Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Uchungu wa mwana aujiae mzazi.....

Ya ndani hamyajui acheni kumsema mama wa watu

Kwanza bibi tukinao mwenyewe alisharushaga madongo kwa mama domo
 
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi

Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi

Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?


Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!

Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!

Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!

Fanya kazi km huna akili nzuri!

Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!

Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Umesema yote

Mama wa mwanaume wako (maana bubi tukinao hajaolewa bado) ni mama yake (hata kama wanalingana umri)
 
nashangaa wabongo wapo busy kumfagilia zari zari yupo busy kuomba msamaha uganda maana kanyea kambi
14350904_1738453659740449_3601048349316218880_n-jpg.405756
wala hana raha leo
14373917_611432932369982_850504915900956672_n-jpg.405755
Wabongo wasamehe

Wanashobokea hadi wachina itakuwa mganda

Bibi tukinao ubosslady wa insta tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Timu yake watakwambia alichuma na ivan [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] utafikiri document za kampuni waliziona kuona share za bibi tukinao

Bosslady wao anaishi kwa child support... sasa sponsor kanuna lazima amlambe miguu
 
Mama gani atakubali mtto wake atoke na mwanamke aliyemzidi miaka mingi ata kama n ww utakubali uletewe mkwe wa hivyo na mtto wako, zari ana kiburi mtu gan huelewan na mama mkwe wifi kweli najifanyaga mjinga nikienda kwa mama mkwe mm ndo house gal kaz zote mm utafanyaje huna jins ndo ukweni raha ukiludi kwako unajifanya mjinga yako yanakuendea

huyo mama nae shobo tu. Diamond angekuwa choka afu akapata jimama linamtunza mjini unadhani huyo maza angeongea kitu? uswahili tu unamsumbua
 
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi

Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi

Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?


Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!

Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!

Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!

Fanya kazi km huna akili nzuri!

Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!

Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Ila kuna vmama mkwe hatar knakuwa knamfanyia mbaya mkeo utazan n mke mweza,nawashaur wanaume JITAHIDI USIISHI NA MAMA AKO,WEKA MBALI NA MKEO
 
Sikieni binamu mama mkwe ni sawa na mama ako mzazi

Kwanza mheshimu maana bila yy usingepata Mme au mpenzi

Pili Mnyenyekee sana mama mkwe hapa tunaongela sie waafrica mkwe ndo kila kitu we muache hata akikutia kidole cha macho mpotezee tu jenga picha unaweza kumjibu,kumdharau au kmtusi mama yako mzazi?


Tatu usibishane na mama mkwe hata Siku moja haswa kwa mtoto ambae amelelewa na mama tu!maana amepitia tabu zote peke yake!

Cha msingi we piga kimya tu,akutusi akuseme akudharau wee nyamaza!

Mwisho kabisa ukienda ukweni acha Drama jifanye malaika,uvivu weka pembeni!

Fanya kazi km huna akili nzuri!

Ishi nao vizuri,punguza majivuno kua mpole tu!

Ili hata km wakiskia una vituko wasiamini!
Ahahaaaa kwakwel hapana. Ntamnyenyekea mama angu mzazi. Uyo mama mkwe atanyenyekewa na mwanae aliyemzaa.
Wakwe ni changamoto jmn wengine 2najionea ata umbebe na mbeleko lipi km hatak kubebeka ni habebeki.
Familia ya mondi ya kiswazi sana, bi sanura alizoea kunyenyekewa na kina penny na wema lkn anawazodoa behind their backs. Ss kakutana na mwali wa kiganda. Kila m2 aishi maisha yake bna. Mkwe anaongea na mwanae wakiwa na nguo, mke anaongea na mwanae wakiwa uchi.
 
wabongo washamba sana kumbe ana magari mawili tu kama wema hana mali yoyote isiyohamishika labda papuchi
Tena bora hata wema ana uwezo wa kupanga nyumba...bibibtukinao hata hela ya rent hana

Inabd akitoka zenji "akambembeleze" Ivan
 
Unampotezea tu!jamani mbona wema aliweza kuishi nae?

Hakuna kitu kizuri km kumlia bati mtu mzima halafu uzuri wake Zari sio mkaaji sana!

Hivi miezi miwli ushindwe kumvumilia mama km huyoo?!!

Mie sijui Niko tofauti!!
Bi Sandra ni zaidi ya mswahili,yule mama nahs anataman mwanae asiwe na mwanamke kabsa mana hata kwa wema walisema mengi sana.
 
Back
Top Bottom