Chuki ya Martin Luther kwa Wayahudi ilivyosababisha holocaust

Chuki ya Martin Luther kwa Wayahudi ilivyosababisha holocaust

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Martin Luther baba wa imani wa Waluther ( yaani Lutheran/ wanaomfata Luther) hakua na mtazamo chanya juu ya wayahudi.

Wanahistoria wanakubaliana kua msimamo wake umechangia pakubwa kuenea kwa chuki dhidi ya wayahudi na kusababisha mauaji (holocaust).

Martin Luther aliamini wayahudi ni waongo na watu wabaya. Alitaka wamkubali Yesu Kristo na alipiga marufuku mafundisho yao.

Moja ya vitabu alivyoandika Martin Luther ni kitabu kijulikanacho kama
"The jews and thier lies"

Hii no Original cover ya kijerumani.

1543_On_the_Jews_and_Their_Lies_by_Martin_Luther.jpg
 
Martin Luther baba wa imani wa Waluther ( yaani Lutheran/ wanaomfata Luther) hakua na mtazamo chanya juu ya wayahudi.

Wanahistoria wanakubaliana kua msimamo wake umechangia pakubwa kuenea kwa chuki dhidi ya wayahudi na kusababisha mauaji (holocaust).

Martin Luther aliamini wayahudi ni waongo na watu wabaya. Alitaka wamkubali Yesu Kristo na alipiga marufuku mafundisho yao.

Moja ya vitabu alivyoandika Martin Luther ni kitabu kijulikanacho kama
"The jews and thier lies"

Hii no Original cover ya kijerumani.

View attachment 2787390
Nini kinasababisha Maasai wachukiwe Tz na Serikali ya ccm?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Fafanua jinsi msimamo wake ulivyopelekea kuibuka kwa mauaji ya Wayahudi.
Msimamo wake na influence alionayo na maandishi yake kama kitabu chake cha " jews and thier lies" ,
Aliamin wayahudi ni waongo, wasiomkubali Yesu na matatizo kadhaa.

Waliomfata wakachukua msimamo huo ambao ulipanda chuki hadi kufikia kwa Hitler.

Soma kitabu chake utaelewa alikua anawaonaje
 
Ndio , hata Henry Ford Yule inventor wa magari kule Marekani na mzalishaji wa kwanza wa magati duniani ,aliandika vitabu kuwahusu hawa wayahudi feki .
Spineless as they are , crooks and scums of the world ,sema ni vile watu hawasomi vitabu na kufuatilia mambo ,tufuteni kitabu cha Henry Ford kinaitwa " International Jewry "
Wayahudi feki /khazars ni disaster kwa huu ulimwengu ,nimeviattach hapa ,Someni humo View attachment On the Jews and Their Lies (Martin Luther) (Z-Library).pdfView attachment The international jew by Henry Ford (z-lib.org)-1-1-2-1-1.pdf
 

Attachments

Martin Luther baba wa imani wa Waluther ( yaani Lutheran/ wanaomfata Luther) hakua na mtazamo chanya juu ya wayahudi.

Wanahistoria wanakubaliana kua msimamo wake umechangia pakubwa kuenea kwa chuki dhidi ya wayahudi na kusababisha mauaji (holocaust).

Martin Luther aliamini wayahudi ni waongo na watu wabaya. Alitaka wamkubali Yesu Kristo na alipiga marufuku mafundisho yao.

Moja ya vitabu alivyoandika Martin Luther ni kitabu kijulikanacho kama
"The jews and thier lies"

Hii no Original cover ya kijerumani.

View attachment 2787390
Hii ni history mpya toka kwa mwafrika humu jf. Dunia haijapata kusikia
 
Ndio , hata Henry Ford Yule inventor wa magari kule Marekani na mzalishaji wa kwanza wa magati duniani ,aliandika vitabu kuwahusu hawa wayahudi feki .
Spineless as they are , crooks and scums of the world ,sema ni vile watu hawasomi vitabu na kufuatilia mambo ,tufuteni kitabu cha Henry Ford kinaitwa " International Jewry "
Wayahudi feki /khazars ni disaster kwa huu ulimwengu ,nimeviattach hapa ,Someni humo View attachment 2787706View attachment 2787705
Wanajulikana hawa mabwana
 
Martin Luther baba wa imani wa Waluther ( yaani Lutheran/ wanaomfata Luther) hakua na mtazamo chanya juu ya wayahudi.

Wanahistoria wanakubaliana kua msimamo wake umechangia pakubwa kuenea kwa chuki dhidi ya wayahudi na kusababisha mauaji (holocaust).

Martin Luther aliamini wayahudi ni waongo na watu wabaya. Alitaka wamkubali Yesu Kristo na alipiga marufuku mafundisho yao.

Moja ya vitabu alivyoandika Martin Luther ni kitabu kijulikanacho kama
"The jews and thier lies"

Hii no Original cover ya kijerumani.

View attachment 2787390
kanisa la lutheran na martin luther mwenyewe wamechangia sana chuki iliyokuja kuleta mauaji ya wayahudi. martin luther alikuwa ni mjerumani na ndiko dhehebu hili lilikotokea. though wakati wa execution, inasemekana Sheheh Aman al Husseini aliyekuwa mshirika mkuu wa hitler (na alikuwa ni mufti wa Yerusalem kipindi cha British colonialism) alimwomba hitler afanye lolote lile ili wayahudi ambao tayari walishakuwa wamerudi wengi pale caanan na walikuwa wanaomba kuundwa upya kwa taifa lao, na maelfu walikuwa wanamiminika toka duniani wakikimbia mateso ili waunde nchi, yeye aliomba wayahudi hao wasirudi, bali wauawe hukohuko. na hitler alifanya kweli. ila martin luther ana mchango wake mkubwa sana.

wale tuliowahi kuishi kwenye ulutheran, tunajua, tangu tukiwa watoto tumekuwa tukifundishwa namna wayahudi walivyo watu wabaya, wauaji wa Yesu, makatili, nyimbo zetu na kila kitu kuhusu wayahudi ni ukatili na chuki tu. kama kuna mlutheran hapa aniambie, nini kizuri tumefundishwa kwenye dini kuhusu wayahudi? lwengo kuu la martin luther alifikiri akipata backup ya serikali kuwaumiza watabadili dini ya judaism wawe wakristo.
 
Hii ni history mpya toka kwa mwafrika humu jf. Dunia haijapata kusikia
hii sio historia mpya, nimesali lutheran miaka yangu mingi sana kwa uzee huu, tumefundishwa ukatili tu wa wayahudi hasa tukiambiwa walimuua Yesu na ni kama vile tunafundishwa Yesu hakutakiwa kuuawa vile, sasa sijui ukombozi wetu ungetokea wapi? kuanzia mikanda ya Yesu tuliyoletewa tangu tukiwa wadogo inaonyesha tu ukatili wa wayahudi. nakumbuka nikiwa mdogo nikitoka kuangalia sinema ya Yesu, tulikuwa tunalia machozi kabisa kwa huruma na kuona wayahudi sio watu wa kawaida, wakatili, wauaji.

martin luther aligombana nao sana kwasababu walikataa kubadili dini toka uyahudi kwenda ukristo, akatofautiana nao sana na aliamini akiwa na backup ya serikali, basi anaweza kuwabadilisha kwa nguvu. ndio maana aliunga mkono sana serikali na serikali ikawa inapromote sera zake, na chuki dhidi ya wayahudi ikaenea tangu miaka ya 1500 hadi vizazi vya hitler. kanisa la lutheran ujerumani na scandinavian lilikua na nguvu sana na imagine karne karibia nne chuki iliendelea kwenye kanisa hilo hadi kipindi cha hitler. chuki hiyo hiyo ndio wajeruman wengi walikua nayo tangu wadogo. pia wivu, kwasababu wayahudi wote hakuna masikini hata mmoja, wanasaidiana, na ni wafanyabiashara wakubwa mno. sasa jamii inayowazunguka ilikuwa inawaonea wivu. walikuwa wafanya biashara wakubwa kiasi kwamba kila nchi waliyokuwepo ulaya walikuwa ndio wanashikilia uchumi na kuamua nani atawale nani asitawale, kama ilivyo leo marekani. sasa kwa watu masikini na wasio na shule kama hitler, alikuwa na chuki kwanza ya inferiority complex na ile kuamini kwamba mtu tajiri lazima ni tapeli, dhurumati na mkwepa kodi. chuki ya martin luther na wafuasi wake + wivu wa kiuchumi vilihamasisha sana holocost yao. hata magari mengi ya ujerumani na viwanda vingi walifanyishwa kazi kwa nguvu na kwasababu walikuwa na akili na elimu viliendelea haraka sana.
 
kanisa la lutheran na martin luther mwenyewe wamechangia sana chuki iliyokuja kuleta mauaji ya wayahudi. martin luther alikuwa ni mjerumani na ndiko dhehebu hili lilikotokea. though wakati wa execution, inasemekana Sheheh Aman al Husseini aliyekuwa mshirika mkuu wa hitler (na alikuwa ni mufti wa Yerusalem kipindi cha British colonialism) alimwomba hitler afanye lolote lile ili wayahudi ambao tayari walishakuwa wamerudi wengi pale caanan na walikuwa wanaomba kuundwa upya kwa taifa lao, na maelfu walikuwa wanamiminika toka duniani wakikimbia mateso ili waunde nchi, yeye aliomba wayahudi hao wasirudi, bali wauawe hukohuko. na hitler alifanya kweli. ila martin luther ana mchango wake mkubwa sana.

wale tuliowahi kuishi kwenye ulutheran, tunajua, tangu tukiwa watoto tumekuwa tukifundishwa namna wayahudi walivyo watu wabaya, wauaji wa Yesu, makatili, nyimbo zetu na kila kitu kuhusu wayahudi ni ukatili na chuki tu. kama kuna mlutheran hapa aniambie, nini kizuri tumefundishwa kwenye dini kuhusu wayahudi? lwengo kuu la martin luther alifikiri akipata backup ya serikali kuwaumiza watabadili dini ya judaism wawe wakristo.
Yan moja ya melengo yake yalikua ni kuwabadilisha dini wamkubali Yesu Kristo,
Alipiga marufuku mafundisho yao na mambo mengi sana.
 
Maisha mabovu aliyopitia Hittler mtaani aliajiaminisha yameletwa na wayahudi, wayahudi ni wapambanaji kitambo hakuna Myahudi fukara Duniani sababu ya mifumo Yao ya malezi.
Hittler alikua na chuki za uchumi tu
 
Yan moja ya melengo yake yalikua ni kuwabadilisha dini wamkubali Yesu Kristo,
Alipiga marufuku mafundisho yao na mambo mengi sana.
nimesoma vitabu vingi tu nilipokuwa natafiti issue za anti-semitism, hiki kitu ni cha kweli kabisa. ndio maana hadi leo hii hali ipo lutheran. ukitaka uamini, nenda kasali pale wakati wa pasaka, mahubiri yote ni lawama kwa wayahudi, kutaona wanasema "walidhani wanamkomoa, walidhani wamemuua, wakafanya hivi na vile...' badala ya kushukuru Mungu kwamba Yesu alikufa na asingekufa tusingepata ukombozi, ile chuki hadi leo ipo.

kitu cha ajabu wanashindwa kuelewa, wale askari wakatili wote walikuwa ni askari wa roman empire, wayahudi walikuwa chini ya ukoloni wa warumi na hata pilato alikuwa mrumi hakuwa myahudi, ndio maana alipokuwa anamrefer Yesu au alipomkuhumu alisema anawahukumu kwa sheria zao wao wayahudi. ilikuwa sahihi sana kwa wayahudi kutokukubaliana na Yesu ghafla kwasababu walimwona anazaliwa, anakua pamoja nao kwenye masinagogi, na alivunja sheria nyingi tu za wayahudi, ni kweli. ilihitaji neema sio sheria wala nguvu kwao kuelewa hilo na kubadilika, ndio maana hata leo unahitaji neema ya Mungu kushinda dhambi, la sivyo kwa nguvu zetu hata tukikariri sheria vipi hatuwezi kushinda ndambi.
 
Maisha mabovu aliyopitia Hittler mtaani aliajiaminisha yameletwa na wayahudi, wayahudi ni wapambanaji kitambo hakuna Myahudi fukara Duniani sababu ya mifumo Yao ya malezi.
Hittler alikua na chuki za uchumi tu
illiteracy+maisha magumu aliyopotia+wivu wa maendeleo+chuki ambayo wajerumani wote walilishwa na martin luther + ushauri wa solution ya mwisho uliotolewa na mshirika wa karibu wa hitler Mufti wa Yerusalem shehe Amani al Hussein =hollocost.

huyu wa mwisho, Shehe Amani al Husseini ukitaka kumjua, just type hata google tu, utaona picha zake, utaona namna alivyoshawishi hata vikosi vya bosnia na waislam wengi kumuunga hitler na musolin, alikuwa maarufu na mwenye ushawishi sana. aliogopa sana wayahudi wanaorudi kaanani, na alishauri solution ya mwisho, exterminate them.
 
Back
Top Bottom