Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Ndugu tatizo la sisi wabongo ni wanafiki sana, tunayajua sana haya lakini ili tuonekane watakatifu kwa watu basi tunajifanya innocents behind the keyboards, most of people hapa hasa wanaoside upande wa mama Dai they sound so hypocrisy! Watu wanapenda sana kujifanya akina mother teresa humu ikiwa in reality they are not.
mambo ya familia za watu msipende sana kuyatungia sentensi ndefu ndefu ni bora tu kutumia maneno mafupi mafupi kama la hasha! Looh! Kumbe! Mhhhh! n.k (if you know what I mean) [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamani hasa kwenye familia zetu hizi za kiafrika kuna tatizo kubwa sana Kati ya mtu na wakweze/ mawifi. Na mara nyingi hakuna sababu ya msingi ya hayo matatizo kutokea, na ikiwa watu wataelewana na kila mtu ajue nafasi yake kwa mhusika basi hakuna ugomvi wowote utakaotokea, lakini pia ugomvi ni kitu cha kawaida kabisa kutokea hivyo ni vyema sana kuchukuliana (kubebana), ila kwakuwa binadamu tuna tabia nzito basi tutaendelea kugombana until forever ends.

Back to my testimony, mi nina wifi yangu ( mke wa kaka) ambae naweza sema ni the best wifi kupata kutokea mtoto wa watu kwanza kazuri, kapole, kanajituma, hakana dharau inshort sionagi shida yake kubwa, pungufu lake pekee nilijualo ni mzembe fulani hivi sometimes, of which ukijaribu kuiasses tabia yake utagundua ana mazuri mengi kuliko mabaya, lakini the prob is haelewani kabisa na mamangu (mkwe wake) mara kwa mara namuona mama anamtupia tupia vijineno bila sababu ya msingi tu, Ndo nikagundua kuwa mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu. Muda mwingine namwambia mama mbona unamsema huyu dada bila sababu za msingi? hana lakujibu,

kipindi sijaolewa wifi angu alikuwa ananiambia "wifi unaishi vizuri sana na mimi nakuombea ukiolewa ukakutane na mawifi na wakwe wenye roho kama yako, lakini dah salaleeee bahati hiyo sina pia yaani mama mkwe wangu ni mkorooofiiii hapana mfano hata umbebeje utamtua tu kuna siku.
Yaani huyu mama hajawahi kunipenda since day one ananiona, nikaona isiwe tabu kila mtu aishi maisha yake, mambo yalivyo mengi muda wakumuimpress mtu nautoa wapi, mi kwa kweli kuishi maisha ya uongo kumfurahisha mtu naweza lakini huwa sitaki na wala sina sababu ya kufanya hivyo. Mimi pia mi si kamilifu, nina matatizo yangu nami mengi tu. Lakini huwa najua kuwa mama mkwe ni mamamkwe tu kamwe hataweza kulala na mwanae so huwa sina haja yakugombana nane kabisa, lakini anavyoufource ugomvi na anapenda vishindo kiasi kwamba nishagaona ni bora tuishi mbali mbali tu ili mambo yaende, tunashirikiana kwenye mambo ya lazima tu kama misiba, n.k sitaki hata mazoea.

Kwenye hili wanaume lazima mjue pakusimama ili
Kufanya mambo yaende, leo hii unajifanya unamsikiliza sana mamaako hukujua umeoa kwa ajili gani au umsikilize sana mkeo hujui kuwa una mama? Kila mtu asikilizwe kwa wakati wake kwa nafasi yake.

Back to mama Dai, hahha jamani nini tatizo? kama imemuua zari kununuliwa nyumba kwanini asielewe kuwa hiyo nyumba wajukuu zake tiffah na kijacho wataishi na wao? Diamond akinunua nyumba kwa ajili ya zari si inakuwa kwaajili ya wanae pia (familia) huko sio kuhonga its all about being a responsible father, ambalo ni jambo zuri, kama wanafikiri zari anamchuna Dai wao wanamtaka nani ambaye hata mchuna Dai? Yaani mwanamke gani wa diamond ambae hataspend hela za diamond?

Btw Zari sio mkaaji kwanini wasivumiliane tu kwa hiki kipindi kifupi anachokuwepo? Katika hili ntaendelea kuamini Mama Dai na Esma wake ndio wenye matatizo. Tatizo lao wanahisi zari anawarusha sana roho, yaani jamani mtu asifanye kitu wanarushwa roho, bongo shida sana. Leo nimeongea kama mke siku nikiwa mkwe pengine ntaongea mengine, ngoja niweke akiba ya maneno kwani hata mi nimezaa.
Hahaha Mungu akuwezeshe dear kuufikia ukwe.ila ulichosema hakika ni ukweli,Mungu atupe tu hekima ya kuishi na hawa mama zetu vyema ila Mungu mwenyewe ndo anayejua.
 
Ndugu tatizo la sisi wabongo ni wanafiki sana, tunayajua sana haya lakini ili tuonekane watakatifu kwa watu basi tunajifanya innocents behind the keyboards, most of people hapa hasa wanaoside upande wa mama Dai they sound so hypocrisy! Watu wanapenda sana kujifanya akina mother teresa humu ikiwa in reality they are not.
mambo ya familia za watu msipende sana kuyatungia sentensi ndefu ndefu ni bora tu kutumia maneno mafupi mafupi kama la hasha! Looh! Kumbe! Mhhhh! n.k (if you know what I mean) [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamani hasa kwenye familia zetu hizi za kiafrika kuna tatizo kubwa sana Kati ya mtu na wakweze/ mawifi. Na mara nyingi hakuna sababu ya msingi ya hayo matatizo kutokea, na ikiwa watu wataelewana na kila mtu ajue nafasi yake kwa mhusika basi hakuna ugomvi wowote utakaotokea, lakini pia ugomvi ni kitu cha kawaida kabisa kutokea hivyo ni vyema sana kuchukuliana (kubebana), ila kwakuwa binadamu tuna tabia nzito basi tutaendelea kugombana until forever ends.

Back to my testimony, mi nina wifi yangu ( mke wa kaka) ambae naweza sema ni the best wifi kupata kutokea mtoto wa watu kwanza kazuri, kapole, kanajituma, hakana dharau inshort sionagi shida yake kubwa, pungufu lake pekee nilijualo ni mzembe fulani hivi sometimes, of which ukijaribu kuiasses tabia yake utagundua ana mazuri mengi kuliko mabaya, lakini the prob is haelewani kabisa na mamangu (mkwe wake) mara kwa mara namuona mama anamtupia tupia vijineno bila sababu ya msingi tu, Ndo nikagundua kuwa mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu. Muda mwingine namwambia mama mbona unamsema huyu dada bila sababu za msingi? hana lakujibu,

kipindi sijaolewa wifi angu alikuwa ananiambia "wifi unaishi vizuri sana na mimi nakuombea ukiolewa ukakutane na mawifi na wakwe wenye roho kama yako, lakini dah salaleeee bahati hiyo sina pia yaani mama mkwe wangu ni mkorooofiiii hapana mfano hata umbebeje utamtua tu kuna siku.
Yaani huyu mama hajawahi kunipenda since day one ananiona, nikaona isiwe tabu kila mtu aishi maisha yake, mambo yalivyo mengi muda wakumuimpress mtu nautoa wapi, mi kwa kweli kuishi maisha ya uongo kumfurahisha mtu naweza lakini huwa sitaki na wala sina sababu ya kufanya hivyo. Mimi pia mi si kamilifu, nina matatizo yangu nami mengi tu. Lakini huwa najua kuwa mama mkwe ni mamamkwe tu kamwe hataweza kulala na mwanae so huwa sina haja yakugombana nane kabisa, lakini anavyoufource ugomvi na anapenda vishindo kiasi kwamba nishagaona ni bora tuishi mbali mbali tu ili mambo yaende, tunashirikiana kwenye mambo ya lazima tu kama misiba, n.k sitaki hata mazoea.

Kwenye hili wanaume lazima mjue pakusimama ili
Kufanya mambo yaende, leo hii unajifanya unamsikiliza sana mamaako hukujua umeoa kwa ajili gani au umsikilize sana mkeo hujui kuwa una mama? Kila mtu asikilizwe kwa wakati wake kwa nafasi yake.

Back to mama Dai, hahha jamani nini tatizo? kama imemuua zari kununuliwa nyumba kwanini asielewe kuwa hiyo nyumba wajukuu zake tiffah na kijacho wataishi na wao? Diamond akinunua nyumba kwa ajili ya zari si inakuwa kwaajili ya wanae pia (familia) huko sio kuhonga its all about being a responsible father, ambalo ni jambo zuri, kama wanafikiri zari anamchuna Dai wao wanamtaka nani ambaye hata mchuna Dai? Yaani mwanamke gani wa diamond ambae hataspend hela za diamond?

Btw Zari sio mkaaji kwanini wasivumiliane tu kwa hiki kipindi kifupi anachokuwepo? Katika hili ntaendelea kuamini Mama Dai na Esma wake ndio wenye matatizo. Tatizo lao wanahisi zari anawarusha sana roho, yaani jamani mtu asifanye kitu wanarushwa roho, bongo shida sana. Leo nimeongea kama mke siku nikiwa mkwe pengine ntaongea mengine, ngoja niweke akiba ya maneno kwani hata mi nimezaa.
Umemaliza yote dada,familia za Kiafrica ni shida sana hasa linapokuja suwala la ndoa,

Halafu mama Diamond mswahili sana,ile nyumba Diamond hajasema kwamba amemnunulia Zari.

Diamond amesema amenunua nyumba South na anatumaini Zari ameifurahia nyumba yao ile south Africa
 
Umemaliza yote dada,familia za Kiafrica ni shida sana hasa linapokuja suwala la ndoa,

Halafu mama Diamond mswahili sana,ile nyumba Diamond hajasema kwamba amemnunulia Zari.

Diamond amesema amenunua nyumba South na anatumaini Zari ameifurahia nyumba yao ile south Africa
Hata kama kamnunulia kuna ubaya basi!!! Si wajukuu zake ndo wataishi mle.
 
Hivi kwaniin huyu mama anamchukia sana mzazi mwenzie na mwanae(Zari)? Naona hali imefikia pabaya mpaka kufikia hatua ya kuongea maneno magumu Kwenye mitandao ya kijamii.

Tunajua Zari ana mapungufu yake ndio ila sio kwa bifu hilo, anajitahidi kumtafutia mwanae wanawake wengine ili tu waachane na Zari. Najua kinachomuuma ni mali za mwanae, anajua Zari akizidi kuzaa ndo Mali zitakapozidi kupotea mikononi mwake.

Pia nahisi mama domo anatamani kabisa mwanae asingezaa ili afaidi vizuri mali za mwanae, maana sio kwa chuki hizi kwa Zari.
Naww mpana duuhh sasa yote haya umeyapata wapi! Kama syo umbea
 
mama I hope you have advised your son to put the so called house in South Africa in his name! If it's in Tiffah's name then his finished, Zari is a baby making business woman. Her ex was very clever because he knows her very well that's why he never legally married her and he never put any house in her name. Please mama advise your one only boy to be careful when it comes to worthy! Zarina is not what he thinks she is.. She's a fraud and she's on a mission with your son that's why she's getting all those babies from him for business. Sit Naseeb down and put some senses in him. All I have said is the truth... I swear he shouldn't put that in Zari's name. Zari always tell people that Naseeb is wrapped up on her small finger and no one can do anything
from ivan family
Uwiiiiiii [emoji86] [emoji86] bi Sandra upo?
 
1475175166596.png
Zari ana kazi asee hapa doh!
 
1475179281279.png
umbea wa Leo mtam sana,haha hadi diamond mwenyew ka like post ambayo mama ake alikuwa anachambwa tena matusi ya nguon kabsa looh,kweli diamond kachoka na uswahili wao
 
View attachment 409342umbea wa Leo mtam sana,haha hadi diamond mwenyew ka like post ambayo mama ake alikuwa anachambwa tena matusi ya nguon kabsa looh,kweli diamond kachoka na uswahili wao
Ila hyo dp mbona ni tofauti na ile anayotumia mama yetu kipenzi muangalie Tiffah kwa umakini kwa dp utaona kuna utofauti
 
Ila hyo dp mbona ni tofauti na ile anayotumia mama yetu kipenzi muangalie Tiffah kwa umakini kwa dp utaona kuna utofauti
1475205422077.png
Hamna utofauti wowote,sema hapo u namuona tifaa kwa mbali .
 
Wakuu nimependa michango yenu humu. It's worth to share such experience.

Mi niongee kama kijana mwenye mke na wazazi. Ugomvi Mara nyingi unasababishwa na umasikini wetu. Competition. Insecurity. Wivu. Essentially mama anaona as long as mtoto wake ametoka....basi yeye ndo mwenye haki ya kushika kisu akate stake! Anashindwa kukubali kwamba Sasa Mwanae in mtu mzima ana wategemezi ambao inabidi awahangaikie. Kikubwa ni kijana kujua majukumu yake kama baba na mume kwanza. Then Kama mtoto. In my case mke wangu....aliamua ku-keep very low profile. Anampigia simu mama mkwe wake na kumheshimu. Lakini kwenye swala la pesa...she made it clear.....mama deal na kijana wako. Hapendi kuingilia mahusiano yangu na wazazi wangu kabisa. Lakini mwisho wa siku nimegundua mwenyewe.....Nina wajibu wa kuihangaikia familia yangu kwanza. Leo nikitangulia mbele ya haki ..........well I trust kabisa mke wangu ndo atahangaika na vijana. Na nilichogundua....painful but true....most of our relatives tend to take advantage of us...especially pale tunapokuwa na uwezo. Ni kweli wake zetu si wakamilifu. But so is each of us.

Kifupi.....ingawa as humans chokochoko hazikosi...wanaume tuna wajibu mkubwa sana kuhakikisha tunaweka mbele familia zetu. It doesn't mean usisaidie pale unapoweza...but again most of our parents and ourselves have already eaten our future. Leo Daimond akidondoka.....atakayeumia siyo mama yake. Ni watoto wake. Dunia ya Zari haitasimama. By the way if I were to advise mama Daimond, akae chini atulie. Akipewa kilo ya sukari na kadi ya afya amshukuru Muumba wake.

In fact from my experience katika hizi familia zetu za kiafrika.....ukiendekeza hizi extended families utajikuta unashindwa kutimiza majukumu yako Kama baba. Yaani Daimond ashindwe kuhangaikia family yake kisa..mama hampendi baby mama wake?

I love my parents. But I believe my family (partner and kids) come first. And I have made this very clear to anybody who should know.

Kama Watu wangejifunza kuwa independent......iam sure matatizo Kama Haya ya akina Diamond na mama yake yangepungua Kama si kuisha Kabisa.

In this case it is no longer Zari.....anymore. Ni Diamond na watoto wake.
 
Wakuu nimependa michango yenu humu. It's worth to share such experience.

Mi niongee kama kijana mwenye mke na wazazi. Ugomvi Mara nyingi unasababishwa na umasikini wetu. Competition. Insecurity. Wivu. Essentially mama anaona as long as mtoto wake ametoka....basi yeye ndo mwenye haki ya kushika kisu akate stake! Anashindwa kukubali kwamba Sasa Mwanae in mtu mzima ana wategemezi ambao inabidi awahangaikie. Kikubwa ni kijana kujua majukumu yake kama baba na mume kwanza. Then Kama mtoto. In my case mke wangu....aliamua ku-keep very low profile. Anampigia simu mama mkwe wake na kumheshimu. Lakini kwenye swala la pesa...she made it clear.....mama deal na kijana wako. Hapendi kuingilia mahusiano yangu na wazazi wangu kabisa. Lakini mwisho wa siku nimegundua mwenyewe.....Nina wajibu wa kuihangaikia familia yangu kwanza. Leo nikitangulia mbele ya haki ..........well I trust kabisa mke wangu ndo atahangaika na vijana. Na nilichogundua....painful but true....most of our relatives tend to take advantage of us...especially pale tunapokuwa na uwezo. Ni kweli wake zetu si wakamilifu. But so is each of us.

Kifupi.....ingawa as humans chokochoko hazikosi...wanaume tuna wajibu mkubwa sana kuhakikisha tunaweka mbele familia zetu. It doesn't mean usisaidie pale unapoweza...but again most of our parents and ourselves have already eaten our future. Leo Daimond akidondoka.....atakayeumia siyo mama yake. Ni watoto wake. Dunia ya Zari haitasimama. By the way if I were to advise mama Daimond, akae chini atulie. Akipewa kilo ya sukari na kadi ya afya amshukuru Muumba wake.

In fact from my experience katika hizi familia zetu za kiafrika.....ukiendekeza hizi extended families utajikuta unashindwa kutimiza majukumu yako Kama baba. Yaani Daimond ashindwe kuhangaikia family yake kisa..mama hampendi baby mama wake?

I love my parents. But I believe my family (partner and kids) come first. And I have made this very clear to anybody who should know.

Kama Watu wangejifunza kuwa independent......iam sure matatizo Kama Haya ya akina Diamond na mama yake yangepungua Kama si kuisha Kabisa.

In this case it is no longer Zari.....anymore. Ni Diamond na watoto wake.
Asante ndefu but meaningful
 
Najitahidi kuvuta subra,yawezekana ukaja kuwa mkwe wangu,you nailed it sis
Ndugu tatizo la sisi wabongo ni wanafiki sana, tunayajua sana haya lakini ili tuonekane watakatifu kwa watu basi tunajifanya innocents behind the keyboards, most of people hapa hasa wanaoside upande wa mama Dai they sound so hypocrisy! Watu wanapenda sana kujifanya akina mother teresa humu ikiwa in reality they are not.
mambo ya familia za watu msipende sana kuyatungia sentensi ndefu ndefu ni bora tu kutumia maneno mafupi mafupi kama la hasha! Looh! Kumbe! Mhhhh! n.k (if you know what I mean) [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamani hasa kwenye familia zetu hizi za kiafrika kuna tatizo kubwa sana Kati ya mtu na wakweze/ mawifi. Na mara nyingi hakuna sababu ya msingi ya hayo matatizo kutokea, na ikiwa watu wataelewana na kila mtu ajue nafasi yake kwa mhusika basi hakuna ugomvi wowote utakaotokea, lakini pia ugomvi ni kitu cha kawaida kabisa kutokea hivyo ni vyema sana kuchukuliana (kubebana), ila kwakuwa binadamu tuna tabia nzito basi tutaendelea kugombana until forever ends.

Back to my testimony, mi nina wifi yangu ( mke wa kaka) ambae naweza sema ni the best wifi kupata kutokea mtoto wa watu kwanza kazuri, kapole, kanajituma, hakana dharau inshort sionagi shida yake kubwa, pungufu lake pekee nilijualo ni mzembe fulani hivi sometimes, of which ukijaribu kuiasses tabia yake utagundua ana mazuri mengi kuliko mabaya, lakini the prob is haelewani kabisa na mamangu (mkwe wake) mara kwa mara namuona mama anamtupia tupia vijineno bila sababu ya msingi tu, Ndo nikagundua kuwa mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu. Muda mwingine namwambia mama mbona unamsema huyu dada bila sababu za msingi? hana lakujibu,

kipindi sijaolewa wifi angu alikuwa ananiambia "wifi unaishi vizuri sana na mimi nakuombea ukiolewa ukakutane na mawifi na wakwe wenye roho kama yako, lakini dah salaleeee bahati hiyo sina pia yaani mama mkwe wangu ni mkorooofiiii hapana mfano hata umbebeje utamtua tu kuna siku.
Yaani huyu mama hajawahi kunipenda since day one ananiona, nikaona isiwe tabu kila mtu aishi maisha yake, mambo yalivyo mengi muda wakumuimpress mtu nautoa wapi, mi kwa kweli kuishi maisha ya uongo kumfurahisha mtu naweza lakini huwa sitaki na wala sina sababu ya kufanya hivyo. Mimi pia mi si kamilifu, nina matatizo yangu nami mengi tu. Lakini huwa najua kuwa mama mkwe ni mamamkwe tu kamwe hataweza kulala na mwanae so huwa sina haja yakugombana nane kabisa, lakini anavyoufource ugomvi na anapenda vishindo kiasi kwamba nishagaona ni bora tuishi mbali mbali tu ili mambo yaende, tunashirikiana kwenye mambo ya lazima tu kama misiba, n.k sitaki hata mazoea.

Kwenye hili wanaume lazima mjue pakusimama ili
Kufanya mambo yaende, leo hii unajifanya unamsikiliza sana mamaako hukujua umeoa kwa ajili gani au umsikilize sana mkeo hujui kuwa una mama? Kila mtu asikilizwe kwa wakati wake kwa nafasi yake.

Back to mama Dai, hahha jamani nini tatizo? kama imemuua zari kununuliwa nyumba kwanini asielewe kuwa hiyo nyumba wajukuu zake tiffah na kijacho wataishi na wao? Diamond akinunua nyumba kwa ajili ya zari si inakuwa kwaajili ya wanae pia (familia) huko sio kuhonga its all about being a responsible father, ambalo ni jambo zuri, kama wanafikiri zari anamchuna Dai wao wanamtaka nani ambaye hata mchuna Dai? Yaani mwanamke gani wa diamond ambae hataspend hela za diamond?

Btw Zari sio mkaaji kwanini wasivumiliane tu kwa hiki kipindi kifupi anachokuwepo? Katika hili ntaendelea kuamini Mama Dai na Esma wake ndio wenye matatizo. Tatizo lao wanahisi zari anawarusha sana roho, yaani jamani mtu asifanye kitu wanarushwa roho, bongo shida sana. Leo nimeongea kama mke siku nikiwa mkwe pengine ntaongea mengine, ngoja niweke akiba ya maneno kwani hata mi nimezaa.
 
Back
Top Bottom