Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Siku zote ukiona kila ana matatizo ujue wewe ndio tatizo
 
we umeolewa???? Maana kwa experience yangu mama mara nyingi wanaingiaga kwenye conflicts na wake za watoto zao. Cha kufanya ki ku create space kwa ajili ya wote wawili ila ukisema uwaweka pamoja kitanuka tu.
 
we umeolewa???? Maana kwa experience yangu mama mara nyingi wanaingiaga kwenye conflicts na wake za watoto zao. Cha kufanya ki ku create space kwa ajili ya wote wawili ila ukisema uwaweka pamoja kitanuka tu.
Yes nlikaa na mama mkwe tena mtata Ila Mimi niliifata Yale anayoyataka miezi mi3 Niko nae

Mpk akasema hivi"sikujuaga kua mabinti wa mjini wapo wenye maadili hivi"

Maana tulikua wanne Ila mm ndo nilikua jembe,napotezea kila kitu,wao wanataka walete ushindani na mama wa mumeo

Yote kwa yote heshimu mzazi wa mmeo!

Kwani shilingi ngapi....!!!
 
teh teh teh we kiboko wachache sana wanaweza kuvumilia...
 
teh teh teh we kiboko wachache sana wanaweza kuvumilia...
Siwezagi kunyanyua mdomo kubishana na Mtu mzima hata siku moja!

Mzazi wangu mwenyewe sijawahi kumbisha hua nikiona nimeonewa nalia tu,nanyamaza maisha yanaenda!

Hvyo hata wa mwenzangu namheshimu,mtu yyte anaemjibu mkwewe vbya hata mzazi wake anamjibisha pia
 
Mmh ila wakwe hawa wanataka uwe mpole tu kuishi nao haswa wakiwa na GUBU. Napenda sana wazungu wanavoishi. Kila mtu kwaooooo. Nyie mnadhan ma chibu angekua anakaa kwake yote hayo yangetokea? Vikombe vinagongana sembuse cc binadamu tena WANAWAKE!? Cjawai ckia et mume haelewani na baba mkwe hata cku moja. Ila ma mkwe na ma wifi ni vichefu chefu aiseee in most cases. Ila yote haya chanzo chake ni kwasababu sisi WANAWAKE HATUPENDANI NATURALLY..cjui tumerogwa?
 
Wewe ni mwanamke bora! Are you occupied irk? Anyway, ni rahisi ku-solve tatizo wakati unafahamu chanzo chake! Wengine hapa wamebaki kuwasemanga mama zetu sie wa huku Uswahilini wakati ukweli ni kwamba akina mama na madada wengi ni majipu linapokuja suala la mahusiano ya watoto wao, iwe ni wa Uswahilini au Uzunguni!! Lakini ngoja nikuambie... kwa mwanamke unatakiwa upate mama mkwe na mawifi wa aina hii angalau kwa muda ili ufahamu uimara wa boyfriend/mumeo! Ukiona mama anamwaga povu halafu ndo kwanza boyfriend anakuandalia amazing birthday party; hapo unafahamu; YES, this's him! Na baada ya hapo ndo unatafuta namna ya kumridhisha mama mkwe. Binafsi dada angu hawezi kuninyima usingizi... sana sana akizidi kuchonga atarajie makonde aendelee kuchonga vizuri labda kama huko anakomegwa na mimi huwa namfuatilia!
 
Mkuu nimekusoma,lakini pia mke anapaswa amsome mama mkwe wake anataka maisha ya aina gani,ili kama kuna tofauti ya kimtazamo basi aweze kutafuta namna ya kumleta karibu mama mkwe wake
 
Unge nukuu alichokiandika kwa faida ya sisi ambao instagram haisomeki,ingependeza sana
 
Hakuna kitu kibaya kama kugombana na mama mkwe wako, wanaweza wote wakawa na makosa lakini naona Zari ana makosa zaidi.
 
Mkuu nimekusoma,lakini pia mke anapaswa amsome mama mkwe wake anataka maisha ya aina gani,ili kama kuna tofauti ya kimtazamo basi aweze kutafuta namna ya kumleta karibu mama mkwe wake
Yah, na hicho ndicho nilichokisema hapo juu! Kwamba, hatimae mwanamke atafahamu kwamba mwanaume wake hayumbishwi na ndipo anaangalia namna gani anaweza kuishi kwa amani na mama mkwe wake... sio akina dada! Hawa akina dada mimi huwa hawanisumbui hata kidogo kv wanatakiwa kuishi ninavyotaka mimi na sio mimi niishi wanavyotaka wao. Lakini mwanaume ukiwa weak; hata dada zako wataisumbua ndoa yako!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…