Sio mpenzi sana wa kuanzisha mada za kikabila, ila ukiona kabila au jamii yako yoyote, iwe ukoo, kabila, nchi, au race inashmbuliwa unfairly lazima uweke mambo sawa
Kuna mada imeanzishwa hapa kushambulia "wanawake wa kaskazini" kuwa ni wanawake wasiofaa kutokana na sababu alizozitoa mtoa mada, na Moderator wakaona ni sawa
"Watu wa kaskazini" ni term inayotumika kumaanisha kabila la Wachagga, Licha ya Kaskazini kuwa na mikoa kama Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara ambazo kwa ujumla ina makabila takribani 30, lakini kabila la Wachagga ndio linachukuliwa kama vile ndio Kaskazini nzima
Mwanamke kama mlezi wa kwanza wa mtoto na anaye manage nyumba, akiwa hafai ina maana familia na nyumba vyote vitasambaratikaa, familia zikisambaratika ina maana ukoo na kabila lote kwa ujumla vitaanguka
Licha ya mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndio mkoa wa kwanza kwa udogo ukiacha Dar es Salaam, na Uchagani ni kama asilimia 30% ya mkoa huo, wakiwa na limited resources, lakini wamefanikiwa zaidi kwenye elimu, biashara, kazi kwenye sekta binafsi na umma, kuliko hayo makabila mengine ambayo wanawake wake wanafaa zaidi
Mtoto kufanikiwa katika elimu, au biashara au utumishi wa umma ni lazima awe amelelewa na mzazi, hasa mama, ambaye amemkuza katika nidhamu ya kuzingatia elimu, nidhamu ya biashara na kazi kwa ujumla
Ukienda upande wowote Tanzania iwe ni kusini kabisa kule Mtwara, Magharibi Kagera, Kigoma, Mbeya, Tanga, Dodoma, Singida utakutana na Wachaga wengi either kwenye kazi kama benki, udaktari, mashirika ya kitaifa na kimataifa au kwenye biashara kubwa na za kati
Ni nadra kukuta mchagga mikoa mingine kaenda kuharibu mazingira na ng'ombe au kufanya kazi za ndani
Lengo sio kujivuna ila ni ku highlight point kuwa huwezi kuwa jamii yenye kutoa watoto wenye mafanikio kama wanawake ambao ndio walezi wa kwanza wa hao watoto watakuwa ni wanaweza wasiofaa kulea familia
Ukipenda unaweza kuoa kabila lako tu sio lazima uoe kwetu, sababu hatulilii wanawake wetu kuolewa na watu wengine,
Wapare sio sehemu ya watu wa kaskaziniEneo kubwa la mkoa wa Kilimanjaro ni Upareni, wilaya za Mwanga na Same zimechukua kama 70% ya eneo la mkoa
Wapare, Wameru, Wachagga sisi wote ni kitu kimoja, Wana wa Kilimanjaro..... Mipaka ya kikoloni isitutenganisheWapare sio sehemu ya watu wa kaskazini
Ukiongelea kaskazin unaongelea wachaga tu
Narudia tena wale wanaosema kuwa Tanzania hakuna ubaguzi ni waongo!Sio mpenzi sana wa kuanzisha mada za kikabila, ila ukiona kabila au jamii yako yoyote, iwe ukoo, kabila, nchi, au race inashmbuliwa unfairly lazima uweke mambo sawa
Kuna mada imeanzishwa hapa kushambulia "wanawake wa kaskazini" kuwa ni wanawake wasiofaa kutokana na sababu alizozitoa mtoa mada, na Moderator wakaona ni sawa
"Watu wa kaskazini" ni term inayotumika kumaanisha kabila la Wachagga, Licha ya Kaskazini kuwa na mikoa kama Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara ambazo kwa ujumla ina makabila takribani 30, lakini kabila la Wachagga ndio linachukuliwa kama vile ndio Kaskazini nzima
Mwanamke kama mlezi wa kwanza wa mtoto na anaye manage nyumba, akiwa hafai ina maana familia na nyumba vyote vitasambaratikaa, familia zikisambaratika ina maana ukoo na kabila lote kwa ujumla vitaanguka
Licha ya mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndio mkoa wa kwanza kwa udogo ukiacha Dar es Salaam, na Uchagani ni kama asilimia 30% ya mkoa huo, wakiwa na limited resources, lakini wamefanikiwa zaidi kwenye elimu, biashara, kazi kwenye sekta binafsi na umma, kuliko hayo makabila mengine ambayo wanawake wake wanafaa zaidi
Mtoto kufanikiwa katika elimu, au biashara au utumishi wa umma ni lazima awe amelelewa na mzazi, hasa mama, ambaye amemkuza katika nidhamu ya kuzingatia elimu, nidhamu ya biashara na kazi kwa ujumla
Ukienda upande wowote Tanzania iwe ni kusini kabisa kule Mtwara, Magharibi Kagera, Kigoma, Mbeya, Tanga, Dodoma, Singida utakutana na Wachaga wengi either kwenye kazi kama benki, udaktari, mashirika ya kitaifa na kimataifa au kwenye biashara kubwa na za kati
Ni nadra kukuta mchagga mikoa mingine kaenda kuharibu mazingira na ng'ombe au kufanya kazi za ndani
Lengo sio kujivuna ila ni ku highlight point kuwa huwezi kuwa jamii yenye kutoa watoto wenye mafanikio kama wanawake ambao ndio walezi wa kwanza wa hao watoto watakuwa ni wanaweza wasiofaa kulea familia
Ukipenda unaweza kuoa kabila lako tu sio lazima uoe kwetu, sababu hatulilii wanawake wetu kuolewa na watu wengine,
😄Ni ukweli usiopingika kuwa wachagga wamejikita kwenye utafutaji na hata kuwajengea watoto wao na wajukuu uwezo wa kutafuta mali. Ila kwenye swala la kuoa uchagani simshauri mtu wa jamii nyingine, japo unaweza kubahatika kupata mwenye tabia njema. Wao kwa wao wanabaguana, utaskia Mmarangu hataki kuoa Mrombo, etc. Asilimia kubwa ni wabinafsi sanaa, kama umetoka jamii zenye kuishi kijamaa basi mchagga hafai kuwa mkeo. Swala la ukanda haliko sawa, wanawake wa Tanga wanajua sana kuishi na waume zao, ila wachagga kwa hilo wamefeli. Nimeishi na Mchagga na ilikuwa nifunge nae ndoa, lakini ameonesha tabia ngumu sana kiasi kwamba nimesitisha kila kitu.
Romance ndo hawana kabisa, kwa kifupi wanawake wengi wa Kichagga mapenzi hawajui.Tatizo huwa wako kimaslahi mbele upendo halisi badae.
Halafu hawapendi ndugu wa mume utasema huyo Mwanaume hajakuzwa na watu au labda kafanya kumuokota.
Kuhusu kuwa au kutokuwa romantic hiyo sijui.
Ukitaka kuowa pendelea kuowa mtu wa kabila lako au yale makabila yanayoenda Kitabia na kabila lako.Kuoa ni bahati na sio ujanja