Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.
Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
Bashiru hakuwa mwanasiasa bali mchambuzi na mkosoaji wa serikali. CCM chini ya JPM kwa kumuhofia mkatisha na kumwingiza kwenye siasa na leo hii kinyago mlicho kichonga kinawaticha.
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA
CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
Hii kaisema lini?
Kuna clip hii ya ngurumo, isikilize pia.
All in all I beg to differ with you. Samia hajafanya lolote la kuwasaidia wakulima, hapana. Usiwe chawa! Nadhani nawe unafaidi urais wa Samia na hivyo hivyo Bashiru alikuwa anafaidi urais wa Magufuli na kumsifia kama wewe unavyomsifia Samia.
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA
CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
Bashiru hakuwa mwanasiasa bali mchambuzi na mkosoaji wa serikali. CCM chini ya JPM kwa kumuhofia mkatisha na kumwingiza kwenye siasa na leo hii kinyago mlicho kichonga kinawaticha.
msiwe wepesi wa kutofikiri. Fikiri zaidi ya hapo please. Msikilize huyu anayefikiri zaidi ya mimi na wewe. Make a scientific analysis of these so called politicians! Sikiliza bashiru wa asilia ukiacha huu unafiki anaousema sasa
naomba comment yako please
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA
CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.