Chuki na uchochezi wa Dr. Bashiru Ally kwa serikali ya Rais Samia

Chuki na uchochezi wa Dr. Bashiru Ally kwa serikali ya Rais Samia

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.

Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.


#MamaAnaupigaMwingi
 
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA

CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.

Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.

#MamaAnaupigaMwingi
Hii kaisema lini?
Kuna clip hii ya ngurumo, isikilize pia.


All in all I beg to differ with you. Samia hajafanya lolote la kuwasaidia wakulima, hapana. Usiwe chawa! Nadhani nawe unafaidi urais wa Samia na hivyo hivyo Bashiru alikuwa anafaidi urais wa Magufuli na kumsifia kama wewe unavyomsifia Samia.
 
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA

CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.

Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.

#MamaAnaupigaMwingi
Hii nchi Ina wajinga wengi sana. Nimkukima Gani ambae amenufaika na hii serikali?

Kama hujyi kitu usikimbilie kuleta Uzi hapa.
Nitakuuliza maswali mawili na uninibu Kwa kutumia vielelezo,

1. Kati ya awamu ya 5 na ya6 mi awamu gani mbolea ilipanda Bei Kwa asilimia 100+?

2. Nitajie beinya parachi nchini wakati wa awamu ya 5 na ya 6

Swali la nyongeza; u ajua sasa hivi korosho inanunu, iwa shilingi ngapi kutoka Kwa mkulima baada ya kututangazia somo ka mareka I kimepatikan?
 
Bashiru hakuwa mwanasiasa bali mchambuzi na mkosoaji wa serikali. CCM chini ya JPM kwa kumuhofia mkatisha na kumwingiza kwenye siasa na leo hii kinyago mlicho kichonga kinawaticha.

Lakini hata saa mbovu kuna wakati huwa inasema ukweli katika saa 24 ?!

Je unaonaje hilo?

Inaposema ukweli tusiiamini?
 
Katumia vizuri Uhuru wa kuzungumza wewe ndo unataka kuvunja katiba na hatutakuchekea
 
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA

CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.

Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.

#MamaAnaupigaMwingi
Mungu amlinde!

Japo inasemekana kuna mipango miovu aliiratibu kabla ya kutangazwa KWA kifo cha mwendazake,inasemekana pia yupo kwenye tagert ya wale jamaa!!

Hata nafasi ile ya ubunge ilikuwa kkumstahi TU!

Kauli zake hizi zisije zika trigger mpangokazi!

Source"de'levis"humu jamvini!
 
Back
Top Bottom