kwa hio huko ndio kuna ROHO mbaya?
 
Very well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…