Chuki, na wivu kwa watu wa kaskazini ndio chanzo cha kusemwa hawafai

Chuki, na wivu kwa watu wa kaskazini ndio chanzo cha kusemwa hawafai

KILA kabila lina tabia mfanano ambazo ni common kinacholeta mfano wa tabia na maadili hayo ni mizimu, mtu anaweza kuwa hana mfanano na tabia za kabila lake kama amejidisconet na mizimu ya kabila lake kupitia elimu au dini.
Yapo makabila ni malaya, wakorofi, wapenda pesa, umasikini,wapenda ndumba, wavivu, wababe,nk kinachobeba tabia hizi ni mizimu ya ukoo au kabila.
Thus kabla ujaingia kwenye ndoa ni lazima ujue mila na desturi za kabila husika Ili ujue unaendaje nao.
 
Kwenye kila jamii kuna watu waovu na watu wema?!!! hivo hivo machame kuna watu wengi wema lakini sample hatarishi hazikosekani.. naamini ni small minority
 
Peasant agriculture ilikua kwa wingi huko kipindi cha ukoloni
 
Nyinyi kama ni wabaya wabaya tu... kila siku msemwe nyinyi tu... kwanza wanaume wanaoongoza kwa ubinafsi ni wachagga. Halafu wanawake majeuri. Nina uthibitisho
 
Sio mpenzi sana wa kuanzisha mada za kikabila, ila ukiona kabila au jamii yako yoyote, iwe ukoo, kabila, nchi, au race inashmbuliwa unfairly lazima uweke mambo sawa

Kuna mada imeanzishwa hapa kushambulia "wanawake wa kaskazini" kuwa ni wanawake wasiofaa kutokana na sababu alizozitoa mtoa mada, na Moderator wakaona ni sawa

"Watu wa kaskazini" ni term inayotumika kumaanisha kabila la Wachagga, Licha ya Kaskazini kuwa na mikoa kama Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara ambazo kwa ujumla ina makabila takribani 30, lakini kabila la Wachagga ndio linachukuliwa kama vile ndio Kaskazini nzima


Mwanamke kama mlezi wa kwanza wa mtoto na anaye manage nyumba, akiwa hafai ina maana familia na nyumba vyote vitasambaratikaa, familia zikisambaratika ina maana ukoo na kabila lote kwa ujumla vitaanguka

Licha ya mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndio mkoa wa kwanza kwa udogo ukiacha Dar es Salaam, na Uchagani ni kama asilimia 30% ya mkoa huo, wakiwa na limited resources, lakini wamefanikiwa zaidi kwenye elimu, biashara, kazi kwenye sekta binafsi na umma, kuliko hayo makabila mengine ambayo wanawake wake wanafaa zaidi

Mtoto kufanikiwa katika elimu, au biashara au utumishi wa umma ni lazima awe amelelewa na mzazi, hasa mama, ambaye amemkuza katika nidhamu ya kuzingatia elimu, nidhamu ya biashara na kazi kwa ujumla

Ukienda upande wowote Tanzania iwe ni kusini kabisa kule Mtwara, Magharibi Kagera, Kigoma, Mbeya, Tanga, Dodoma, Singida utakutana na Wachaga wengi either kwenye kazi kama benki, udaktari, mashirika ya kitaifa na kimataifa au kwenye biashara kubwa na za kati

Ni nadra kukuta mchagga mikoa mingine kaenda kuharibu mazingira na ng'ombe au kufanya kazi za ndani

Lengo sio kujivuna ila ni ku highlight point kuwa huwezi kuwa jamii yenye kutoa watoto wenye mafanikio kama wanawake ambao ndio walezi wa kwanza wa hao watoto watakuwa ni wanaweza wasiofaa kulea familia

Ukipenda unaweza kuoa kabila lako tu sio lazima uoe kwetu, sababu hatulilii wanawake wetu kuolewa na watu wengine,



Mbona na wanawake wenu siku hizi hawataki kuolewa na wanaume wa kichaga wenzao?

Mbona wanataka kuolewa na wanaume wa bara?

Kwani nyie mnanini hadi wanawake wa asili ya kwenu wanawakimbia?
 
Isipokuwa lisemwalo lipo aisee.

Don’t ignore rumors sometimes.
 
Tatizo huwa wako kimaslahi mbele upendo halisi badae.

Halafu hawapendi ndugu wa mume utasema huyo Mwanaume hajakuzwa na watu au labda kafanya kumuokota.

Kuhusu kuwa au kutokuwa romantic hiyo sijui.
 
Sio mpenzi sana wa kuanzisha mada za kikabila, ila ukiona kabila au jamii yako yoyote, iwe ukoo, kabila, nchi, au race inashmbuliwa unfairly lazima uweke mambo sawa

Kuna mada imeanzishwa hapa kushambulia "wanawake wa kaskazini" kuwa ni wanawake wasiofaa kutokana na sababu alizozitoa mtoa mada, na Moderator wakaona ni sawa

"Watu wa kaskazini" ni term inayotumika kumaanisha kabila la Wachagga, Licha ya Kaskazini kuwa na mikoa kama Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara ambazo kwa ujumla ina makabila takribani 30, lakini kabila la Wachagga ndio linachukuliwa kama vile ndio Kaskazini nzima


Mwanamke kama mlezi wa kwanza wa mtoto na anaye manage nyumba, akiwa hafai ina maana familia na nyumba vyote vitasambaratikaa, familia zikisambaratika ina maana ukoo na kabila lote kwa ujumla vitaanguka

Licha ya mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndio mkoa wa kwanza kwa udogo ukiacha Dar es Salaam, na Uchagani ni kama asilimia 30% ya mkoa huo, wakiwa na limited resources, lakini wamefanikiwa zaidi kwenye elimu, biashara, kazi kwenye sekta binafsi na umma, kuliko hayo makabila mengine ambayo wanawake wake wanafaa zaidi

Mtoto kufanikiwa katika elimu, au biashara au utumishi wa umma ni lazima awe amelelewa na mzazi, hasa mama, ambaye amemkuza katika nidhamu ya kuzingatia elimu, nidhamu ya biashara na kazi kwa ujumla

Ukienda upande wowote Tanzania iwe ni kusini kabisa kule Mtwara, Magharibi Kagera, Kigoma, Mbeya, Tanga, Dodoma, Singida utakutana na Wachaga wengi either kwenye kazi kama benki, udaktari, mashirika ya kitaifa na kimataifa au kwenye biashara kubwa na za kati

Ni nadra kukuta mchagga mikoa mingine kaenda kuharibu mazingira na ng'ombe au kufanya kazi za ndani

Lengo sio kujivuna ila ni ku highlight point kuwa huwezi kuwa jamii yenye kutoa watoto wenye mafanikio kama wanawake ambao ndio walezi wa kwanza wa hao watoto watakuwa ni wanaweza wasiofaa kulea familia

Ukipenda unaweza kuoa kabila lako tu sio lazima uoe kwetu, sababu hatulilii wanawake wetu kuolewa na watu wengine,
Narudia tena wale wanaosema kuwa Tanzania hakuna ubaguzi ni waongo!
 
Ni ukweli usiopingika kuwa wachagga wamejikita kwenye utafutaji na hata kuwajengea watoto wao na wajukuu uwezo wa kutafuta mali. Ila kwenye swala la kuoa uchagani simshauri mtu wa jamii nyingine, japo unaweza kubahatika kupata mwenye tabia njema. Wao kwa wao wanabaguana, utaskia Mmarangu hataki kuoa Mrombo, etc. Asilimia kubwa ni wabinafsi sanaa, kama umetoka jamii zenye kuishi kijamaa basi mchagga hafai kuwa mkeo. Swala la ukanda haliko sawa, wanawake wa Tanga wanajua sana kuishi na waume zao, ila wachagga kwa hilo wamefeli. Nimeishi na Mchagga na ilikuwa nifunge nae ndoa, lakini ameonesha tabia ngumu sana kiasi kwamba nimesitisha kila kitu.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa wachagga wamejikita kwenye utafutaji na hata kuwajengea watoto wao na wajukuu uwezo wa kutafuta mali. Ila kwenye swala la kuoa uchagani simshauri mtu wa jamii nyingine, japo unaweza kubahatika kupata mwenye tabia njema. Wao kwa wao wanabaguana, utaskia Mmarangu hataki kuoa Mrombo, etc. Asilimia kubwa ni wabinafsi sanaa, kama umetoka jamii zenye kuishi kijamaa basi mchagga hafai kuwa mkeo. Swala la ukanda haliko sawa, wanawake wa Tanga wanajua sana kuishi na waume zao, ila wachagga kwa hilo wamefeli. Nimeishi na Mchagga na ilikuwa nifunge nae ndoa, lakini ameonesha tabia ngumu sana kiasi kwamba nimesitisha kila kitu.
😄
 
Tatizo huwa wako kimaslahi mbele upendo halisi badae.

Halafu hawapendi ndugu wa mume utasema huyo Mwanaume hajakuzwa na watu au labda kafanya kumuokota.

Kuhusu kuwa au kutokuwa romantic hiyo sijui.
Romance ndo hawana kabisa, kwa kifupi wanawake wengi wa Kichagga mapenzi hawajui.
 
Kuoa ni bahati na sio ujanja
Ukitaka kuowa pendelea kuowa mtu wa kabila lako au yale makabila yanayoenda Kitabia na kabila lako.
Mmakonde kwenda kuowa mchaga ni shida au mpemba kwenda kuowa muhaya ni tatizo kubwa
Dini ya kiislam imefundisha vizuri hili suala kuowa
 
Back
Top Bottom