Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

wewe hebu mpishe mama diamond..
hivi hata wewe ungefurahi unateseka na mwanao..
halafu anakuja mtu mzima wa kulingana na wewe anajifanya ndo mke halali...
kisa kazaa...
hakuna anaetaka mwanae aoe mzee, wala kuishi na mzee..
isitoshe tabia ya zari, dharau na ubinafsi lazima mzazi aumie.. kwani mwanzo hakumpenda.. lazima zari ana shombo sana , afu anajiona kama queen, Tz hakuna wa kumfananisha..

halafu kashakua mtu mzima , anatakiwa afanye vitu kiutu uzima.. sio kubishana na vitoto mitandaoni!!
ama tabia mbaya , ndio maana birthday yake imebuma!!
na asirudie kufanya whiteparty Tz maana itabuma.
 
My Prediction:

Kutokana na yote haya IPO SIKU Zari atarudiana na Ivan na kuishi pamoja

Time will tell
Zari anajua km kwa huyo dogo kayavagaa anakomaa tu.Ivan kashafukuza Zari kwenye nyumba ya wanae kwa ajili ya nyodo za dogo. Zari tayari anaoomba poo kwa Ivan
 
Hiyo familia Hawajui kwamba tajiri asusiwi shauri yao
 
Ndo matatizo ya kuzaliwa tandale mama kagoma kubadilika. Diamond achana nae huoni hata babako alikukataza usimsaidie.mamako Ana roho mbaya.
 
Muda mwingine mambo ya familia ni vyema kuishia ndani.Bila ivyo diomond empaya itabaki story.
 
Mbona Penny,wema,Jokate alikuwa nao powa tu,hata zari alikuwa nae powa,mpaka pale zari alipoonyesha makucha yake ya uselfish wake.
 
Ila siku zote huwezi pendwa na mamamkwe au wifi ukifanya kakosa kadogo tu wanaona kosa kubwa ,kwa hiyo zari ajilie vyake na awakomeshe akizaa huyu abebe tena mimba nyinhi e
 
Ukiwa na umasikini wa akili Ni shida sana....!!
 
Ila siku zote huwezi pendwa na mamamkwe au wifi ukifanya kakosa kadogo tu wanaona kosa kubwa ,kwa hiyo zari ajilie vyake na awakomeshe akizaa huyu abebe tena mimba nyinhi e
Teh teh hii hatare sasa
 
Mimi sidhan kama wana matatizo mbona juz mama dai alipost video yuko na tiffa madale!
Watu tu ndio tunaleta chokochoko jamani ila yote tisa mtu ambaye namuona ana matatizo n Esma jama ana mdomo hyo mdada yaani ndio maana wakwe zake hawampendi.
Mtu unaolewa na mwanaume sio ukoo mzima jamani tukisalimiana na kuheshimiana ina tosha watu wanataka kuwapangia maisha ahaha
 
muhimu ni kumpa dai room aendelee na maisha yake,mzazi/wazazi wanapaswa kuheshimu maamuzi ya watoto wao,km Dai ana akili huu ni muda muafaka wa kujiuliza kwa nini baba alimuacha mama?mwanamke wa namna ya ni kendrah michael ni ngumu sana kuishi nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…