Chuki ya Afande Sele Kwa Joh Makini na Nikki wa Pili ni Chuki Kali Mbaya Mno

Huo ni ukatili ambao hata Hitler asingeweza kuufanya. Nitafunga siku tatu bila kula kitimoto rost na ndizi kumwombea Nikki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyekwambia natafuta mtu wa maana nani?!!
Wewe umeshindwa kupata wa maana mpk wazee wa kimasihara wamempitia ndio unishauri mie [emoji1787] unachekesha
Unamkomeshaaaa, hapo ataliaa hadi chozii lijaee mashavuni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti "tandam" yaani wanaume mnatuita majina mengi sana, sasa doggy style ndio mnaipenda sana?
Mimi sio msemaji wa wanaume ila kwa upande wangu ninapenda pia watu wangu wa karibu nimewasikia mara kadhaa wakisema pia wanaipenda.
 
Huyo sio niki ni ngosha moja. Ana mahaba sana na Niki ni shabiki die hard.

Off topic si vema kufurahia aliyopitia Niki.
Mimi sio msukuma shika adabu yako, pia Mimi sio Nikki, Mimi ni mdau mkubwa wa muziki nimesaidia wanamuziki wengi tu ndio maana nawajua vizuri . Huu uzushi na ujinga umeletwa na huyu mdangaji cute wife
 
Mimi sio msukuma shika adabu yako, pia Mimi sio Nikki, Mimi ni mdau mkubwa wa muziki nimesaidia wanamuziki wengi tu ndio maana nawajua vizuri . Huu uzushi na ujinga umeletwa na huyu mdangaji cute wife
Acha matusi mkuu,
 
Mimi sio msukuma shika adabu yako, pia Mimi sio Nikki, Mimi ni mdau mkubwa wa muziki nimesaidia wanamuziki wengi tu ndio maana nawajua vizuri . Huu uzushi na ujinga umeletwa na huyu mdangaji cute wife

Jibu swali uliloulizwa cute wife kaingiaje hapo we Ngosha [emoji1787]
 
Mimi sio msukuma shika adabu yako, pia Mimi sio Nikki, Mimi ni mdau mkubwa wa muziki nimesaidia wanamuziki wengi tu ndio maana nawajua vizuri . Huu uzushi na ujinga umeletwa na huyu mdangaji cute wife
Kwamba Niki hajagongewa na watoto wa mjini na kwamba nikki Hajapigwa chini?
 
Inasemekana bangi inakaa kichwani miaka 7, sasa huyu mwamba kwake ni mboga kila siku, mpaka ije kuisha mwanaye Tunda ana wajukuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…