Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwaombee maafa ndugu hawa ni watanzania wenzetuMalipo ya dhambi ni mauti wauane tu
DuuhHaya maccm wacha yavurugane ikiwezekana yauane kabisa nchi ipone
Kauli ni kwamba kile kikosi kilichojimilikisha nchi kuanzia mtaa wa Swahili Arusha, Bomang'ombe Hai, Lugoba Chalinze, Mtama Lindi na barabara ya Shangani Mtwara wakitubu hadharani kwa maovu waliyotenda dhidi ya wananchi mwaka 2021 Mungu anaweza akafikiria kuepusha au kuahirisha Karma dhidi yao.Aisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
Walipokuwa wanatudhuru hawakujua sisi ni watanzania wenzao? Wauane harakaUsiwaombee maafa ndugu hawa ni watanzania wenzetu
Unachokisema ni sahihi.....Aisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
Sasa ndio waendelee au waache?Walipokuwa wanatudhuru hawakujua sisi ni watanzania wenzao? Wauane haraka
Tuwaombee waache njia zao mbaya lakini Pia Rais kama mlezi mkuu wa Taifa achukue hatua.Unachokisema ni sahihi.....
uwe hodari
Waache ili iweje?Sasa ndio waendelee au waache?
Basi mkuu msameheane yaishe tusonge mbele. Hakuna faida kwneye kisasiKauli ni kwamba kile kikosi kilichojimilikisha nchi kuanzia mtaa wa Swahili Arusha, Bomang'ombe Hai, Lugoba Chalinze, Mtama Lindi na barabara ya Shangani Mtwara wakitubu hadharani kwa maovu waliyotenda dhidi ya wananchi mwaka 2021 Mungu anaweza akafikiria kuepusha au kuahirisha Karma dhidi yao.
😅😅😅duuh we jamaa hazikutoshiWaache ili iweje?
We vipi wapigane hadharani wauane wajaa laana hawa
Mkuu mbona makasiriko mengi sana nini Tatizo 😊🤓acha waiue ccm yao wenyewe kwa matabaka na makundi ndani ya chama
😅😅😅jamaa kavulugwaMkuu mbona makasiriko mengi sana nini Tatizo 😊🤓
Mkuu mbona chuki na makasiriko mengi sana nini Tatizo 😊🤓Waache ili iweje?
We vipi wapigane hadharani wauane wajaa laana hawa
Ukizungumzia TISS unazungumzia CCM,sio independent institution,hao ndio mainjinia wa hii scenerioAisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
Ndio Mkuu haya mambo yanaanza hivi hivi. Kule Rwanda na Somalia ilitokan na kundi moja kutokubaliana na kundi lingine kwenye maslahi ya kitaifa.Kama Mwenyekiti ni lege lege anafumbia mmomonyoko wa madili basi ulichosema soon kitaleta matokeo.
Wainjinie kwa faida ya nani sasa?Ukizungumzia TISS unazungumzia CCM,sio independent institution,hao ndio mainjinia wa hii scenerio
Wezi wauaji wasio na huruma na watanzania wenzao hawastahili hurumaMkuu mbona chuki na makasiriko mengi sana nini Tatizo 😊🤓